Wrestler wa Austria Wilhelm Ott "Asilimu"

Wrestler wa Austria Wilhelm Ott "Asilimu"

Hatuenezi ushirikina bali upendo. Hatuna surat jin sisi.

Hiyo Injili kitabu chake kinapatikana wapi?
Nitathibitishaje Bibli ni ya uongo ikiwa aya zake na habari zake zimewekwa kwenye Koran?
Hakuna habari za Biblia katila Qur'aan, kuna habari za Injili, Zaburi, Taurati na kurasa za Ibrahim na Musa.

Hakuna upendo wa kweli nje ya dini ya haki.
 
Hakuna habari za Biblia katila Qur'aan, kuna habari za Injili, Zaburi, Taurati na kurasa za Ibrahim na Musa.

Hakuna upendo wa kweli nje ya dini ya haki.
Dini ya haki ni ipi?
Habari za Injili Koran ilizitoa wapi?

Nitakupa mifano michache ya habari za Biblia zilizoko kwenye kitabu chenu.
1. Habari za Nuhu.
2. Habari za Adam na Eva.
3. Habari za Musa na wana wa Israel.
4. Habari za Mfalme Daudi.
5. Habari za Yesu (japo hizi zimepindishwa sana)
6. Habari za Ibrahim.

Hii ni mifano tu ila kuna aya zipo zinafanana 99.8%
 
Dini ya haki ni ipi?
Habari za Injili Koran ilizitoa wapi?

Nitakupa mifano michache ya habari za Biblia zilizoko kwenye kitabu chenu.
1. Habari za Nuhu.
2. Habari za Adam na Eva.
3. Habari za Musa na wana wa Israel.
4. Habari za Mfalme Daudi.
5. Habari za Yesu (japo hizi zimepindishwa sana)
6. Habari za Ibrahim.

Hii ni mifano tu ila kuna aya zipo zinafanana 99.8%
Hizo sio habari za Biblia, sababu Biblia haikuwepo kipindi hicho.

Habari za Injili mtume alifunuliwa na Allah toka mbinguni.

Dini ua hali ni UISLAMU.
 
Hizo sio habari za Biblia, sababu Biblia haikuwepo kipindi hicho.

Habari za Injili mtume alifunuliwa na Allah toka mbinguni.

Dini ua hali ni UISLAMU.
Kama Biblia haikuwepo kilikuwepo kitabu gani?

Alifunuliwa na Allah Injili wow! Sasa kwanini katika mafunuo hayo alikuwa akipinga vile vilivyoandikwa kwenye Biblia na kukubaliana navyo baadhi ina maana Allah aliwahi kuisoma?
 
Ukiwa unaandika ujinga unatakiwa uwe mvumilivu kijana,hapa uko vitani usimchagulie silaha adui yako. Acha upigwe tu ili akili ikukae sawa.

Unapovunja heshima za watu, ukivunjiwa yako inabidi ufanye yafuatayo :
1. Kufanya kinyume chake
2. Utambue kosa lako kisha uliache.


She knocked herself out since the day before yesterday. Ukitaka banter to banter hapa tunakesha kwani mimi mwenyewe adabu nusu vilevile.ban ya mwezi mmoja huwaga hainisumbui pale inapobidi, kwahiyo wewe chukua hamsini zako tu, achana na mimi.
 
kuepuka kukwazwa uwe unaacha kucoment ujinga mkuu, pole sana.


Nikisema comment imanikwaza ujue naona suluhu kabla sijapigwa Ban. Uwe na weekend njema, huyo bi mkubwa mwenzio kakukubali yaishe.
 
Kama Biblia haikuwepo kilikuwepo kitabu gani?

Alifunuliwa na Allah Injili wow! Sasa kwanini katika mafunuo hayo alikuwa akipinga vile vilivyoandikwa kwenye Biblia na kukubaliana navyo baadhi ina maana Allah aliwahi kuisoma?
Vilikuwepo hivyo nilivyo kutajia, ila mpaka mtume anakuwepo nakala halisi za vitabu hivyo zilikuwa hazipo kwani watu walikuwa wameshaanza kuingiza uchafu. Rejea kitabu kiitwacho "Al Jawabu As Sahih).

Mtume alifunuliwa habari za kale lakini hakuambiwa ziwe muongozo kwake, bali ulikuwa ushahidi kwa wale walio kuwa wanapinga utume wake.
 
She knocked herself out since the day before yesterday. Ukitaka banter to banter hapa tunakesha kwani mimi mwenyewe adabu nusu vilevile.ban ya mwezi mmoja huwaga hainisumbui pale inapobidi, kwahiyo wewe chukua hamsini zako tu, achana na mimi.
Fanyia kazi ushauri wangu, maana hilo dogo limekuyumbisha ukipewa kubwa utapagawa na kurauka, wengine tuna jeruhi kwa maneno ya haki na elimu, mpaka unajiona umekosea kuingia ulipo ingia hapa.

Sasa, ukiingia vitani usimchagulie adui yako silaha, na uwe na adabu juu ya imani za watu, uache utoto.

