Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Exactly. Alikua anawanyima. Na atuambie kule hotelini alimfanya nn huyu mzee. Ila jj anatunyima uhondoo[emoji28]
 
Na mabwana zake wanatumia magari hayo hayo
Eeh, hata hilo lizungu bila aibu linaenda hapohapo kushinda aisee. Walifikiri watahamisha assets za kitaifa. Kenge kweli. Navyoogopa tumia visivyo vyangu. Huyo mwanaume lazima ni marioo
 
si alikuwa anakampuni yake sijui ya fenicha....na ikapataga award ya kizungumkuti....sijui iliishia wapi...anyways anaweza akarudi kuimba live band pale Elements masaki
😀😀😀 aimbe mke wa bilionea..labda aimbe for passion..
 
tatizo unatumia mshipa wa wowowo kufikiri....lazima utamwaga uharo hapa wa kutosha........ukishapata mume tajiri wa level zile za Mengi hautaongea haya mapumba hapa...
 
Yap waweza batilishwa kama umekaa kionevu pia kwa jinsi navojua km huo wa mzee Mengi tena huku Africa wosia hauna nguvu sanaa!
 
Wachaga unawajua? wanachukua mali zote...kama asipoangalia watamtimua hata kwenye hiyo nyumba anayoishi sasa...then awe kama billionaire Shika
🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️duh noma ukute shost hn ht nyumba
 
Duh....Kwani huyu demu amekukosea nini....acha wivu ...Mzee Mengi ilitakiwa aweke mambo sawa zamani sana...Jacky aliona kuna fursa ndiyo akapenya hapo hapo....kwa akili za mademu wa kibongo wote mngefanya hivyo hivyo shubaamit!
 
tatizo unatumia mshipa wa wowowo kufikiri....lazima utamwaga uharo hapa wa kutosha........ukishapata mume tajiri wa level zile za Mengi hautaongea haya mapumba hapa...
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Duh....Kwani huyu demu amekukosea nini....acha wivu ...Mzee Mengi ilitakiwa aweke mambo sawa zamani sana...Jacky aliona kuna fursa ndiyo akapenya hapo hapo....kwa akili za mademu wa kibongo wote mngefanya hivyo hivyo shubaamit!
Wewe kaka.. naomba utulize makalio yako. Kaa pembeni kabisa. Na fanya mambo yako. Sawa? Wivu wa nini? Ama nilikuambia nna njaa mimi? Tuliza hilo wezere lako
 
ALIKUWA ANAMWAMBIA BEIBIIIII INGIZAHUKU THEN SAINI PALE MZEEEEE CHALIIIII HUYOOOOOO queen OF WADANGAJI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…