Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Ukweli Kuna kitu nimejifunza. Kwamba wosia wa marehemu, unaweza kubatilishwa na mahakama? Na kwamba ulitaka kuandika wosia yafaa uhusishe mwanasheria kusudi wosia uwe Hali kisheria? Sijua, bado najiuliza. Mtu akifariki hawezi Tena kujitetea, inakuwaje alichotamka au kuandika Kama wosia kipingwe?
Usiandike wosia wa kihuni. Tafuta mwanasheria ambaye ni independent atadraft unachotaka kisheria na atakushauri kama kile unchotaka kitahold au hakitahold ukishakufa, halafu huo wosia anakaa nao anauhifadhi mahali salama e.g benki. Jackie kwanza hakutakiwa kujua kilichomo kwenye wosia. Mwanasheria angeusoma baada ya marehemu kufariki mbele ya mke, watoto na ndugu. Sasa iweje wosia anakuwa nao jackie????
 
Jack mjinga sana. Ana haki ya kudai mgao wake na watoto wake lakini siyo kunyang'anya mali zote na kuwatenga watoto wakubwa wa marehemu. Huu ni uchu uliopitiliza
Hana haki kudai mgao wake na watoto kwa mali alizozikuta!!! Mengi alijua hilo na alimuanzishia biashara nyingi tu nasikia zimekufa. Kumbe anauza sura tu biashara hawezi!!!!
 
Hii ishu nilishasema toka mwanzo, Wosia ukienda kinyume na sheria, basi unajibatilisha wenyewe, watoto wa damu na wa ndoa (ya mwanzo) wa marehemu hawakuwekwa kwenye wosia bila sababu, WHY? Hiyo ni kinyume na sheria, lazima sababu iwekwe wazi!
Inaonekana marehemu hakuwa kwenye good terms na watoto wake wakubwa
 
Kwani wakati Mengi yupo hai hao watoto wakubwa kuna hela zozote walikuwa wanachukua ?
Kama sivyo hiyo nguvu wanaipata wapi.
Mengi asingeandika Wosia watoto wa Jack wangedhulumiwa vibaya.Mengi anawajua wachaga vuzuri, msifikiri Mengi alikuwa mjinga.
Wengi wanaocomment wako emotional , hawajui nn hasa kilitokea mpaka mengi akaandika wosia wa namna ile... kwenye familia huwa kuna mambo mengi sana tusioyajua watu wa nje na laiti km yakiwekwa wazi utashangaa wote tutaanza kumtetea jack
 
nitahamasisha huyu dada asaidiwe na chama cha mawakili wanawake wote, pia tunaomba LHRC iingilie kumsaidia huyu MJANE anaye nyanyasika na kuminywa kisa ni mwanamke,
Hapana,
Tunaomba HAKI itendeke.

KESI HIII ITAKUWA YA MFANO.

HAYA NI MAPAMBANO KATI YA FAMILIA YA KITAJIRI KWA UPANDE MMOJA NA MWANAMKE MJANE ASIYE NA NGUVU KUBWA YA KIUCHUMI.
NANI MSHINDI?

Huu wasia wa marehemu mengi unapotoshwa kwa makusudi, mRa ohh saini imekosewa mara ohhh haukufungwa hizi hoja gani za ajabu kabisa, acheni kumdhulumu mjane.
Labda kama hao mawakili wanawake ndiyo wawe majaji
 
Ndio sasa matokeo yake anayaona. Imekula kwake sasa. Confidence bwana confidence. Mwanamke una beauty alafu unashindwa kutumia vizuri ni ujinga.
Hata hii reasoning ina shida! Kwa hiyo hiyo so called beauty aitumieje kwa mfano? Hiyo beauty inaliwa ama? Tatizo la mama na binti zetu liko hapo,kwamba ukiwa mwanamke na unavutia basi ndo mtaji siyo.
 
