dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
Kimenuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kudanga ndio nini?Wadangaji wajifunze kufanya kazi kama wengine, hakuna cha bure duniani.
Duuh kwahiyo kiuno siyo mtaji aisee!? 😂 maisha yanaenda kasi mno jamani.Wadangaji wajifunze kufanya kazi kama wengine, hakuna cha bure duniani.
Kuna Mambo huwa yanashangaza Sana 🤣🤣Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala ya Dar es Salaam imetoa uamuzi kuwa watoto wa Marehemu Reginald Mengi;-Abdiel na Benjamin Mengi kuwa wasimamizi wa mirathi ya mali alizoacha marehemu baba yao (Reginald Mengi). Katika uamuzi huo, mahakama imeagiza usimamizi na mgawanyo wa mirathi uanze mara moja.
-
Akisoma hukumu hiyo yenye kurasa 72 mnamo Mei 18/2021 Jaji Mlyambina alisema kuwa wosia wa mwisho wa Marehemu Dkt. Mengi ulioandikwa Agosti 17,2017 haukuzingatia misingi ya kisheria ya uandishi wa wosia.
-
Katika shauri hilo watoto wa marehemu Dkt. Mengi walikuwa wakipinga wosia uliodaiwa kuachwa na Marehemu baba yao kwa madai kwamba wosia huo haukufungwa ‘sealed’ na saini iliyopo kwenye wosia huo ni tofauti na sahihi zingine za Marehemu na pia kwa wakati huo baba yao hakuwa na uwezo wa kuandika kutokana na matatizo makubwa ya kiafya aliyokuwa nayo tangu mwaka 2016.
-
Aidha watoto hao walidai kuwa wosia uliwabagua na urithi wote aliachiwa mkewe mpya na watoto mapacha na hivyo wosia huo ulikuwa kinyume na sheria sababu uliwabagua watoto bila sababu za msingi na za kisheria.
🤣👍👍Wadangaji wajifunze kufanya kazi kama wengine, hakuna cha bure duniani.
Alitaka arithi kila kitu na ndomaana aliandika wosia fake. Safi sanaKuna Mambo huwa yanashangaza Sana [emoji1787][emoji1787]
Yaani kijana wa kiume aoe na kupata watoto wake halafu atajirike na kuendelea na UKWASI mpaka uzee wake ,Kisha atokee mwanamke(mke) mpya huko uzeeni ARITHISHWE NA KUTEULIWA KUWA MSIMAMIZI WA MALI NA URITHI WA HUYO MUMEWE MZEE [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ha ha ha ha maisha hayawezi kufanywa RAHISI namna hiyo ha ha ha ha
Duuuuh kweli Kuna watu huhusudu "MTELEZO WA GANDA LA NDIZI" [emoji1787][emoji1787]
Tamaa imemponza, yeye katika mali angejipa hata robo yake afu ajue anaiendelezaje watu wasingeshtukaWadangaji wajifunze kufanya kazi kama wengine, hakuna cha bure duniani.
Amejidhalilisha kiaina kutaka kujipea mali zooote kahangaika mahakamani bado kaambulia cha kugeiwaKadanga kwa faida maana si bado watoto wawili watapata percent fulani ya mali
Na wewe danga la mwendazake umepewa urithi wako?Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala ya Dar es Salaam imetoa uamuzi kuwa watoto wa Marehemu Reginald Mengi;-Abdiel na Benjamin Mengi kuwa wasimamizi wa mirathi ya mali alizoacha marehemu baba yao (Reginald Mengi). Katika uamuzi huo, mahakama imeagiza usimamizi na mgawanyo wa mirathi uanze mara moja....
Yaani we acha tu duuh 🤣🤣🤣Alitaka arithi kila kitu na ndomaana aliandika wosia fake. Safi sana
🤣🤣UNADANGA KAMDANGIE BABA'KO
Nimecheka sanaNa wewe danga la mwendazake umepewa urithi wako?