Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Hivi mtu akighushi wosia kunakuwa na dhabu gani? au anatakiwa achukuliwe hatua za kisheria zipi?
 
Hivi mtu akighushi wosia kunakuwa na dhabu gani? au anatakiwa achukuliwe hatua za kisheria zipi?
Jk ndo anazingua hapa na wema wake na ustaarabu[emoji23][emoji23] hili kahana lina mengi yanamuelemea basi tu watanzania ni wakarimu
 
Huyu dada kashindwa kutafuta hela zake mwenyewe, anataka kutumbua za huyu Mzee wa watu aliyechuma miaka nenda rudi tena kwa shida kubwa.
Dada alijisahau sana tena sana, kile kitendo cha kuishi tu na Mzee machache kilimtosha yeye mwenyewe na watoto wake kutokutegemea urithi, mambo ya kughushi urithi ni sawa na mtu ambaye ni muuaji kwa kuwa alitegemea akimua marehemu atachukua urithi wa mali. Sijui kile kiwanda cha Amore kimeishia wapi masikini.
 
Coz I’m on a whole different galaxy when it comes to this shit.

I’m a wordsmith!

You can call me Mr. Smith.
Well.... I guess i gosta come up with my presentation statement haaah,................ i mean am a real Mac from way back, one of the original player from the Himalayas...... [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Well.... I guess i gosta come up with my presentation statement haaah,................ i mean am a real Mac from way back, one of the original player from the Himalayas...... [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nigga, stop it. You sound corny as fcuk.

Cut that shit, man.
 
Yaani alikosa washauri kbs yule dada .
Ila hata sasa naona bado anapenda maisha ya uslay sana...uwii umri w 40 yrs jaman uslay wa nn!
Hakuna maisha mengine anayoyajua. Wewe kama akina Wema kuna siku watabadilika wale?. Wanahisi umri unabaki hapo hapo. Tena ningekuwa ndio mimi mtoto mkubwa wa Mengi nilieshinda mirathi aendelee kumbana na pande zingine zote mpaka abakie na manyoya tu.
 
Ila ni haki yao yule ni baba yao. Na hao madogo ni wadogo zao so hata iweje hao ni ndugu hawawezi kuwatupa wadogo zao.
Ni sawa. Nadhani Mzee Mengi akutazama hivyo. Tatizo ni baba mdogo na familia za zingine za kando yaani ndugu wa Mzee.
 
Ila ni haki yao yule ni baba yao. Na hao madogo ni wadogo zao so hata iweje hao ni ndugu hawawezi kuwatupa wadogo zao.
Kilichoandikwa my frnd. Na mashosty wanazengea. Ndugu awana neno. Shida ni baba mdogo na washangazi. Watoto awanashida
 
Ukiisoma andaa na panadol kabisa..... Maana ile English ni ya ajabu balaa.
Niwekee hapa niisome nione huo upuuzi wa mwanamke mwenzetu.

Mdada huyu hana shukrani, mengi alimstili akampa heshima ya ndoa kwa nini asijifunze kula na kipofu?

Ningekuwa mm baada ya kifo cha mengi ningekaa kimya wagawe watakachoona kinanifaa na wanangu watanipa.

Mjina sana anawezaje kusema kuwa mengi hakuwapa watoto wake wakubwa mali? Kwahiyo wanae ndo watoto tu?

Mimi siwezi ingia tamaa ya namna hiyo.
 
Mengi alikuwa na misunderstandings na familia yake kwa mke wa kwanza, sijui kama walimalizana hizo tofauti ila zilikuwapo.
Hivi ni kweli misunderstandings hizo ndo zipelekee Mzee kuwatoa watoto wake kwenye urithi???mchaga wa wapi huyo anaweza fanya ivyo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…