Ukivunjia watu heshima na wao lazima wakuvunjie heshima, kisha kinaangaliwa ustahimilivu.

Kazi yangu nimemaliza kijana.
 
Brother, nauhakika unawafahamu John Cena na Cristiano Ronaldo hivi umewahi kujiuliza kwanini hawajichori licha ya kuwa ma-star wakubwa?

Angalia na background ya hao uliowataja utagundua wengi hawana misingi mizuri ya Kikristo, mathalani Drake huyu amezaliwa katika familia ya Kiyahudi hivyo Ukristo wake hauna misingi mizuri.

Mwanamichezo akibadili dini na kuwa Muislam inakuwa big issue wakati kuna kila Dele Ali hawaitaki hiyo imani and hakuna anayejali unaweza kujua ni kwanini?
Delle Alli amtaki baba yake kwa kuwa akumlea , hivyo yy anataka amufuate mama yake , na Yuko sahihi kwa kuwa haujui uislam Sasa atafuata kitu hasicho kijua
 
Fanyia kazi ushauri wangu, maana hilo dogo limekuyumbisha ukipewa kubwa utapagawa na kurauka, wengine tuna jeruhi kwa maneno ya haki na elimu, mpaka unajiona umekosea kuingia ulipo ingia hapa.

Sasa, ukiingia vitani usimchagulie adui yako silaha, na uwe na adabu juu ya imani za watu, uache utoto.

Ukivunjia watu heshima na wao lazima wakuvunjie heshima, kisha kinaangaliwa ustahimilivu.

Kazi yangu nimemaliza kijana.



unawashwawashwa tu? Au unatafuta bwana?
 
Uislam ni sawa na crdb bank au coca cola. Hutumia watu maarufu kushawishi. Yaani celebrity akisilimu ni shangwe na sherehe kubwa kwa waislam kua anatangaza uislam, uislam ni kama bidhaa.

Hua najiuliza kwani mtu maarufu ana mioyo 150 tofauti na asie maarufu, mbona shangwe kubwa sana muislam akisilimu?

Waislam wanaweza kutumia billions of money kumshawishi mtu mmoja maarufu asilimu halafu uone wanavyoshangilia, na wanatembea anaatangaza flani nae ameslimu ameujua uislam. Na mara nyingi hu-target wanamichezo na wanamaigizo kwa sababu moja tu, wanamichezo wengi hawajaenda shule, hawajui chochote zaidi ya vipaji vyao vya sanaa na umaarufu walionao hivyo ni ease target kudanganywa na waislam.

Sijawahi kusikia wameshawishi mwanasayansi mmoja amekua musilam, wao ni wasanii, waigizaji, wacheza mpira, wanamasumbwi halafu wanawatumia kama case study kurubuni watu wengine wajiunge na uislam. Kwa sisi tuonaoona vitu kwa namna ya tofauti hatutofautishi marketing strategy ya cocacola na uislam.
 
Nikisema comment imanikwaza ujue naona suluhu kabla sijapigwa Ban. Uwe na weekend njema, huyo bi mkubwa mwenzio kakukubali yaishe.
mkuu nitake radhi kabla sijala BAN ya maisha humu ndani
 
Delle Alli amtaki baba yake kwa kuwa akumlea , hivyo yy anataka amufuate mama yake , na Yuko sahihi kwa kuwa haujui uislam Sasa atafuata kitu hasicho kijua
Anaujua ndio maana ameukataa mara nyingi tena kwenye media.
Dele uislamu kwanza hauwezi kumpendeza kwa kuwa ni mpole sana hatoweza kashkash zenu.
 
Vilikuwepo hivyo nilivyo kutajia, ila mpaka mtume anakuwepo nakala halisi za vitabu hivyo zilikuwa hazipo kwani watu walikuwa wameshaanza kuingiza uchafu. Rejea kitabu kiitwacho "Al Jawabu As Sahih).

Mtume alifunuliwa habari za kale lakini hakuambiwa ziwe muongozo kwake, bali ulikuwa ushahidi kwa wale walio kuwa wanapinga utume wake.
Hiko kitabu cha Al Jawabu As sahih kakiandika nani na kimeandikwa mwaka gani?

Umetaja Torati, Injili na Zaburi hivi vitabu umeandika nakala zake halisi mpaka mwaka 640 B.K vilikuwa havipo maana vilishaanza kuchafuliwa na watu hapa nimeshindwa kukuelewa najaribu akili inakataa.

Kwenye Biblia kuna vitabu vitano ambavyo vinaunda Torati ambayo Original yake iliandikwa Kiebrania maelfu ya miaka kabla ya ujio wa Kristo vivyo hivyo kwa Zaburi kuna vitabu ambavyo hukuvitaja vipo pia ndani ya Biblia vinaitwa vitabu vya manabii au ufunuo.

Kabla Israel haijaharibiwa na kumpoteza kuhani Mkuu ambaye hadi leo hayupo hivi vitabu vyote vilishatafsiriwa kwa Kigiriki vyote maelfu kwa maelfu.

