Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

[emoji23][emoji23][emoji23] punguza hasira mkuu. Kaka qa marehem amekua msimamizi sinze day one. Na wosia origional ulikua unamtambua.

Halaf unapaswa utambue kila jamii ziko taratibu zake. Uchaggani wenye power ni ndugu wa mwanaume. Huwasimamia familia ya mwendazake. Baba mdogo amelua akifanya biashara since day one na nduguye. Linakushangaza lipi na ni mtendaji pale. Ulitaka klyn akaendeshe nn pale? Kwa taaluma ipi na experience? Masofa yamemsginda ndo angeyaweza ya media?
 
View attachment 1791404
Halafu anamwita baby
Dunia imepinda kwakweli
Itabidi kuanzia leo, mwanamke akinitazama kwa mahaba aniambie maneno matamu namwambia hebu acha ujinga unataka nini sema chap.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Maana wana roho ngumu plus usanii. Sasa huyu bi dada alikuwa anamtazama huyu mzee usoni kwamba ana mdatisha kimahaba, dah aisee ila dhambi nyingine hizi MUNGU ndie atahukumu.
 
Yalianza tangu kwa Adam na Hawa, Hawa alimuingiza mkenge mwenzake
 
Tunamzungumzia bilionea shayo dear.alilipa tra bilion 2.5 .Bado wakamfata Tena akajiua kifo kibaya Sana ile Dec yaani .sipendi kukumbuka

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Yaan mpaka kesho shayo ananiuma. Jamaa yetu jamani. Mwenyezi Mungu amrehemu. Lakini marafiki zake wangeweza mshauri vyema jamani. Sijui ilikuaje. Angehamia hata kule njuguni akalima vitunguu mbona angepata hela tu jamani. Ila magu kufa tena kwa kweli..
 
Nafikiri Jack alikua hawajui wachaga vizuri sasa atawahadidhia wanawake wenzake wavivu na wapenda vya bure kama yeye kuwa wawaibie wengine sio wachaga
 
Angeweza kuanza kutafuta ila sasa nadhani hakuwa na dhamira hiyo ya kutafuta maisha na huyo mzee bali kutumia mali ya mzee.
 
Hahahahahah mpe za uso Huyo Kima ngabu[emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Ukitafuta ukija nazo hizo zinakuwa si zako pekee yako. Ni mali zenu wewe, mume na watoto wenu. Ngoja nikuwekee kiambatananishiView attachment 1791560
Yes. Hilonlajulikana. Lakini hapa naongelea tamaa kama za jaky. Yaan unioe halaf nitolee macho kipato chako? Biashara zako? Huwa nawaambiaga watu, biashara ya mume wako ni ya mumeo. Siyo yako. Maana mwingine akishaona hivyo tu anapagawa. Anataka aolewe akawe sehemu yake. Wakati umeingia kwenye ndoa ukamkuta. Nachosisitiza kila mtu afanye kazi apate kipato chake halali. Kila mtu anayo familia yake kuihudumia.
 
Hata mimi ningekuwa jaji ule wosia ningeupiga chini, wosia gani ule watoto wake wakubwa wasipate kitu
Yeye angetakiwa achukue angalau 25, 75 awaachie watoto wakubwa wa marehemu akutumia akili hata kidogo

Kama ule wosia amefoji swali la kujiuliza hata kifo Cha mengi kitakua na utata, ingekua nchi nyingine polisi wangekua na sehemu ya kuanzia
 
Kwan uliambiwa yule mzee alikuwa na shida ya uhusiano na huyo binti?!

Binti ndie alikuwa anamuwinda mzee. Kategeshea ujauzito ili amshike akili vizuri mzee, ndoa unaambiwa alifosi ikafungiwe nje ya inchi ili kuepusha matatizo toka familia ya mwanaume.

So hili unalosema lisingewezekana.
 
Ndio muonege umuhimu wa kuanza frm scratch
Hii kitu huwa hawataki Hawa wanawake wa siku hizi

Wanataka ready made men .

Wanapenda mtelezo hatari

Unakuta means ana hustle kitaa Sana kila akitafuta wa kupanga nae maisha anaambulia vibuti vibaya

Sasa siku akimake life la kueleweka ndio nzi dizaini ya sista Jack hapo wanatokea from nowhere [emoji1][emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…