Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Kaka wa marehemu anakuwaje msimamizi wa mirathi?

Sheria inasema mtu anapokufa bila wosia imsimamizi wa mirathi hawezi kuwa mtu ambae sio mrithi.

Sheria pia imetaja kanuni specific ambayo itatumika kugawanya mali ya marehemu, na imetaja watu specific ambao watarithi. Kaka wa marehemu hawamo.

Vyombo vya kusimamia sheria haviheshimu sheria, hapo ndio tunapokwamia.
 
Pengine ndio next move ya familia ya mzee mengi, unless wasiwe na hiyo idea.

Lakini unajua magold digger huwa wanatumia mbinu moja kwa hawa mabilionea wazee. Anakuwa hatoki nje anakuwa anamganda mzee kutaka gemu muda wote, mzee hatoweza show bila viagra, sasa wazee wa umri above 60+ wakifululiza show huwa wanakuwa dhaifu sana miili. Plus hapo mwanamke atashawishi mzee ameze viagra kila wakikutana ili isimame, viagra ni kichochezi kikubwa sana cha Matatizo ya moyo.

Sasa unakuta mzeee kama mengi anapiga viagra na at the same time anatakiwa kurun business operations bado mwanamke kutaka awe busy na yeye na watoto. Lazima mzee apatwe na heart condition.

Kwa bongo sijajua kama we have that high standard professionalism when it comes to brains to perform such forensic assessments on dead and buried corpses.

Ingekuwa US hapo ni swala la kufungua file la upelelezi, mwili utafukuliwa mifupa itapimwa upya, then medical records and history ya marehemu, routine za hospital, mizunguko ya bi dada, mahusiano yake, nani alikuwa involved nae kipindi hicho chote akiwa na mzee hadi sasa.

Mbona wanabust mchana kweupe tu bila chenga na mtu anasomewa mashtaka yake mchana kweupe.
 
Yale makochi angeuza bei ya uchumi wa kati

Angewavuna kweli uswazi huku

Wangejibana wakacheza michezo na kuweka vibubu ili wanunue
Yaani awauzie akina asha boko na mwajuma ndala ndefu Yale makochi wakati yeye Yuko level za Beyonce [emoji1]

Kitu ambacho hajui Beyonce anawauzi mziki hata homeless marekani Ila anakesha na matajiri wenzake[emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Nimeona hoja eti Mzee mengi aliishi na several concubines. Ina maana na yule Rita Paulsen wa Bongo Star search ni concubine.
Wadada lindeni legacy aisee. #MSITUMIE UCHI KUWIN LIFE#
Huyo madam plus kyln ni miongoni mwao tu. Hivi ulishawahi jiuliza alipataje mchongo wa benchmark.

Pia ulishawahi kujiuliza ni kwann alishindwana na ITV juu ya swala la Bongo Star Search?!

Na kwenye msiba kati ya Kylin na Madam nani alikuwa analia kama ,mjane?!

Anyways hao ni wawili tu, but the list goes on. Kuna uzi humu ndani ulikuwa una hadi picha za maslayqueen wa miaka hiyo waliokuwa wanatoka na mshua.
 
Sheria mbovu za ndoa ndio zinasabaisha haya yote, na zinahatarisha maisha ya watu na umasikini, mali ni za Mwenye mali na warisi ni watoto wake, wazazi wake kama hawapo ni ndugu zake wa Kuzaliwa tumbo moja, hizi sheria za ndoa hata Ulaya na China walizibadilisha kwani Wanawake walikua wanazitumia kuwaibia Wanaume, na Kwa Sasa kila mtu kwenye ndoa anaingia na mali zake, na ukichuma mali hata kama uko kwenye ndoa mali ni za mtu mmoja, Mpaka atapoamua mwenyewe kumpa Mume au mke, Mwanaume akishakua na pesa wanawake wanaenda kukesha kwenye maombi ili afe wachukue mali. hizi sheria ziondolewe la sivyo Wanaume wasioe hapa, Wachukue wanawake wa Nje na ndoa zikafungiwe huko kwenye sheria nzuri za ndoa, na siku hizi wanawake wako kwenye mitandao ni rahisi kukamilisha kili kitu online.
 
Mkuu sheria haisemi hivyo.
Msimamizi wa mirathi huteuliwa na mahakama, either kama ameomba au mahakama yenyewe itajavyoona inafaa kwa maslahi ya mirathi yenyewe.
Sheria inasema mtu yeyote anaweza kuchaguliwa ku msimamiz ikiwa tu mahakama itaridhishwa nae.
 
Halafu watoto kuwachukua pia ni rahisi. We watoto siku zijazo wakija kuambiwa mama yenu kafanya 1,2,3 unadhani watakuja muelewa.
 
Alijimix sana mle! Bora angefungua kampuni la Bima tu[emoji28][emoji28][emoji28] mtoto aliishi ndoto zake kupitia account za mzee Mengi
Na angefungua kampuni la bima angekuwa katoboa balaa. Ana base kubwa sana ya watu wanaomfahamu..... Angeweza kuweka mambo vema. Ila dah......hii sampuli sijui inashida gani?!

Hivi kwann wanawake wazuri wanakuwa na akili kidogo?!
 
Dah ... We jamaa umenifanya nikumbuke documentaries zangu pendwa "Forensic files"

Wenzetu wajo mbali kwenye haya mauchunguzi...

Ukweli unaanikwa wazi bila shaka yoyote
 
Sasa inawakuwaje watoto waliozaliwa na jaq wanatambuliwa ila mama(jaq) wamtenge? Sheria si zinasema mkishakaa na m/ke(me) zaidi ya miezi sita ni mkeo/mme by default.
Swala sio kumtenga, bali swala ni kwann anatengwa. Na jibu ni simple kuwa for the past few years akiwa na mzee amekuwa akibehave very suspicious na anaonekana kuwa na mipango ya siri kufilisi mali ya marehemu.
 
hapo pesa imetembea na maamuzi yametolewa...

imeisha hio
 
Surely we can not speculate what the court of appeal will decide but can say in passing, as you have suggested, that the reasons advanced by the trial judge are strong and sound, it might be an uphill track for the would be appelant
Ndugu nakuambia ukweli, jacky ana hali mbaya sana. Na nimekuambia hapo tu kuna mambo amefanyiwa hisani. Angekua ndani saa hizi. Hilo ulielewe or else akajioalie makaa. Anataka endelea poteza hela zake tu. Hana akili. Mali za marehem mercy pia anataka jimilikisha ilihali tu si za mengi? Huoni wosia una tatizo? Hapa jacky anahurumiwa tu ili kuficha aibu mkuu.
 
Huyu ana Nicole Smith umenikumbusha Kuna segment Fulani hivi kwenye movie ya shooter ya Mark Wahlberg alienda kwa Yule mzee mtaalamu wa shooting stuffs na Yule FBI Memphis kule Tennessee mzee akawaambia "......ana Nicole Smith married for love..." Jamaa wakacheka[emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…