Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Mkuu.. ujue nimejaribu kufikiria juu ya hoja ya kukosa hofu ya Mungu. Hivi unadhani mtu akiwa na hofu ya Mungu kweli anaweza kufanya hivi? Ujue inahitaji roho ya kikatili sana? Ujue sisi ni wadhambi, siyo malaika. Lakini kuna matukio yanaogopesha sana. Mtu ukiwa na hofu ya Mungu sidhani kama unaweza fanya dhuluma hivi. Jamani... mume wangu hata awe bilionea vipi, yaan kama ni jasho lake wallah sitokaa niwahi jifikirisha ni sehemu ya mali zangu. Sitaki kabisa. Awape watoto wake. Nitahesabu kitu ni chetu endapo tu tutafanya mradi pamoja. Hilo tuu. Lakini hata tuwemo kwenye ndoa sishtuki haataaa... one day nilimweleza mama yangu, akiona anakaribia kufa awagawie wanaye wawili mali zake ama auze[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au nitakua si mchagga ndugu yangu. Hapa tu ndo naposhushuliwa. Mali za watu ambazo sijazitolea jasho hazilegezi kabisa mshipa wangu wa wowowo... naamini hofu ya Mungu ndo kila kitu
Kiufupi Klyn ni shetani
 
Kesi Ya Mirathi ya ya Dr. Reginald Mengi: Former Miss Tanzania Jackline Ntuyabaliwe adondokea pua kwa Mara Ya nane tena katika Rufaa

View attachment 1790872

Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala ya Dar es Salaam imetoa uamuzi kuwa mtoto wa Marehemu Reginald Mengi;-Abdiel na kaka wa marehemu, Bw. Benjamin Mengi kuwa wasimamizi wa mirathi ya mali alizoacha marehemu (Reginald Mengi). Katika uamuzi huo, mahakama imeagiza usimamizi na mgawanyo wa mirathi uanze mara moja.

Akisoma hukumu hiyo yenye kurasa 72 mnamo Mei 18/2021 Jaji Mlyambina alisema kuwa wosia wa mwisho wa Marehemu Dkt. Mengi ulioandikwa Agosti 17,2017 haukuzingatia misingi ya kisheria ya uandishi wa wosia.

Katika shauri hilo watoto wa marehemu Dkt. Mengi walikuwa wakipinga wosia uliodaiwa kuachwa na Marehemu baba yao kwa madai kwamba wosia huo haukufungwa ‘sealed’ na saini iliyopo kwenye wosia huo ni tofauti na sahihi zingine za Marehemu na pia kwa wakati huo baba yao hakuwa na uwezo wa kuandika kutokana na matatizo makubwa ya kiafya aliyokuwa nayo tangu mwaka 2016.

Aidha watoto hao walidai kuwa wosia uliwabagua na urithi wote aliachiwa mkewe mpya na watoto mapacha na hivyo wosia huo ulikuwa kinyume na sheria sababu uliwabagua watoto bila sababu za msingi na za kisheria.

=====

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeukataa wosia uliokuwa ukidaiwa kuandikwa na aliyekuwa mfanyabiashara maarufu nchini marehemu Reginald Mengi pamoja na mambo mengine ikieleza kuwa haukidhi matakwa ya kisheria ili kuwa wosia halali.

Uamuzi huo ulitolewa jana na Jaji Yose Mlyambina kufuatia shauri la mirathi lililokuwa limefunguliwa na watu wanne wakiwemo ndugu wa marehemu, wakiomba kuteuliwa kuwa wasimamizi wa mirathi hiyo.

Jaji Mlyambina amefikia uamuzi huo baada ya kukubaliana na hoja za pingamizi lililowekwa na mmoja wa watoto wakubwa wa marehemu Mengi pamoja na ndugu yake marehemu Mengi, waliokuwa wakipinga uhalali wa wosia huo.

Shauri hilo la mirathi namba 39 la mwaka 2019 lilifunguliwa na Benson Benjamin Mengi, William Onesmo Mushi, Zoebu Hassuji na Sylvia Novatus Mushi wakiomba kuteuliwa kuwa wasimamizi mirathi hiyo kwa mujibu wa wosia huo.

