Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

kumbe bado Mahakama zinaandika na kutoa hukumu za kizungu?? sasa sisi waswahili tutaelewaje?! maaana hii hukumu imetolewa kwa ajili ya wazungu.

nimeshindwa kabisa sielewi, hawa watu nia yao ni kutunyima uhuru wa kuelewa mambo kiundani, sio bure huwa kuna kitu/vitu wanalenga kutuficha tusielewe.
Ahsanteni mahakam.

sasa hukumu la kiingereza unamwandikia nani?! kama sio kuwa kukejeli watanzania wenzako.
 
Wee kumbe?
 
Wa mlongo wangu mdala wa reginadi kimeo[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Kimeo che cha humu? Mdala huyu ana soni lepa igana mali za vandu za valondi tangu Pa useja hadi mu uzei naha, afu aliya mwene tuu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
si alikuwa anakampuni yake sijui ya fenicha....na ikapataga award ya kizungumkuti....sijui iliishia wapi...anyways anaweza akarudi kuimba live band pale Elements masaki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe kaka.. naomba utulize makalio yako. Kaa pembeni kabisa. Na fanya mambo yako. Sawa? Wivu wa nini? Ama nilikuambia nna njaa mimi? Tuliza hilo wezere lako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo dada ndiyo anamapungufu na tamaa ya kiburi cha kudanganywa na huyo mzee Mengi na yeye hakua na akili ya utambuzi lakini bado anavyohukumiwa hapa kuna mengine yanambeba yeye Jack kuwa wife material kama alimuhudumia huyo mzee katika ugonjwa wake, akashiriki kama mke wa Mengi kwenye hafla, amezalia watoto, hakuomba ajengewe nyumba yake ya tofauti akaenda kuishi na huyo mzee kwenye nyumba yake ya familia so anaonyesha alimwamini huyo mzee kiasi cha kukubaliana kuandikia hiyo mirathi feki ambayo hata Mimi naamini atakuwa aliandikiwa kwa vile msiba wa mke wa Kwanza ulionyesha wazi walishatengana, hapa namtetea Jack kama mjane apewe sitahili yake na yeye Jack awaache watoto wakubwa wapewe mirathi yao tupo kujenga hatupo kubomoa so stahili zake apewe Kama mjane na za watoto wake hatutaki maonevu kwenye jamii iwe Jack au hao watoto wakubwa.
 
Kama walipata kwa Mama Yao maana yake Kama baba Yao angefariki na asingeoa wasingepata hizo Mali kwakuwa Wamepata kwa Mama Yao? Kwani Mama Yao kugawana Mali na Baba Yao kwa kuachana maana yake watoto wanahusika na hizo gawiwo? Hapana watoto wanaendelea kubikia pande zote yaan kwa Mama na Baba . Kumbu hapa waliogawana kwa kuachana n Mke na Mume watoto hawajahusishwa kwamba wameenda kwa Mama na Baba hata usikanao Tena ambacho ikiwa hivyo Ni kesi nyingne Kama Biological Sio watoto wako Kama Ni wako bado Mali zilizobakia kwako Ni Malizao pia . So kifupi huyo Bint Ukifikilia mbali unaweza pata majibu kwa nn alimua kuolewa na kuzaa na Badae yanatokea haya alafu kwenye mitandao badala ya kifamilia ZAIDI . Nikuwatu Ndio utapata majibu yako binafsi
 
Hayo maneneo ya wanawake ambao hawana sura wala tako. Walio barikiwa wanapata maisha kupitia huo uzuri wao.

Kama mwanamke huna sura wala tako wee kazana na kitabu tuu ndio mkombozi wako.
Heheh lool
 

.
 
[emoji23][emoji23][emoji846]
 
JK ana mtoto pale kwa Vick, saga la ndoa kuvurugika wakati ule JK alitajwa tajwa kiaina.
Inasemekana lakini katika watoto wa Vick Kuna wa JK na mwingine wa askofu wa GEITA huko alishafariki.
 
Duh!
Hata kaburi alizuiwa kuwa anaenda kuzuru...
 
Kama hao watoto sio Mengi, kwamba alisaidiwa
 
Swali zuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…