Wote wanaomshabikia Cristiano Ronaldo hawajui mpira na ni Wakengeukaji

Daaah....kwa hii comment yako ni hatari sana kwangu kuendelea kukujibu, sikujua kama mtu mwenyewe ni psychopath
Mbona unasema hujibu na hapo hapo umejibu taahira unatafuta Bwana humu jf.. unakuja kwangu kingese nakutoa nduki sina mazoea na Mashoga. .
 
Christiano ndio nani?ninayemfahamu anaitwa Cristiano Ronaldo!
 

Umemaliza kila kitu Mkuu na acha hao wanaomshabikia Shoga la Kireno waendelee kufanya hivyo. Hakuna kama Lionel Messi katika dunia hii kwa sasa na inaweze ikatuchukua hata miaka 250 ijayo kuja kumpata tena Mchezaji mwenye utamu wote wa Kimpira kama Yeye ( Messi )
 
Ronaldo kitu pekee anachomzidi Messi ni kujali afya yake. Ronaldo huwa anaenda Morocco kupimwa tezi dume na baunsa
 
hesabu balon dor [emoji3] [emoji3] [emoji3] umedhamiria kuandika ivi ama but remember alietangulia katangulia tu
 
Ingekuwa ni wanafunzi Mimi ningesema hivi: Ronaldo anasoma sana lakini Messi ni genius
 
Rinaldo ameshinda kila kitu alichoshinda Messi ila Messi hajashinda kila kitu alichoshinda Ronaldo,
Messi amecheza team moja maisha yake yote tena akiwa amezungukwa na kundi kubwa la wachezaji wenye vipaji vikubwa na bora
Ronaldo amecheza team 3 ktk ligi 3 tofauti akiwazungukwa na wachezaji bora pamoja wale tunaowaita wa kawaida lkn ubora wake haujawai kushuka,

Ronaldo ametwaa ubingwa wa Euro akiwa na wachezaji wakawaida Ureno wakati Messi pamoja na kucheza na lundo la mastaa Argentina hajawai kufanya lolote la maana
Pamoja na kucheza na xaivi , iniesta, neymar na suarez Ronaldo amekuwa akimbuluza champion league kwa miaka 5 mfulilizo

Aisee ukikutana na Ronaldo mpe shikamoo yake maana mpira mabao chenga hata okocha alikuwa nazo tena za burudani na kama ni mbio hata valencia anazo
 
Hivi kuanzia 2012 hadi 2017 Messi alikuwa ana cheza ndondo cup au [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu usimtukuze sana Messi ukamshau mwalimu wake ambae alimuamua kucheza nae kabla hajamuachia ile no 10 anayovaa Messi kwa sasa. Na burudani unayopata kwa Messi ni sehemu ndogo tu ya burudani aliyopewa na mwalimu wake. Nakuwekea na picha umjue mwenye ufundi wake
 
kwako huwa unazingitia vigezo gani mpaka kumuona mchezaji bora? kwa kugusa mpira kwa namna ya pekee bila kuleta mafanikio kwa timu anazozitumikia?

ukweli acha usemwe christiano ronaldo is the best
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…