Hata hivyo, mtoto wa Marehemu Mengi, Abdiel Reginald Mengi na ndugu wa marehemu Mengi, Benjamin Abraham Mengi, waliweka pingamizi dhidi ya wosia huo, wakipinga uhalali wake huku wakiwasilisha jumla ya sababu nne za kuupinga.

Sababu hizo ni pamoja na kwamba haukwa umepigwa mhuri na saini iliyokuwepo ilikuwa ni tofauti na saini ya kawaida ya marehemu Mengi na kwamba haukushuhudiwa na ndugu au mke wa marehemu.

Pia walikuwa wakidai kuwa marehemu hakuwa na uwezo wa kuandaa wosia kwa kuwa alikuwa na matatizo ya kiafya tangu mwaka 2016 na kwamba unaondoa katika urithi, watoto bila kuzingatia mila za Kichaga au kuhusisha ndugu.

Mahakama Kuu baada ya kusikiliza hoja za pande zote katika hukumu yake iliyosomwa juzi na Jaji Mlyambina na nakala yake kupatikana jana kwa matumizi ya umma, alikubaliana na hoja za pingamizi hilo dhidi ya wosia huo na kuikataa kuwa ni batili.

Jaji Mlyambina alikubaliana na sababu hizo za pingamizi na pamoja na mambo mengine, amesema kuwa inawanyima urithi wanaye bila kutoa sababu, na kwamba ziliiingizwa mali za mke wake mkubwa.

Kwa uamuzi huo, Jaji Mlyambina hakuwateua waombaji hao kuwa wasimamizi wa mirathi na badala yake aliwateua Abdiel na Benjamini kuwa wasimamizi wa mirathi na akaelekeza mali za marehemu zigawiwe warithi wanaostahili kwa utaratibu wa kawaida kama wa mtu ambaye hakuacha wosia.

Awali mjane wa marehemu Mengi, Jacquiline alijaribu kuingia katika shauri hilo bila mafanikio baada ya mahakama hiyo kutupilia mbali maombi yake mara tatu.

Credit: Mwananchi

Zaidi soma;

1). Thread 'Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Nimezuiwa kuingia kwenye kaburi la mume wangu. Nimechoka na sitakubali' Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Nimezuiwa kuingia kwenye kaburi la mume wangu. Nimechoka na sitakubali

2). Thread 'Hatimaye K Lyn (Jacqueline Ntuyabaliwe) achumbiwa na Reginald Mengi' Hatimaye K Lyn (Jacqueline Ntuyabaliwe) achumbiwa na Reginald Mengi

3). Thread 'Watoto wa Mengi wamburuza mahakamani Jacqueline Mengi "Klynn"' Watoto wa Mengi wamburuza mahakamani Jacqueline Mengi "Klynn"

4). Thread 'Unaodaiwa kuwa wosia wa Reginald Mengi huu hapa, mali zote ni za Jacqueline na watoto wake mapacha' Unaodaiwa kuwa wosia wa Reginald Mengi huu hapa, mali zote ni za Jacqueline na watoto wake mapacha

5). Thread 'Miaka 5 ya Anniversary ya Reginald Mengi na Jackline Mengi wote wafunguka' Miaka 5 ya Anniversary ya Reginald Mengi na Jackline Mengi wote wafunguka

6). Thread 'TANZIA: Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Abraham Mengi afariki dunia akiwa Dubai, UAE' TANZIA: Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Abraham Mengi afariki dunia akiwa Dubai, UAE
Wakifikia kipengele cha kupima DNA mnitag
 
Duh....Kwani huyu demu amekukosea nini....acha wivu ...Mzee Mengi ilitakiwa aweke mambo sawa zamani sana...Jacky aliona kuna fursa ndiyo akapenya hapo hapo....kwa akili za mademu wa kibongo wote mngefanya hivyo hivyo shubaamit!
Tatizo hapo sio jack ni washenga wapambe nuksi
 
unajua maaana ya wasia.
wosia ndio umempa HAKI MJANE, sasa familia na sheria wamecheza na wosia ili kumnyima na kumminya mjane.

