Puff dady ndani ya nyumba...we jamaa umepotea sanaBinti anavuna alichopandaaa
kuna MH mmoja alimdanganya baahatimbaya hayuko nae Tena
akashauriwa malizana na watoto nje ya bench akajiamini na ...Sasa naonaa kala alichopandaaa
welldone mahakama
Hii ni ile beauty with hollow headsJack nae alizidi mtu kachuma mali na watoto wake na mke wake halafu uje kuokota kilainilaini tu
Alikuwa ana kampuni ya furniture sijui imekuaje haionekani tenaYaani jack bwana ...muda ule ilikua muda mzuri sana kufungua kampuni yake akakimbizana nayo ikasimama..mweee kwenye miti jamani!
Yale maigizo ya bethidei ya mzee, na hakuchukua mda akavuta bado nawaza sana[emoji848]Jack Ni mwanamke katili Sana,
Wakichunguza zaidi, usikute anahusika na kifo Cha mumewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio biashara za wadada wa mjini. Kama sio furniture basi saloon, boutique ama spa. Biashara za kislay queenIle sio biashara mkuu..vistuli unauza 3m..khaa ..! Angemfungulia kampuni hata za usafirishaj madin anajipelekea dubei huko au hata construction..mweeeee nasema mweeeeee!
Hii ishu nilishasema toka mwanzo, Wosia ukienda kinyume na sheria, basi unajibatilisha wenyewe, watoto wa damu na wa ndoa (ya mwanzo) wa marehemu hawakuwekwa kwenye wosia bila sababu, WHY? Hiyo ni kinyume na sheria, lazima sababu iwekwe wazi!Case Ya Mirathi ya ya Dr. Reginald Mengi ,Former Miss Tanzania Jackline Ntuyabaliwe adondokea pua kwa Mara Ya nane tena katika Rufaa
View attachment 1790872
Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala ya Dar es Salaam imetoa uamuzi kuwa watoto wa Marehemu Reginald Mengi;-Abdiel na Benjamin Mengi kuwa wasimamizi wa mirathi ya mali alizoacha marehemu baba yao (Reginald Mengi). Katika uamuzi huo, mahakama imeagiza usimamizi na mgawanyo wa mirathi uanze mara moja.
Akisoma hukumu hiyo yenye kurasa 72 mnamo Mei 18/2021 Jaji Mlyambina alisema kuwa wosia wa mwisho wa Marehemu Dkt. Mengi ulioandikwa Agosti 17,2017 haukuzingatia misingi ya kisheria ya uandishi wa wosia.
Katika shauri hilo watoto wa marehemu Dkt. Mengi walikuwa wakipinga wosia uliodaiwa kuachwa na Marehemu baba yao kwa madai kwamba wosia huo haukufungwa ‘sealed’ na saini iliyopo kwenye wosia huo ni tofauti na sahihi zingine za Marehemu na pia kwa wakati huo baba yao hakuwa na uwezo wa kuandika kutokana na matatizo makubwa ya kiafya aliyokuwa nayo tangu mwaka 2016.
Aidha watoto hao walidai kuwa wosia uliwabagua na urithi wote aliachiwa mkewe mpya na watoto mapacha na hivyo wosia huo ulikuwa kinyume na sheria sababu uliwabagua watoto bila sababu za msingi na za kisheria.
🤣🤣🤣 Eti bado unawaza sana?!Yale maigizo ya bethidei ya mzee, na hakuchukua mda akavuta bado nawaza sana[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kabisa, akaliwe mk* kama vp ili aone utamu wa kupenda vya bureakatafute za kwake sasa, si bado kijana hata kuolewa akitaka anaweza tatizo nini.
🤣🤣🤣Regina anaonekana uso wa mbuzi sana! Yeye ni pesa tu. Pure Mangi 🤣🤣
Sijawahi kumwamini Mnyarwanda. Hata hapa tulipotawakiwa na Mnyarwanda tumeshuhudia ubinafsi ulivyotamalaki.Damu yakinywalwanda inarohombaya
Hahahahaaaaa tunamalizaa marekebisho ya network mkuu tutarudi soonPuff dady ndani ya nyumba...we jamaa umepotea sana
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hahah, kwahiyo watoto wa wenzake ndio wasioate haki yao? Watoto wake wapate, hiyo ni sawa, ila na wa mwenzake wapate pia, mgawanyo nadhani utakuwa wa haki, na watoto wake watapata piaAna kauli yake eti anatafuta haki za wototo wake
Mie najichokeaga hapo..ahNdio biashara za wadada wa mjini. Kama sio furniture basi saloon, boutique ama spa. Biashara za kislay queen
🤣🤣🤣Maisha si sinema na si rahisi kihivyo kulingana na "hamnazo" wafanyavyo...Hii ni ile beauty with hollow heads
Furniture kutoboa ni witoAlikuwa ana kampuni ya furniture sijui imekuaje haionekani tena