Hata hii reasoning ina shida! Kwa hiyo hiyo so called beauty aitumieje kwa mfano? Hiyo beauty inaliwa ama? Tatizo la mama na binti zetu liko hapo,kwamba ukiwa mwanamke na unavutia basi ndo mtaji siyo.
Beauty ni mtaji ndio...kwani wee hulitambui hilo? Mwanamme ni tako na sura haya mambo ya kusema oh nimesoma peleka kwenu. As long as mwanaume analipa 90% ga bills ndani ya nyumba mke umuhimu wake upo kwenye sura na tako yaani midume uburudike kukojoleaaa pazuri na hamna mwanaume asipenda mbususu classic bwana.

Tunayaona daily mtu na mke wake wame struggle pamoja lakini mkwanja ukitiki lazima kidume achukue pisi kali.

Beauty unaitumiaje tena? Sii unaitumia kudanga wee vipi bwana. Yaani mwanamke mzuri wee usasambuliwe mbususu bila serious money huo ni ujinga wako. Mwanamke ukibariliwa sura na tako wee ulishapata mtaji kwa maana wanaume watafika bei tuu.
 
Jadili ndoa yako mama, achana na kujadili na kuchambua ndoa na mirathi ya watu wengine, ushauri wa bure huu, unless kama ulikua unalala nao kitanda kimoja.

Una stressss eeeeeh😆😆😆😆😆😆😆
 
Hakuna mwanamke yeyote ataunga mkono ufedhuli wako
ufedhuli unauona baada ya Mengi kufa?!

mbona alivyo kuwa hai mlikuwa hamsemi huo ufedhuli wa huyo mjane?! mpaka amekufa ndio mnaanza kuzusha mambo kwa nia ya kudhulumu haki ya mjane!!!

Hii kesi itakuwa ni mfano mbaya wa kudhulumu haki za wanawake wajane kwa hoja ambazo hazina maaana yoyote
 
Ndio sasa matokeo yake anayaona. Imekula kwake sasa. Confidence bwana confidence. Mwanamke una beauty alafu unashindwa kutumia vizuri ni ujinga.
Cha kutumia ni akili
Uzuri unapita

'Mwanamke mzuri asie na akili ni kama nguruwe mwenye kidani cha dhahabu puani' imeandika Mithali sio mimi
 
Sheria ni sheria, na si suala la mihemko na hisia, tumeelewana?
sheria inapindishwa kwa hoja DHAIFU kabisa!!!
wanashindwa kuzingatia masilahi ya MWANAMKE MJANE kwa kuegemea hoja dhaifu?!!

1. saini ya marehemu imekosewa, hawasemi imekosewaje na kama sio ya marehemu inamaana basi mjane kafoji?! acheni kumdhulumu mjane, mpeni haki yake.
 
Cha kutumia ni akili
Uzuri unapita

'Mwanamke mzuri asie na akili ni kama nguruwe mwenye kidani cha dhahabu puani' imeandika Mithali sio mimi
Hayo maneneo ya wanawake ambao hawana sura wala tako. Walio barikiwa wanapata maisha kupitia huo uzuri wao.

Kama mwanamke huna sura wala tako wee kazana na kitabu tuu ndio mkombozi wako.
 
sawa kaka wa mjane tumekusikia
sina udugu na huyo mjane wala simjui zaidi ya kusoma na kufuatilia kesi yake.

ila mimi huwa sipendi MTU YEYOTE KUDHULUMIWA HAKI YAKE. huwa natamani ardhi ipasuke ninapoona mtu anadhulumiwa haki yake au kunyanyaswa.

Haki ya huyo mjane iko wazi kabisa.
 
Nadhani kwa sababu yeye si mfanya biashara na hakutaka kujifunza kwa reginald bali alimegemea sana marehemu. Marehemu akiondoka lazima biashara iondoke naye.
Hiyo biashara ya Jack ( Amorelete) ilikufa hata kabla ya mengi hajafa. Ofisi zake nilikuwa naziona mikocheni
 
Back
Top Bottom