Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Duuh...basi atakuwa amepigwa kipapai kama ana kiherehere...maana mabalaa yanamuandama balaa

Namuona insta na yeye kila kitu mume wangu this mume wangu that kama Jacky tu[emoji848][emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Huyu Viki Ana mambo, sie wahenga tunamkumbuka tangu enzi za kina Amina chifupa..walikuwaga na bifu zito na Amina akituhumiwa kutembea na mpakanjia
 
Mwaka gani ilikuwa dear?

Na Amina tena duuh...basi mpana kama boksa la Lemutuz[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Aya umbea huo
Part 1
Screenshot_20210524-203627.jpg
Screenshot_20210524-203646.jpg
Screenshot_20210524-203703.jpg
Screenshot_20210524-203716.jpg


Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_20210524-203737.jpg
    Screenshot_20210524-203737.jpg
    42 KB · Views: 4
Hakuna mgonjwa anayeweza kuratibu na kuandika wosia wa kiwango chenye weredi na uhakika kwa kiwango kile. Tuache masihara, ule ni wosia wa mtu mwenye akili timamu na akili kubwa sana.
Tuseme tu, wosia alioandika Mengi akiwa na akili timamu umekataliwa na Mahakama.
Mkuu wosia usipompatia Urithi mrithi halali basi unakuwa ni BATILI.Haijalishi una akili timamu au la.Kama upo hai na unataka ukifa watu fulani wasirithi chochote basi unagawa ukiwa hai.Sio unaandika wosia wa kijing halafu unafikiri kuna sheria inalinda haki za wafu.hakuna sheria kama hio.So aliyefoji huo wosia angemwambia mzee amfanyie transfer akiwa HAI maisha yaendelee au angewagawia kidgo au angeuza kila kitu.Tuache Masikhara bana
 
Mwaka gani ilikuwa dear?

Na Amina tena duuh...basi mpana kama boksa la Lemutuz[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ilikuwa miaka ya 2000 mwanzoni...kipindi hicho Amina alikuwa bado anafanya kazi clouds redio.....Basi Amina alikuwa anampiga vijembe redioni, na yeye akaona asishindwe akatoa wimbo wenye kijembe kwa Amina...nimesahau jina la wimbo
 
Ila maisha haya toka klyn amzike mengi hata kaburi hajawai liona eti. Jomoni

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Anaingiaje kule kwa mfano na ni nyumba ya ukoo. Kwa kichagga lile ni boma la marehemu Mercy na siyo hawara mwingineyo yeyote yule. Ndo maana wakaendaga jenga hukooo japo ndo under IPP. ila pale atapasikia kwenye bomba
 
Back
Top Bottom