Ulisha date nae huyu Jamaa ukajua kua anajitambua,? Na Huo Uanaume suruali wa Jux ulisha date nae Ukaujua usuruali wake?Halafu kuna watu wapo bussy kwenye mitandao wanamlaumu "V MONEY" kumtema yule mbongo mwenzetu "MWANAUME SURUALI" (aliekua na kibanda pale sinza kikabomolewa na wanamgambo wa city), then kudate na huyu jamaa anaejitambua.
Wabongo sijui nani alituroga.
Huyu anajitambua kwa sababu kasokota nywele?1Au kwa sababu mweupe? wabongo bana. V alichoka mb..o ya jamamaa maana kazoea kubadili acha aende.Halafu kuna watu wapo bussy kwenye mitandao wanamlaumu "V MONEY" kumtema yule mbongo mwenzetu "MWANAUME SURUALI" (aliekua na kibanda pale sinza kikabomolewa na wanamgambo wa city), then kudate na huyu jamaa anaejitambua.
Wabongo sijui nani alituroga.
Alipita na mfanyakazi wa jide akamrushia maji ya uzima, Jide hoi, wala hakuthubutu kuimba wala kusema..maana alisema Gadna alikuwa anarushia maji wafanyakazi ndio maana alimuacha, akaenda yakajirudia. Kimya.yule Rasta wa Jide alipotelea wapi ?
Kwani huyo chalii wa NIGERIA???Vmoney mjanja sana, kudate na huyu celebrity wa Naija, kutamfanya mziki wake upenye na kuwa maarufu Nigeria, na kwa africa ukishapata kick Nigeria ujue umeshatusua kimataifa, maana wanigeria wamesambaa dunia nzima.
Si nasikia wamerudiana na GadnerAlipita na mfanyakazi wa jide akamrushia maji ya uzima, Jide hoi, wala hakuthubutu kuimba wala kusema..maana alisema Gadna alikuwa anarushia maji wafanyakazi ndio maana alimuacha, akaenda yakajirudia. Kimya.
Sijasikia hii mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Usinikumbushe kudekezwa, Kuna wakati niliingiwa na ugonjwa wa kulialia kisa kudekezwa, yaani kitu kidogo babe akiwepo lazima nilieMapenzi mapya huwa matamu mnoo afu ukute mwanaume ndio anadekeza weee unaona dunia yako
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Usinikumbushe kudekezwa, Kuna wakati niliingiwa na ugonjwa wa kulialia kisa kudekezwa, yaani kitu kidogo babe akiwepo lazima nilie
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Usinikumbushe kudekezwa, Kuna wakati niliingiwa na ugonjwa wa kulialia kisa kudekezwa, yaani kitu kidogo babe akiwepo lazima nilie
Sent using Jamii Forums mobile app
Alisha fanya colabo na Peter wa P square lakini bado hakupenya sasa atapenyezwa na Rotimi mkuu?Vmoney mjanja sana, kudate na huyu celebrity wa Naija, kutamfanya mziki wake upenye na kuwa maarufu Nigeria, na kwa africa ukishapata kick Nigeria ujue umeshatusua kimataifa, maana wanigeria wamesambaa dunia nzima.