Hoja za kuupinga wosia wa marehemu ni DHAIFU sana na hazina uzito wa kubatilisha wosia wa marehemu haswa ukizingatia MJANE alikuwa mke halali mpaka marehemu umauti ulipo mkuta, hawakuwa na mzozano, marehemu na mjane walikuwa na maelewano na walikuwa na furaha ktk maisha yao mpaka umauti.....sasa leo unaanzaje kudhani kuwa wosia ulifojiwa?! eti saini siyo yake??

Maisha ya Mjane na Marehemu ni kielelezo tosha kuwa wosia huo ni wa kweli uliandikwa na marehemu kwa ridhaa yake na akiwa timamu, hapa kuwa na sababu ya mjane kufoji wosia maaana mapenzi yao yaliyo kuwa dhahiri shahiri ni kielelezo tosha hapakuwa na haja ya kufoji.
ikishindikana tutafika hata mahakama ya Afrika masharika mpaka haki ya mjane ipatikane.

Wewe nae acha kujidharirisha hapa na Ubush laywer wako hapa. Inaonekana wewe ni familia ya Jack mlikuwa mmeshapigia hesabu za kuwa Directors wa IPP. Nendeni huko na roho zenu mbaya,na Mahakama ndiyo imeshaamua sasa,hamna la kufanya,endeleeni kudanga kwingine.
 
Katika hili ntasimama Jacklyn, mzee aliamua kumuachia mali zake mwenyewe wale wengine walishachukua chao mapema!! Huu ni uonevu na hakika karma itawapata!

ikiwa mzee mwenyewe ndie alieamua sio tatizo lolote wakati mali ni za kwake. ni uonevu tu
 
Inaonekana marehemu hakuwa kwenye good terms na watoto wake wakubwa

D0429DD9-987C-47D7-BD20-64C734F50F8D.jpeg


36F3A18C-F2CD-4D9A-ACF2-62F847E96205.jpeg


ADDC079B-A240-423A-B163-BD7AECD1C45B.jpeg
 
unajua maaana ya wasia.
wosia ndio umempa HAKI MJANE, sasa familia na sheria wamecheza na wosia ili kumnyima na kumminya mjane.

Hoja za kuupinga wosia wa marehemu ni DHAIFU sana na hazina uzito wa kubatilisha wosia wa marehemu haswa ukizingatia MJANE alikuwa mke halali mpaka marehemu umauti ulipo mkuta, hawakuwa na mzozano, marehemu na mjane walikuwa na maelewano na walikuwa na furaha ktk maisha yao mpaka umauti.....sasa leo unaanzaje kudhani kuwa wosia ulifojiwa?! eti saini siyo yake??

Maisha ya Mjane na Marehemu ni kielelezo tosha kuwa wosia huo ni wa kweli uliandikwa na marehemu kwa ridhaa yake na akiwa timamu, hapa kuwa na sababu ya mjane kufoji wosia maaana mapenzi yao yaliyo kuwa dhahiri shahiri ni kielelezo tosha hapakuwa na haja ya kufoji.
ikishindikana tutafika hata mahakama ya Afrika masharika mpaka haki ya mjane ipatikane.


bashiteeeeee unatufurahisha 😂😂😂😂😂
 
Kuna hii post ya Mwenzetu Samceaser,
Ningeomba wanao mtetea Mjane waisome na ikiwezekana wamuhusishe mwanasheria wao

THE LEGAL BATTLE TO INHERIT THE ESTATE OF THE BUSINESS TYCOON LATE REGINALD MENGI: HISTORIC AND MONUMENTAL JUDGEMENT BY HIS LORDSHIP MLYAMBINA.


"The dead commands nothing from his grave except what the living allow him to do."


PART 1: BRIEF GENERAL OVERVIEW.


Just Yesterday, even before the legal shock waves of "Utakaso Doctrine" ( Sanitio in Radice ) cools down and even before the dust thereof settles in the case of Marco Elias Buberwa Vs Agness Kokushekya Elias Buberwa, Misc. Civil Application No. 235 of 2020, our very own legal mind of this great res republica, His Lordship Mlyambina delivered the historic and monumental Judgment in Re Estate of Late Reginald Abraham Mengi which can be cited as Benjamin Benson Mengi & 3 Others Vs Abdiel Reginald Mengi & Benjamin Abraham Mengi, Probate and Administration Cause No. 39 of 2019.

