WW1, WW2 na kinachoendelea sasa Middle east vilipangwa mwaka 1871 kama barua hii ni kweli

Hivi huyu jamaa alipotelea wapi, sijawahi kuona mtu anayejua maswala ya freemason kama huyu ,sijawahi kuona
 
Mkuu, hicho kitabu cha Enock kinatumiwa sana na waganga na Masonic. Una uhakika kwamba Enok alijua kusoma na kuandika? Elimu hiyo ilikiwepo?
Ninavyofahamu elimu ya kusoma ilianzia Misri, Musa alilelewa na binti Farao alipewa elimu yote ya kimisri, huyo ndie alieandika torati na historia yote ya kuanzia Adam hadi wakati wake (Musa).
Yeye ndie aliyewafundisha walawi na Wana wa Israel kuandika (nafikiri Sina hakika) wakiwa kangwani ili kutunza torati na matukio ya historia yao, huyo Enok habari zake ziliandikwa na Musa.
Kabla ya Musa hakuna ushahidi wa yeyote aliyeandika chochote.
Huoni kwamba hicho kitabu cha Henoko alichoandika Henoko mwenyewe ni uzushi, ni mafrimason wamekitunga?
 
Duh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…