Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Hoja 1: ni usimamizi wa mirathi

Hoja 2:mgawanyo ufanyike kwa wahusika wote mara moja ikiwa ni pamoja na huyo mrembo.

Mytake:sasa shida iko wapi maana naona wachangiaji wote wanamshambulia jack.

Hakuna mchangiaji hata mmoja aliyeelewa tafsiri ya hiyo

Ratio decidendi (Latin plural rationes decidendi) is a Latin phrase meaning "the reason" or "the rationale for the decision". The ratio decidendi is "the point in a case that determines the judgement" or "the principle that the case establishes


(a) Intention of Deceased Test.

(b) Mode of Life Test

(c) Dominant Part Test.
 
nitahamasisha huyu dada asaidiwe na chama cha mawakili wanawake wote, pia tunaomba LHRC iingilie kumsaidia huyu MJANE anaye nyanyasika na kuminywa kisa ni mwanamke,
Hapana,
Tunaomba HAKI itendeke.

KESI HIII ITAKUWA YA MFANO.

HAYA NI MAPAMBANO KATI YA FAMILIA YA KITAJIRI KWA UPANDE MMOJA NA MWANAMKE MJANE ASIYE NA NGUVU KUBWA YA KIUCHUMI.
NANI MSHINDI?

Huu wasia wa marehemu mengi unapotoshwa kwa makusudi, mRa ohh saini imekosewa mara ohhh haukufungwa hizi hoja gani za ajabu kabisa, acheni kumdhulumu mjane.
Hakuna mwanamke yeyote ataunga mkono ufedhuli wako
 
Huyu dada kashindwa kutafuta hela zake mwenyewe, anataka kutumbua za huyu Mzee wa watu aliyechuma miaka nenda rudi tena kwa shida kubwa.
Haogopi hata Mungu ,
Sasa Jackie alidhani atashinda kweli mirathi ya kihuni ile iliyosomwa? Tangu lini mtu akawadeny watoto urithi mali ambazo kachuma na mke wake ambaye ni mama wa watoto ho anaowanyima bila sababu za msingi kutolewa?

Isitoshe mali yenyewe kaikuta na yeye alianzishiwa vya kwake!!! Mi naona alishikwa na tamaa tu. Bila mali hi halali ya watoto wa Mercy Mengi mbna Jackie anaishi vizuri tu na mwanaye????

Cha msingi hiyo biashara aliyoanzishiwa aiendeshe vizuri tu. Kama Mengi alikuwa ndiyo sababu ya kushamiri hiyo biashara basi pole zake!!!!
Biashara zote alizoanzishiwa zilikufa, amebaki na dr Mengi Foundation na Dr Ntuyabaliwe Foundation
 
Ushauri kwa watoto wa Mengi...Msijitwishe Dhambi...Huyu Ni mama yenu mdogo..Kaeni nae mkubaliane wadogo zenu wale wapate matumizi yote kama Baba Yao alivyokuepo wakikua wajoin kampuni.

KWA Jack achana na matapeli wa mjini watakula japo vijisenti vidogo ulivyonavyo wakikudanganya...anzisha biashara yako una jina la mzee pambana utatoka.

JENGA harmony na wale watoto wakubwa wa Mumeo hata katika Mazingira haya magumu haya mambo yaishe....Ukiwafuata Mawakili hawa waongo waongo watakuumiza.Watakula hela zote Utashangaa.
Watoto wanasomeshwa na IPP na kulelewa hao ndugu zao school fees bei milioni almost 90million kwa mwaka kila mtoto hisipokua mama Yao ndio kibuli alishauliwa wamalize kifamilia akakataaa
 
