Wozaaa Rotimi shemeji wa dunia katua Tanzania

ohh kumbe jamaa anajitambua ?
 
Mbongo bahati mbaya? Kila mweupe unayemwona unaconclude kajichubua!

Wengine mix race kwa mbali na maji anayoogea huko kwao ni masafi kulipa maji ya kunywa ya baadhi yetu.

We huyo mwangalie tu kwa mbali a useme AMEEN, utukufu ni wa Mungu.
Jamaa anadhani huyu anaishi uswekeni kama Mbagala rangi tatu..full vumbi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…