Hakuna habari za Biblia katila Qur'aan, kuna habari za Injili, Zaburi, Taurati na kurasa za Ibrahim na Musa.Hatuenezi ushirikina bali upendo. Hatuna surat jin sisi.
Hiyo Injili kitabu chake kinapatikana wapi?
Nitathibitishaje Bibli ni ya uongo ikiwa aya zake na habari zake zimewekwa kwenye Koran?
Hakuna upendo wa kweli nje ya dini ya haki.