Goya Montoya
Member
- Jan 30, 2019
- 52
- 38
Sio Afrika tuu hata huko mbele, kuna makala niliisoma ya ndoa za Hollywood nilichoka mzeeafrika ndoa ni ajira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Afrika tuu hata huko mbele, kuna makala niliisoma ya ndoa za Hollywood nilichoka mzeeafrika ndoa ni ajira
😂😂😂😂afrika ndoa ni ajira
Wanawake hawa wasiopendana wajoin hii vita thubutuuuuu...Dah naomba wajoin hii vita halafu waone balaa lake..... One condition, vita visipiganwe kimya kimya.
vp mjenzi huru[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Cheka mamaNimecheka sana
Humu ndani anayemwezea huyo bidada ni wewe tu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Cheka mama
Kweli kabisa.Wanawake wengi ni wasanii sana.wakati mother angu amefariki kuna mother mmoja alijisogeza sana kwa mzee,akawa anajipitisha pitisha sana kwakujifanya anamjali sana dingi.sasa dingi sababu ya upweke nikaona ameanza kumbonyeza yule mother kimtindo.badae yule mother akawa anamlazimisha dingi waweke mahusiano yao wazi alafu wafunge ndoa.Dingi akaja kutuambia eti nimeona siwezi kukaa mwenyewe nataka kuoa tukamtolea uvivu akawa mkali.maana tuliwaza mzee mwenyewe visukari na presha vinamtafuna kila siku ata kama ni kubonyeza akibonyeza kimoja anakua hoi wiki nzima.nikamfwata yule mother nikamwambia asije akalogwa akajifanya hatujui nia yake kwa mzee wetu.mbona yule mama alikata miguu.Kwahiyo kuna kipindi wanaume tunashikwa upofu tusijue nia za wanawake zetu.unaweza kudhani unapendwa kumbe unahesabiwa siku.tuishi nao kwa akili.Sheria mbovu za ndoa ndio zinasabaisha haya yote, na zinahatarisha maisha ya watu na umasikini, mali ni za Mwenye mali na warisi ni watoto wake, wazazi wake kama hawapo ni ndugu zake wa Kuzaliwa tumbo moja, hizi sheria za ndoa hata Ulaya na China walizibadilisha kwani Wanawake walikua wanazitumia kuwaibia Wanaume, na Kwa Sasa kila mtu kwenye ndoa anaingia na mali zake, na ukichuma mali hata kama uko kwenye ndoa mali ni za mtu mmoja, Mpaka atapoamua mwenyewe kumpa Mume au mke, Mwanaume akishakua na pesa wanawake wanaenda kukesha kwenye maombi ili afe wachukue mali. hizi sheria ziondolewe la sivyo Wanaume wasioe hapa, Wachukue wanawake wa Nje na ndoa zikafungiwe huko kwenye sheria nzuri za ndoa, na siku hizi wanawake wako kwenye mitandao ni rahisi kukamilisha kili kitu online.
Hata mwehu ule wosia angeukataa!haihitaji kukaa darasani Sanaa kujua wosia ni fekoAliwatema wote
Tena mimi ninammudu sana huyu mtu halafu ujue namfahamu ila yeye hanifahami hata kidogoHumu ndani anayemwezea huyo bidada ni wewe tu
🤣🤣🤣 unammudu vyrma bwege huyo...safi kabisaTena mimi ninammudu sana huyu mtu halafu ujue namfahamu ila yeye hanifahami hata kidogo
Mengi ana mtoto anaitwa benjamini??Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala ya Dar es Salaam imetoa uamuzi kuwa watoto wa Marehemu Reginald Mengi;-Abdiel na Benjamin Mengi kuwa wasimamizi wa mirathi ya mali alizoacha marehemu baba yao (Reginald Mengi). Katika uamuzi huo, mahakama imeagiza usimamizi na mgawanyo wa mirathi uanze mara moja.
-
Akisoma hukumu hiyo yenye kurasa 72 mnamo Mei 18/2021 Jaji Mlyambina alisema kuwa wosia wa mwisho wa Marehemu Dkt. Mengi ulioandikwa Agosti 17,2017 haukuzingatia misingi ya kisheria ya uandishi wa wosia.
-
Katika shauri hilo watoto wa marehemu Dkt. Mengi walikuwa wakipinga wosia uliodaiwa kuachwa na Marehemu baba yao kwa madai kwamba wosia huo haukufungwa ‘sealed’ na saini iliyopo kwenye wosia huo ni tofauti na sahihi zingine za Marehemu na pia kwa wakati huo baba yao hakuwa na uwezo wa kuandika kutokana na matatizo makubwa ya kiafya aliyokuwa nayo tangu mwaka 2016.
-
Aidha watoto hao walidai kuwa wosia uliwabagua na urithi wote aliachiwa mkewe mpya na watoto mapacha na hivyo wosia huo ulikuwa kinyume na sheria sababu uliwabagua watoto bila sababu za msingi na za kisheria.
View attachment 1791204
Marehemu alifanya maamuzi kwa kutumia kichwa kidogo...acha sharia ifuate mkondo wake
Kuna kipindi alikuwa mmachinga pale makoroboi🤣🤣🤣 unammudu vyrma bwege huyo...safi kabisa
Hahahahaaa ndo maana ana hasira balaa na LissuKuna kipindi alikuwa mmachinga pale makoroboi
Wewe jinga suala la migogoro ya mali za maremu si wachagga tu hata makabila mengi kuna migogoro mingi tu.Shidamoja WACHAGA wakifa
kudhulumu maliza watotoo imekuwa Kama cancer yya kizazi
yaanii..MAJUZI natoka msiban WAMEANDIKA mirathi vizuri muhtasari wanafika mahakaman BABAMDOGO anataka kusimamia show za kakayake
mke YUPO
watoto wanne WAPO
amepambana MPAKA akanya
aakarudi Moshi Bila kuaga
kudhulumiana n shida Sana
hakizawatotoo hazipoteii
Hivi na yeye kaambukizwa "malukanga"Ewaaaah. Na habari wanaipataga wakiyaleta mitandaoni. Halaf jacky alivyo kisoda analeta habari za private jui ya afya ya marehem mitamdaoni? Really?[emoji23][emoji23] na ya malukanga atuwekee
Mali za mke wa mengi unazozisema ni shares tu za mke katika makampuni yao ndiyo walirithi watoto. Shares za mengi ndiyo hizo zenye utata, eti zote apewe jackie! Kwa lipi? Alikuwepo wakati mercy na reginald wanaazisha hizo kampuni? Halafu watoto wa mengi wasiambulie kitu? Haiwezekani. jackie kazikuta hizo mali hivyo hazimhusu. Ndiyo maana kashindwa kesi. Eti mtu akicontest hiyo will apewe shs 1000!!!! We umeona wapi mtu anaandika wosia kama huo???? jackie mhuni tu gold digger. Hata yeye hana akili. Mtu anadeny watoto wake urithi yeye anaona sawa tu? Naona akili yake haina akili!!!! Mtu mwenye akili timamu huwezi kuandika wosia wa kihuni kama ule anbao jackie anadai kaandika mengi. Atakuwa hakuwa na akili timamu wakati anaandika kama kweli aliandika yeye.Mali ya mke wa kwanza walishagawana. Na walishapewa watoto makubwa,uridhi wa Mama yao. Wanadai ni mali zilizoachwa na baba wagawane. Na Mzee Mengi alishagawa mali hizo kwa watoto wake wengine, wale wadogo.