Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua


Wanaume wa kichaga wamezidi[emoji1430][emoji1430][emoji1430]
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nimeolewa na babu but sijawahi kuwaza hivyo
I just wanted the best for my kids,the future is promising naona watapata kila kitu nilichotaka wapate
Meanwhile I get time to build my self kwa kazi zangu mwenyewe,with little support from hubby[emoji6]
 
Lizee unaliita hubby, wanawake acheni ujambazi
 
JK ana mtoto pale kwa Vick, saga la ndoa kuvurugika wakati ule JK alitajwa tajwa kiaina.
Inasemekana lakini katika watoto wa Vick Kuna wa JK na mwingine wa askofu wa GEITA huko alishafariki.

Hayo mengine sijui lkn kwa swala la watoto,Vicky ana watoto wawili,wa kwanza anaitwa Revocatus alizaa akiwa form two na Kijana flan wakati huo akiwa Form Six,Vicky ikabidi akatishe masomo baada ya kupata uja uzito huo. Huyu wa pili ni binti huyu sina maelezo ya uhakika ya nani ni Baba Mzazi wa huyo mtoto. Lkn kama ni yule first Born wake,Baba wa mtoto anafahamika vizuri tu.
 
Kumpa utamu mwanaume ni kazi tena ngumu. Wanahitaji k more than women do. Hakuna mwanaume rijali anayeweza kuishi bila k. Mwanamke anastahili kuwa compensated. Sema tu Jacky hakucheza karata zake vizuri

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kazi ngumu tatizo compasation itategemea na akili yako wewe mwanamke
 
Eti vimetengenezwa na mbao za mabaki ya meli. Watu tunakalia viti vya plastic vya bar yeye analeta mambo ya historia za mabaki kwa gharama za juu utadhani labda ukikalia vinatibu magonjwa[emoji3][emoji3]

[emoji23][emoji23][emoji23]dadek nimecheka dah Jacky nae hio biashara aliweka mbwembwe sijui kwanini marehemu hakumshauri vizuri
 
Mkuu kwa level ya jack biashara ya furniture haikua level yake..mie nasemea kampuni ambayo ingekuwa inadeal labda na construction huko unajilia mitender tu ..furniture,? Argh


Akili hana hicho kilikuwa kipimo cha kwanza,Jacky akili hana
Angetumia nafasi vizuri now hata asingehangaika kugombea male
Ni mrembo ambae kichwani ni empty kabisa bora alivyokosa mali maana angeua makampuni yote hayo
 
Kwa hili nawapokeza wachaga wote kwa ushindi, maana ilikuwa fedhea kubwa, na kuzalilisha kabila lenu.
 
Wakati ule shughuli ya ndoa yake ilipoingia doa ndipo wakasema Kuna mtoto mmojawapo wa Vicky Ni wa JK, wambea wakasema Tena anamfanana Sana baba yake[emoji1787][emoji1787] Mungu hakumtupa mja wake Vicky akaolewa hatimaye na Likwelile, yule jamaa tapeli alitoroka hadi na michango ya watu
 
[emoji23][emoji23][emoji23]dadek nimecheka dah Jacky nae hio biashara aliweka mbwembwe sijui kwanini marehemu hakumshauri vizuri
Yaani anatuletea maisha ya Paris na Hollywood huku bongo kwa gharama za ki hollywood.
Aje feri aona tunavyokarangazia samaki hizo mbao za mabaki ya meli.
Ndiyo maana aliishia kulipia pango la duka bila kuuza hata samani moja
 
si alikuwa anakampuni yake sijui ya fenicha....na ikapataga award ya kizungumkuti....sijui iliishia wapi...anyways anaweza akarudi kuimba live band pale Elements masaki
Award ya kizungumkuti[emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…