Agreed?
You can never go against nature......
hahaha...sawa mkuu nakuelewa...unajua tena ukiwa kwenye "penzi jipya" LOL...
let me think mmmmmhhhhh:juggle:
pare pare...vire vire...watu ware ware...hahaha hommie wacha nisepe nitacheki kesho mnadani inakuwaje...
We sema ukweli tu uone moto wake
Still thinking?.............Am waiting!
Hommie katiba inasema kizuri kula na nduguyo....usisahau manake naona upo kimaslahi zaidi...
I'm done ...
leo kwa mara ya kwanza nakubaliana nawe..
kwa sababu ni ijumaa na Busa imeshuka bei..
nway nakubaliana nawe kwa hivi tangu enzi hizo
ma babu walikuwa wanaoa zaidi ya mke mmoja..
( babu wa mama yangu alikuwa na wake 9)
(wote Islam and Christian )
ila miaka hii ya 21st century tumeamua kuiziba hiyo..
Na ndio maana haya mambo sijui ya nyumba ndogo
infi hayaishi...... ( napenda kuuita urithi wa damu)
lakini mie bado siwatetei ila naelewa sababu.....
Thats my girl.....Unatumia mvinyo gani?
I wish na wanawake wengine wangeujua huu ukweli.... Wanajitetea tu hapa lakini ukweli hao jamaa/waume zao wanawacheat kama kawaida!
Sijui kwanini wanawake hawapendi kuukubali huu ukweli? Afu wana bahati tunawaambia ukweli lakini wanatubishia...damn!
Thats my girl.....Unatumia mvinyo gani?
I wish na wanawake wengine wangeujua huu ukweli.... Wanajitetea tu hapa lakini ukweli hao jamaa/waume zao wanawacheat kama kawaida!
Sijui kwanini wanawake hawapendi kuukubali huu ukweli? Afu wana bahati tunawaambia ukweli lakini wanatubishia...damn!
usimwage kuku penye mchele mwingi mkuu!Thats my girl.....Unatumia mvinyo gani?
I wish na wanawake wengine wangeujua huu ukweli.... Wanajitetea tu hapa lakini ukweli hao jamaa/waume zao wanawacheat kama kawaida!
Sijui kwanini wanawake hawapendi kuukubali huu ukweli? Afu wana bahati tunawaambia ukweli lakini wanatubishia...damn!
Ewaaaaa....kilichobakia kama ulivyosema ni kuivaa mioyo ya ganzi....huwezi kuusemea moyo wa mwenzako...... Mke/mme wako anakuwa wako unapokuwa naye. Akitoka nje LOLBabu ingawa ukweli unauma ,ndo maana nimemuambia lizzy hajaolewa hajaumbika kukubali ukweli wa maisha huwa ni mgumu sana wakati mwingine .......lakini with time huwa tunatengeneza ganzi za moyo.
e bana ee, Mwj1 nami naomba dua zako.
Amen, AMEN!...
babu sio kwamba hatujui ukweli
bali tunapenda kuwa special tunapenda
kujua ni mimi na wewe tu hakuna mwingine
Napenda kujivunia wewe ni wangu na mimi wako
Na vitu kama nyumba ndogo, infi vinaondoa
Ice juu ya cake .. na huwa sisi wanawake tuna
mioyo milaini sana tukujua wanaume zetu wanatoka
nje tunaanza waza its my fault .. Ni nini sifanyi or
I'm not good enough ..
Kingine ni haya magonjwa tunayoogopa..
Miaka hiyo ya 1910 kulikuwa hakuna magonjwa
ya ajabu ajabu kama sasa
especially kama tunafamilia mmmhh mawazo
yanazidi .. cha mwisho ni uwivu tu wamapenzi..
Asante babu
Basi acheni kwenda kufungishwa ndoa kanisani mfunge za jadi ili ijulikane kabisa mnaedeleza utamaduni!!!NAUMWA NATAMANI NIWAAMBUKIZR WOTEMNAOSAPOTI INFI HAPA!!Thats my girl.....Unatumia mvinyo gani?I wish na wanawake wengine wangeujua huu ukweli.... Wanajitetea tu hapa lakini ukweli hao jamaa/waume zao wanawacheat kama kawaida!Sijui kwanini wanawake hawapendi kuukubali huu ukweli? Afu wana bahati tunawaambia ukweli lakini wanatubishia...damn!