This monumental judgment embodies in itself myriad of new legal principles and doctrines which significantly or radically changed landscape and inheritance legal equation of the Law of Succession in Tanzania.

Every Probate Lawyer in Tanzania has two options, either he reads and comprehends this monumental judgment very well to remain relevant as expert in the realm of Law of Succession in Tanzania or ignores it. If he ignores it, by default, he will practically find him delisted from the list of experts of the Law of Succession in Tanzania as this monumental judgment radically changed landscape and inheritance legal equation of the Law of Succession in Tanzania.

Briefly: the Last Will and Testament of the Late Dr. Reginald Abraham Mengi was nullified and declared to be null et void for want of Testamentary Capacity contrary provisions of Section 46 of the Indian Succession Act, 1867 and contrary to ratio decidendi enunciated in the famous case of Banks Vs Goodfellow [1870] LR 5 QB 549 which was cited with approval by Court of Appeal of Tanzania in the case of Vaghella Vs Vaghella [1999] 2 EA 351 which is one of local case that recignises this principle. Additionally, the Last Will and Testament of the Late Dr. Reginald Abraham Mengi has been nullified on ground of unreasonable disiheritance of heirs (a son and a daughter from the first marriage) something which is repugnant to, and inconsistent with, Restrictive Testamentary Freedom Doctrine enunciated by His Lordship Mlyambina in this case.

As consequence of nullification of the puported Last Will and Testament of Late Mengi, the 1st Caveator and 2nd caveators, Mr. Benjamin Abraham Mengi and Mr. Abdiel Reginald Mengi respectively were appointed by High Court to be administrators of the estate of Late Reginald Abraham Mengi.


PART 2: JURISPRUDENTIAL SIGNIFICANCE OF MENGI'S PROBATE CASE.

Through Mengi's Probate Case, His Lordship Mlyambina has made the following contributions in endavour to develop the legal system;

(1) Mengi's ProbateCase marks the jurisprudential shift on area of Law of Succession from Absolute Testamentary Freedom Doctrine as enunciated in the famous English case of Banks Vs Goodfellow [1870] LR 5 QB 549 to a more relative flexible legal principle by name of Restrictive Testamentary Freedom Doctrine which is a more advanced stage and space than all common law jurisdictions.

(2) As result of the said jurisprudential shift, Tanzania officially abandoned Absolute Testamentary Freedom Doctrine which existed and survived for more than 100 years.

(3) The new legal principle namely Restrictive Testamentary Freedom Doctrine introduced some elements of Force Heirship Sub-System in Tanzania in the realm of statutory succession law as result testator (parent or spouse) is now under legal obligation to bequeath his or her estate to members of his own nucleus family related to him by blood, marriage and adoption in a certain circumstances.

(4) This judgment imposed 5 restrictions on what is used to be known as unfettered discretionary power of testator in realm of Testamentary Freedom to bequeath his estate as it pleases him which now operate as exceptions to general rule of Testamentary Freedom.

(5) The Doctrine of Testamentary Freedom continues to exist in Tanzania, however, it is no long absolute rather it is restrictive in its very nature as result the Doctrine of Testamentary Freedom admits the following 5 exceptions;

(a) Matrimonial Assets Impediment;

(b) Statutory Heirs Rule;

(c) Public Policy Bar;

(d) Exturpi Causa limitation; and

(e) Lack of Testamentary Capacity;

(6) A spouse (especially husband) is now barred by law to include and bequeath the share of matrimonial assets of another spouse (especially wife) as part and parcel of his/her estate.

(7) With these 5 exceptions or restrictions, now this judgment marks the end of Absolute Testamentary Freedom of Testator under statutory law in Tanzania.

