Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jack zulumati alidhani atawapiga mamangi watu watafute pesa aje achukue kirahisi tu.Jaji itakuwa kapata mpunge mrefu kwenye hii rufaa
Ila wazee wa kichagga sijui ndo niseme ni malimbukeni sana ama ni nn sijui. Yaan umalaya tu umewajaaa. Na haya ndo hugharimu familia. Watu wanazaa zaa ovyo. Nikimuwaza billionare mrema na ngurdoto yake na vitega uchumi vingine inasikitisha sana. Imagine michepuko imejilengesha huko kisa inajua kuna fursa. Wallah tungekifa wote. Halaf bado wanathibutu kunyoosha midomo.
Huyu procorine shayo naye aliyejigongesha juzi kati hapo tabata akafa naye baada ya kudaiwa kodi 2.4billion naye hovyo kabisa. Watu wanazaa ovyo ovyo tu. Hawajali masilahi ya wanaowaacha wala vitega uchumi walivyoviandaa... mtu uzeeni ndo unakuja fanya makosa ya kipuuzi hv. Mimi naheshimu watoto niliowakuta kabla ya ndoa. Ukija nimeshafunga utafurahi. Huyo baba yenu amalizane na nyie hukohuko. Tulieni jaman kaka zetu. Kwanza mnapitapita ovyo mnajiokotea maradhi wanawake wengine wamebeba mamikosi huko wengine wachawi tafrani.
Kaka zetu wa kichagga jitathminini sana. Munaacha majanga nyuma ya pazia..
Boss lady mentality ni ugonjwa wa kisaikolojia wanaojivisha mabinti wengi sana kizazi hiki. Wanahisi kuwa bilionea au milionea is a matter of ujanja ujanja na mbinu za kubahatisha.
Sasa mzee yule kahenyeka sana hadi kufikia pale alipofikia, kuwa na mali na cash in the bank. Kenyewe kameona hapa hapa ndio chance ya kuwa bilionea's wife ili afe nirithi mali niwe boss lady.
Niwe naamka asubuhi naitisha kikombe cha cappuccino au espresso au late yenye uwa la bata bukini. Naamka kutoka kitanda cha futi kumi kwa kumi, navaa robe ya 100% cotton fabric jet white in color yenye jina langu limeshonewa nakwenda kuoga kwenye hot bubble bath huku nimezungukwa na mishumaa ya perfume, nikitoka navaa designer clothes na pochi ya vasace au Gucci, naenda dining room kupata breakfast ya pancake, eggs, na orange juice kutoka South Africa.
Then natoka naenda kwenye parking lot na chagua nitoke na gari gani kati ya vogue, Mercedes, Mayweather, BMW, Ferrari au audi, kisha niende hadi kwenye my executive corner office at the top floor of a 50 stores skyscraper building closer to the city center on my ocean view side. My PA anipigie kuomba ruhusa ya kuja ofisini kwangu anipe ripoti ya kazi za jana na anisome ratiba ya shughuli na appointment za leo na anionyeshe documents za kusign ili kuruhusu mambo yaendelee. Then luch hours nitakwenda kula zanzibar na client so i will take a private plane. Then jioni nitarudi haraka City center kwaajiri ya appointment ya massage. Weekend me and my girls tunaenda Dubai for shopping.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi ndio vibinti vya siku hizi vinaota mchana kweupe. Sasa vikija kukwama na kujua kumbe life sio Ganda la ndizi kihivyo, utaona wanaruka na babu zao ili wawakill warithi japo utajiri wa nyumba na magari.
So pathetic......
Dream on girl... Dream on......
Lizee unaliita hubby, wanawake acheni ujambazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nimeolewa na babu but sijawahi kuwaza hivyo
I just wanted the best for my kids,the future is promising naona watapata kila kitu nilichotaka wapate
Meanwhile I get time to build my self kwa kazi zangu mwenyewe,with little support from hubby[emoji6]
JK ana mtoto pale kwa Vick, saga la ndoa kuvurugika wakati ule JK alitajwa tajwa kiaina.
Inasemekana lakini katika watoto wa Vick Kuna wa JK na mwingine wa askofu wa GEITA huko alishafariki.
Kumpa utamu mwanaume ni kazi tena ngumu. Wanahitaji k more than women do. Hakuna mwanaume rijali anayeweza kuishi bila k. Mwanamke anastahili kuwa compensated. Sema tu Jacky hakucheza karata zake vizuri
Eti vimetengenezwa na mbao za mabaki ya meli. Watu tunakalia viti vya plastic vya bar yeye analeta mambo ya historia za mabaki kwa gharama za juu utadhani labda ukikalia vinatibu magonjwa[emoji3][emoji3]
Mkuu kwa level ya jack biashara ya furniture haikua level yake..mie nasemea kampuni ambayo ingekuwa inadeal labda na construction huko unajilia mitender tu ..furniture,? Argh
Lizee unaliita hubby, wanawake acheni ujambazi
Bila kusahau na jamhuri ya watu wa twitter angetuwekeaAngekua nacho Angetuwekea instagram 😅😅😅😅
Wakati ule shughuli ya ndoa yake ilipoingia doa ndipo wakasema Kuna mtoto mmojawapo wa Vicky Ni wa JK, wambea wakasema Tena anamfanana Sana baba yake[emoji1787][emoji1787] Mungu hakumtupa mja wake Vicky akaolewa hatimaye na Likwelile, yule jamaa tapeli alitoroka hadi na michango ya watuHayo mengine sijui lkn kwa swala la watoto,Vicky ana watoto wawili,wa kwanza anaitwa Revocatus alizaa akiwa form two na Kijana flan wakati huo akiwa Form Six,Vicky ikabidi akatishe masomo baada ya kupata uja uzito huo. Huyu wa pili ni binti huyu sina maelezo ya uhakika ya nani ni Baba Mzazi wa huyo mtoto. Lkn kama ni yule first Born wake,Baba wa mtoto anafahamika vizuri tu.
WanaboaaaaWanaume wa kichaga wamezidi[emoji1430][emoji1430][emoji1430]
Ila kweli angemaliza makampuni...dah Mungu amsaidieAkili hana hicho kilikuwa kipimo cha kwanza,Jacky akili hana
Angetumia nafasi vizuri now hata asingehangaika kugombea male
Ni mrembo ambae kichwani ni empty kabisa bora alivyokosa mali maana angeua makampuni yote hayo
Yaani anatuletea maisha ya Paris na Hollywood huku bongo kwa gharama za ki hollywood.[emoji23][emoji23][emoji23]dadek nimecheka dah Jacky nae hio biashara aliweka mbwembwe sijui kwanini marehemu hakumshauri vizuri
Award ya kizungumkuti[emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119][emoji119]si alikuwa anakampuni yake sijui ya fenicha....na ikapataga award ya kizungumkuti....sijui iliishia wapi...anyways anaweza akarudi kuimba live band pale Elements masaki