Aiseer. Weee nayeee... mali zake peke yake? Unaijua historia vizuri ya marehem na mkewe Mercy Shangali mjukuu wa mangi wewe? Ama wapaparika tu. Huoni hapo mali zingine zilikua za mke mkubwa? Kama hujuagi vitu tulia ufunzwe sheria japi kidogo. Mali za marehem mercy zinakuaje za mengi? Wosia wa marehem? Una kichaa kweli wewe. Ule unaamini ni wosia wa marehemu ule?
Haijalishi historia. Uamuzi ni wa mwenye mali. Walitalikiana, je hawakugawana mali wakati huo? Yaani Mercy aliondoka tu? Mercy hakumjua Jacquelyn?
Yote haya yanatokea kwa kuwa wahusika wamefariki, na wenye tamaa wanatumia sheria mbovu za Tz kupindua mambo. Ila Reginald na Mercy walishaweka kila kitu sawa, na wote waliridhia!
 
Kaka mtu amesema ukisoma katika hiyo hukumu, anataka awaandae hao watoto ili waje kuendeleza mali ya familia kwa miaka 50 hadi 60 mbele.
Usanii mtupu na wizi! Miaka 50 hadi 60 ijayo aliyeandaa no baba yao sio nut mwingine yeyote!
 
Sasa inawakuwaje watoto waliozaliwa na jaq wanatambuliwa ila mama(jaq) wamtenge? Sheria si zinasema mkishakaa na m/ke(me) zaidi ya miezi sita ni mkeo/mme by default.
Na sheria inatambua ndoa ngapi za kanisani ?
 
Marehemu alimpenda sana Jacky, angekua anaona wanachomfanyia asingefurahi,
Mapenzi upofu, si kampenda mwenyewe? Hakuna wakuingilia hapo. Tukumbuke imeandikwa, ' mwanaume atamwacha baba na mamaye, na kuambatana na mkewe'
Kama baba na mama wanaweza kuachwa, kaka na watoto walio watu wazima tayari na shughuli zao wanategemea nini?
 
Haujui sheria za mirathi, kaa kwa kutulia.
Maana ya wosia/ will ni nini? Si ni matakwa ya aliyefariki kwa waliobaki hai? Matakwa yaheshimiwe, la sivyo haina maana kuacha urithi ukiwa ndani ya wosia wa mwisho.
 
Ah kila mwanamke yupo onna mission...kuoata mwanaume mwenye mihela....wanawake wanaangalia lofe lipo wapi na sio kwamba wanapenda.

Yeye alichobugi ni kwamba kabla ya kuzaa wale watoto angempiga pin kibabu. Kwanza weka billon tatu kwenye account yangu ndio nakuzalia. Tena una mwambia kabisa mzee kuwa hizo mali za huko nyuma ulizochuma na mkewe ni haki ya hao watoto wako wakubwa. Mie niwekee fungu langu kabisa ndio nakuzalia ili nisije kuvutana shati na watoto wako.
Alipewa zaidi ya hiyo billion tatu kwenye mahusiano yao
 
Yameisha mkuu but usi-discourage field za watu, field nyingi bongo haziheshimiwi sababu hazifanywi katika viwango vinavyostahili, bidada kama kashindwa biashara basi ni kwasababu strategy yake haikuwa nzuri lakini si kwasabu alichagua biashara mbaya. Peace
Easy mkuu...sijadiscourage tunaangalia na nn soko linataka ati
 
Umenena kweli mkuu lakini unaangalia na soko lako..hizi mambo za interior desgn kibongongo ni wachache wanauelewa nazo..ni kama hazina hata 10yrs kuingia hapa .kupenetrate kwake nako mtihani .anywys wako wanaofford kununua hizo stuli za 3m...!
Swali...kwanini sasa ameshindwa hiyo biashaea yake ukizingatia mtaji alikua nao uhakika ?
Interior designing ina miaka mingi tu zaidi ya 10, watu wanafanya na wamekuwa wanafanya shughuli za interior designing, ila hilo neno, 'interior designing ' linaonekana kama jipya hivii kibongo bongo. Kimsingi inahusisha mambo mengi tu.

