mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Jack tatizo alikua ana tamaa sana, yeye angewazuga hata kidogo.
Mtu baba yake asipate urithi hata kidogo eti alipata kwa mama yao, ngumu sana aisee.
Ni bora hata angewagana nao nusu kwa nusu, ila pamoja na yote kuwa na wale watoto wadogo hawezi kusahaulika
Mwanakutaka mwanakulipata
Sasa watoto watasomeshwa na yeye atapewa kinachotakiwa kupewa kwa mjane kisheria
Akisusa wenzie wanakula