(8) Notwithstanding the legal obligation of Testator to compulsorily bequeath part of his estate to his children and spouse under statutory law, yet as exceptions to general rule on Testamentary obligation on the tastator, now the Testator is entitled to disinherit his child or spouse in the following circumstances;

(a) Where the son or daughter of testator commits adultery with the spouse of the testator;

(b) Where the spouse commits adultery with son or daughter of testator;

(c) Where a son, daughter or spouse attempt to murder the testator or his or her spouse;

(d) Where a son, daughter or spouse neglects to, fails to look after testator or fails to take care of testator in hunger or sickness or during old age without justifiable reasons;

(e) Mistreatment of testator by words or deeds;

(f) Where son, daughter or spouse by fraud, violence, intimidation, or undue influence causes the testator to make a will or to change one already made;

(g) Any other ground which the court may determine to be sufficient cause for disinheritance of son, daughter or spouse.


(9) His Lordship Mlyambina through this judgment has developed what is known as the Dominant Part Doctrine or rather the Dominant Part Test which is the new legal test which should be used to determine applicable law on estate and Last Will of deceased person in the circumstances of hybrid mode of life, this is a legal novel which probably is not known anywhere in all common jurisdictions .

(10) Now, in Tanzania there are 3 legal tests which should be used by court of law to determine law applicable to regulate the estate and last will and testament of deceased person namely;

(a) Intention of Deceased Test.

(b) Mode of Life Test

(c) Dominant Part Test.

(11) The Last Will and Testament of the Late Dr. Reginald Abraham Mengi was nullified and declared to be null et void for want of Testamentary Capacity contrary provisions of Section 46 of the Indian Succession Act, 1867 and contrary to ratio decidendi enunciated in the famous case of Banks Vs Goodfellow [1870] LR 5 QB 549 which was cited with approval by Court of Appeal of Tanzania in the case of Vaghella Vs Vaghella [1999] 2 EA 351 which is one of local case that recognises this principle.

(12) His Lordship Mlyambina modified the Common law Principles namely Testamentary Freedom Doctrine to suit local circumstances of Tanzania and its inhabitants under provisions Section Section 2 (3) of the Judicature and Application of Laws Act, Cap. 358 as judicially considered by several several cases in Tanzania including case of DPP Vs Vogel [1987] TLR 100 and Tanzania Air Services Limited Vs Minister for Labour & 2 Others [1996] TLR 217.

(13) His Lordship Mlyambina addressed issue of active role of judge in adversarial legal system and the modification of adversarial system in Tanzania to accommodate some elements of Inquisitorial Legal System .

(14) The Last Will and Testament of the Testator is liable to be invalidate and render null et void ab initio if it was made in contravention of any of 5 exceptions to the Doctrine of Testamentary Freedom list hereinabove.

(15) As consequence of nullification of the puported Last Will, the 1st Caveator and 2nd caveators,Mr. Benjamin Abraham Mengi and Mr. Abdiel Reginald Mengi respectively were appointed to be administrators of the estate of Late Reginald Abraham Mengi.

(16) Where the Last Will and Testament of the deceased Testator is nullified, the Letter of administration should be granted automatically where caveat is allowed there is no need for caveator to institute fresh legal proceedings in the light of Doctrine of Overriding Objective enshrined in provisions of Section 3A and 3 B of the Civil Procedure Code, Cap. 33 as by provisions of Section 6 of the Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No. 3) Act, 2018.


PART 3: BRIEF CONCLUSION.

The impact of this judgment is expected to extend beyond the territorial boundaries of the United Republic of Tanzania as this judgment stands in the best position to influence jurisprudential shift in East Africa Region in particular and in all common jurisdictions in general.

By Matojo M. Cosatta

19/5/2020.



1621617084191.png


1621617083149.gif


1621617083304.gif


1621617083226.gif


1621617083380.gif


1621617083470.gif


1621617083540.gif


1621617083611.gif


1621617083683.gif


1621617083755.gif


1621617083901.gif


1621617083827.gif


1621617083972.gif


1621617084044.gif


1621617084115.gif
 
Na ukute hata hao watoto mapacha si watoto halali wa mengi

"wanaume ishini na wake zenu kwa akili"

Mwanamke hajawai kuaminika
 
Back
Top Bottom