Itakuwa tanesco pale nn[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nipokuwa mdogo wa umri wa miaka 12 hivi nilikuwa ninakwenda sehemu wachezayo BASKETBALL ambayo alikuwa hakosi kutokea yaani kipindi hicho alikuwa ni mzuri wa kuvutia huku akipiga pamba kali ila kila siku zisogeako anazidi kuwa na uso wa "serious ya mazabe ya KIMAISHA"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio wifi yetu tenaa
Ubinafsi TU unamsumbua mwanamke Yule, pumbavu zake.Binafsi nilikuwa nawaza kama wewe ila jack alieleza kuwa kipindi mzee mengi anaachana na mkewe wa kwanza wale watoto walipewa urithi wao, mzee akabaki na mali alizobaki nazo ndio akaamua kumrithisha jack na wanawe mapacha
"Usingizi wa hovyohovyo" tuutafutao wanaume hutugharimu sana humu ujanani na FAINALI huwa uzeeni daaaahIla wazee wa kichagga sijui ndo niseme ni malimbukeni sana ama ni nn sijui. Yaan umalaya tu umewajaaa. Na haya ndo hugharimu familia. Watu wanazaa zaa ovyo. Nikimuwaza billionare mrema na ngurdoto yake na vitega uchumi vingine inasikitisha sana. Imagine michepuko imejilengesha huko kisa inajua kuna fursa. Wallah tungekifa wote. Halaf bado wanathibutu kunyoosha midomo.
Huyu procorine shayo naye aliyejigongesha juzi kati hapo tabata akafa naye baada ya kudaiwa kodi 2.4billion naye hovyo kabisa. Watu wanazaa ovyo ovyo tu. Hawajali masilahi ya wanaowaacha wala vitega uchumi walivyoviandaa... mtu uzeeni ndo unakuja fanya makosa ya kipuuzi hv. Mimi naheshimu watoto niliowakuta kabla ya ndoa. Ukija nimeshafunga utafurahi. Huyo baba yenu amalizane na nyie hukohuko. Tulieni jaman kaka zetu. Kwanza mnapitapita ovyo mnajiokotea maradhi wanawake wengine wamebeba mamikosi huko wengine wachawi tafrani.
Kaka zetu wa kichagga jitathminini sana. Munaacha majanga nyuma ya pazia..
Hivi unawajua vizuri wanasheriaHamna mwanasheria mpumbavu atapitisha kipengele Cha kipuuzi km icho.
Huu wosia ulifojiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣👍Uwifi na ushemeji haufagi
Kumbuka bestman alikua nani na bado anawalelea watoto wa kamanda wenu
Sisi tunaexpect ukishakua na wadhifa basi lazima ubehave kutokana na exposure. Siyo uact kiswahili. Pia mengi alijua sana migongano inayokuja lakini alikubali beba msalaba. Hili jambo linaonekana kwa ndugu zetu wachagga hawahawa na si mbali ndo maana ndo case zao twaziona. Mbona matajiri wengine hatuoni visa vyao?Hayo mambo hayanaga ukabila mkuu, ni hulka ya mtu tuu. Na wapo wengi tuu ila hawana majina makubwa wala mali za kugombewa
Ya hao wachaga yamekua maarufu sababu ya nafasi zao kiuchumi
Wazee wa dokomaa tenaWANASHERIA WASIVYO NA DINI WALA HOFU YA MUNGU WATAKULA TENA HELA ZAKE WAKATE RUFAAA
hashidiiiiii kamwe labda SIMBA AFUZU HATUA IJAYOO ATUOMBEE WANAMSIMBAZI
HahahaNammsijaonaa
🤣🤣WANASHERIA WASIVYO NA DINI WALA HOFU YA MUNGU WATAKULA TENA HELA ZAKE WAKATE RUFAAA
hashidiiiiii kamwe labda SIMBA AFUZU HATUA IJAYOO ATUOMBEE WANAMSIMBAZI
Basi walimdanganya wachukue chaoHivi unawajua vizuri wanasheria
Hakuna wapenda hela kama wao
Kwenye huo mpango lazima walihusika
Ova
Mbaya zaidi mnakuja kuharibu huku uzeeni. Hili ni tatizo kubwa sana."Usingizi wa hovyohovyo" tuutafutao wanaume hutugharimu sana humu ujanani na FAINALI huwa uzeeni daaaah
Na hakuna mahali atakuwa. Imeisha hiyoMarehemu hajaheshimiwa hata kidogo japo yule binti hakustahili kuwa msimamizi wa mirathi.
Ataachaje kujiposti na sasa jimbo lipo wazi???? Mjini pagumu.....Jack bwana wenzie wanapambana kuendeleza kampuni yeye busy kujipost insta...wakina Regina hata account huko insta hawana
Yale makochi angeuza bei ya uchumi wa katiAlifungua biashara ya kishua ya furniture. Sasa wabongo na njaa zetu mpaka upate mtu wa kununua kochi la million 10 sio mchezo, biashara ikafa kibudu
Yaani we acha tu ...huko ni kujiingiza maangamivuni kwa mikono ya mhusika....Mbaya zaidi mnakuja kuharibu huku uzeeni. Hili ni tatizo kubwa sana.