Pengine uniambie ni kina nani waliochafua hivyo vitabu na kipi kipo hakikupaswa kuwepo na kinachopaswa kuwepo ni kipi?

Muhammad alifunuliwa habari za kale kama ushahidi kwa waliokuwa wakimkataa na sio muongozo,
maswali
1. sasa kwanini zipo ndani ya Koran?
2. Yesu alitumia habari na mafundisho ya manabii na mitume wa kale kama kielelezo na wala hakuyapinga iweje Muhammad asitumie kama muongozo?
3. Kwanini imani aliyoianzisha Muhammad inapinga imani ilizozozikuta?
 
Hiko kitabu cha Al Jawabu As sahih kakiandika nani na kimeandikwa mwaka gani?
Kimeandikwa na mwanachuoni aitwae Ibn Taymiyyah karne 13.
Umetaja Torati, Injili na Zaburi hivi vitabu umeandika nakala zake halisi mpaka mwaka 640 B.K vilikuwa havipo maana vilishaanza kuchafuliwa na watu hapa nimeshindwa kukuelewa najaribu akili inakataa.
Endelea kifikiria na kutafakari utaelewa.
Kwenye Biblia kuna vitabu vitano ambavyo vinaunda Torati ambayo Original yake iliandikwa Kiebrania maelfu ya miaka kabla ya ujio wa Kristo vivyo hivyo kwa Zaburi kuna vitabu ambavyo hukuvitaja vipo pia ndani ya Biblia vinaitwa vitabu vya manabii au ufunuo.

Viliandikwa na nani ?
Kabla Israel haijaharibiwa na kumpoteza kuhani Mkuu ambaye hadi leo hayupo hivi vitabu vyote vilishatafsiriwa kwa Kigiriki vyote maelfu kwa maelfu.
Ushahidi wa hilo tafadhali.
Pengine uniambie ni kina nani waliochafua hivyo vitabu na kipi kipo hakikupaswa kuwepo na kinachopaswa kuwepo ni kipi?
Mayahudi na Wajiitao wakristo, vingi havikuwepo, kama vile utatu,kusulubiwa kwa Yesu,uungu wa Yesu na mfano wake.
1. sasa kwanini zipo ndani ya Koran?
Zipo ili kuzingatia na kujibu maswali ya wale walio kuwa wanapinga utume wake.
2. Yesu alitumia habari na mafundisho ya manabii na mitume wa kale kama kielelezo na wala hakuyapinga iweje Muhammad asitumie kama muongozo?
Ushahidi wa hilo, lakini yawezekana vilikuwa salama kipindi hicho.

Muhammad hakutumia kama muongozo, sababu muda wa vitabu hivyo ulikuwa umeshapita.
3. Kwanini imani aliyoianzisha Muhammad inapinga imani ilizozozikuta?
Sio kweli, Imani ya mtume Muhammad haipingani na Imani ya mitume na manabii wowote katika walio mtangulia.
 
Kimeandikwa na mwanachuoni aitwae Ibn Taymiyyah karne 13.
Imani yake ni ipi?

Endelea kifikiria na kutafakari utaelewa.


Viliandikwa na nani ?
Mwandishi wa Torati ni Musa mwenyewe na ndio maana kwenye kitabu chenu huwezi kuipata Torati tofauti na iliyoko kwenye Biblia.

Ushahidi wa hilo tafadhali.
In what language was the Bible first written? | Biblica - The International Bible Society

Mayahudi na Wajiitao wakristo, vingi havikuwepo, kama vile utatu,kusulubiwa kwa Yesu,uungu wa Yesu na mfano wake.
Unaweza kuthibitisha kuwa havikuwepo?

Mayahudi ni kina nani?
Wajiitao Wakristo kwani Wakristo halisi ni kina nani?

Zipo ili kuzingatia na kujibu maswali ya wale walio kuwa wanapinga utume wake.
Ndivyo Allah alivyoziwasilisha kwa mtindo ule?
Mathalani Yesu hakufa na hakusulubiwa hili lilikuwa linazingatia na kujibu nini kwa wale waliokuwa wakimpinga?

Ushahidi wa hilo, lakini yawezekana vilikuwa salama kipindi hicho.

Muhammad hakutumia kama muongozo, sababu muda wa vitabu hivyo ulikuwa umeshapita.
Biblia inatuambia vyote vitapita ila neno la Mungu kamwe halitapita.
Biblia inaagiza tusome, tuwe na upendo, tusamehe, tubatizwe, tuiheshimu siku ya sabato (siku ya bwana).

Inawezekana vipi hiki kitabu kikawa kimepita muda wake na kitabu chenu ambacho bado kinatumia Torati to the extent ambayo ilitokea 3000 years B.C kikawa hakijapitwa na wakati?

Sio kweli, Imani ya mtume Muhammad haipingani na Imani ya mitume na manabii wowote katika walio mtangulia.
Inapingana.
 
Back
Top Bottom