Imagine, Mama zetu waliokuwa wanasuka vitambaa vya mezani, vya makochi, mashuka ya kufuma na mkono linachorwa ua, Baba zetu na useremala n.k

Sasa suala la Jack kushindwa biashara kama ameshindwa, huenda lina sababu nyingi tu ambazo nyingine hatuzijui sisi ila si kwamba choice ya biashara yake....

Binafsi, nafahamu watu kadhaa kwenye tasnia ya interior designing tena wameanza kwa ugumu mnoo na kuunga sana lakini wanatengeneza pesa vizuri sana, sasa kwanini Jack ashindwe??? Je tatizo yeye au biashara????
 
Mkuu, kuhusu huu wosia hata usijioe mawazo bestie. Siye close people understand it to some extent. Jacky played a foul. The player got played. Hakuna kitu kama kile. Ule wosia siyo. Na mengi ni msomi na ana exposure. Wosia una taratibu zake. Na unajulikana. Ule siyo wosia ni takataka. Dhuluma ya nn. Wosia gani unainclude mali ambazo ni za mke mkubwa ambazo walishagawana zamani kns huko? Mambo mengi hakua well informed ndo maana makando kando mengi. She is not smart enough. Her 'K' is not a CAREER.
Bosi mbona kama una maslahi binafsi na hili?[emoji28][emoji28][emoji28]joke
 
Huyu binti nae mjinga alitaka kuitumia mbususu kama mtaji , hana tofauti na wadangaji , Ndio tabu ya wanawake wasi0 critical thinkers
 
Huyu dada enzi za balehe alinisitiri sana. Nilikuwa namla wiki nzima. Naweka mkanda wa movie yake, napeleka mbele hadi scene ya majambozi, aaaaaah hapo break ya kwanza kilele cha mlima kilimanjaro.
Umenikumbusha mbali sana chief.. scene zake zilikua zikifika miaka hiyo wote tumekaa sebleni utaona kila mtu anaenda njia yake anajua tu kinachofatia.. time flies

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Just an observation: some are happy with the decision [as if they were finna get some of the bread] and some are mad about it [as if they’ve been denied the bread].

Weird shit [emoji16].

But hey…what does lil’ ‘ol me know!!

Maybe some folks live vicariously through those folks [emoji2369]
Issue sio kupata au kukosa baada ya hii hukumu.. issue ni alichokifanya hakikuwa sahihi / cha kibinadamu na kina elimu ndani yake ili wengine tujifunze

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Interior designing ina miaka mingi tu zaidi ya 10, watu wanafanya na wamekuwa wanafanya shughuli za interior designing, ila hilo neno, 'interior designing ' linaonekana kama jipya hivii kibongo bongo. Kimsingi inahusisha mambo mengi tu.

Imagine, Mama zetu waliokuwa wanasuka vitambaa vya mezani, vya makochi, mashuka ya kufuma na mkono linachorwa ua, Baba zetu na useremala n.k

Sasa suala la Jack kushindwa biashara kama ameshindwa, huenda lina sababu nyingi tu ambazo nyingine hatuzijui sisi ila si kwamba choice ya biashara yake....

Binafsi, nafahamu watu kadhaa kwenye tasnia ya interior designing tena wameanza kwa ugumu mnoo na kuunga sana lakini wanatengeneza pesa vizuri sana, sasa kwanini Jack ashindwe??? Je tatizo yeye au biashara????
Nadhani kwa sababu yeye si mfanya biashara na hakutaka kujifunza kwa reginald bali alimegemea sana marehemu. Marehemu akiondoka lazima biashara iondoke naye.
 
Maana ya wosia/ will ni nini? Si ni matakwa ya aliyefariki kwa waliobaki hai? Matakwa yaheshimiwe, la sivyo haina maana kuacha urithi ukiwa ndani ya wosia wa mwisho.
Si kila wosia ni halali. Wosia lazima ukidhi matakwa ya kisheria. Mengi ni msomi mzuri na mwenye uzoefu mwingi asingeweza kuondika wosia wa kihuni kama ule!
 
Back
Top Bottom