Tetesi: Wydad Casablanca wamrudia Clement Mzize, Ofa ya zaidi ya Tsh. Bilioni 2, na Masharti Magumu

Tetesi: Wydad Casablanca wamrudia Clement Mzize, Ofa ya zaidi ya Tsh. Bilioni 2, na Masharti Magumu

Wydad ipo kwenye ratiba ya kushiriki michuano mikubwa ya world cup.

Inatazamiwa kukutana na vilabu vikubwa zaidi duniani kama Madrid, Barcelona, Chelsea, Man U nk.

Mamelody, Al Ahly wao wanafikia hatua ya kwenda hadi huko huko Ulaya kuchukua wachezaji wakubwa ili kupata Quality ya ku-challenge hizo Clubs.

Then Wydad wenye ambitions hizo hizo za kuonesha challenge dhidi ya hao vigogo aje amsajili Mzize??

Huyu huyu Mzize ambaye kacheza msimu mzima lakini kafunga goli 3 kazidiwa na Fredy aliyekuja dirisha dogo?
Huu uchungu ulio nao uwaweza kuzaa muda wowote, alf alie toa taarifa si huyo Mick Jr kipenzi chenu makolo sasa lawama za nini
 
Kuna tofauti kubwa kati yetu na hao wenzetu wanavyoangalia mambo. Sisi tunaona hatua moja mbele wenzetu wanaona hatua mia.

Thienry Henry anakuja Arsenal kutokea Juventus alifunga goli 3 kama za Mzize lakini ndio Top Scorer wa muda wote pale Arsenal.

Tungekupa Bayern ungeweza kumpa mkataba kocha aliyeishusha timu daraja? Kuna namna hawa wenzetu wanachambua mambo, usikute haya mapungufu ya Mzize wameyaona na wanaamini anarekebishika na anafundishika.
umemaliza kila kitu, thread closed

wenzetu wanaupeo wa kuiona kesho mapema sanaaa
 
Kama ni kweli. Yanga tusimbanie dogo maisha mazuri.

Familia yake isonge mbele.

Tumuache dogo akacheze FIFA Club world cup na kina Man city marekani akiwa na Wydad.

Kuna muda inabidi utu uwepo. Naona yanga tunamuharibia maisha mzize. Fursa kubwa sana hiyo ya kucheza club world cup
yani yanga kutaka mchezaji wenye malengo nae abaki klabuni ni kumbania!!!
maajabu ya wataifa starz haya
 
Yaan Huyu Mzize nileomwona anacheza na Ethiopia Bilioni 2, au kuna mwingine?
 
Mzize anatuvitu vitu. Wamuuze kama kuna faida kwa club. Sasa wakimuuza . Dirisha dogo tutapata mchezaji bora sasa kuziba pengo???? Kama vipi tuwape baleke kwa hiyoo nusu ya bei.
 
Kuna tofauti kubwa kati yetu na hao wenzetu wanavyoangalia mambo. Sisi tunaona hatua moja mbele wenzetu wanaona hatua mia.

Thienry Henry anakuja Arsenal kutokea Juventus alifunga goli 3 kama za Mzize lakini ndio Top Scorer wa muda wote pale Arsenal.

Tungekupa Bayern ungeweza kumpa mkataba kocha aliyeishusha timu daraja? Kuna namna hawa wenzetu wanachambua mambo, usikute haya mapungufu ya Mzize wameyaona na wanaamini anarekebishika na anafundishika.
Umekaa unamuelewesha kolo ukidhani haelewi? Anajua vizuri basi kiroho mdundiko inauma na kuwasha
 
Yanga na hili wanataka mpaka mama kizimkazi aingilie kati.

Wamruhusu aende kwa faida ya mchezaji na taia kiujumla.
 
Yanga na hili wanataka mpaka mama kizimkazi aingilie kati.

Wamruhusu aende kwa faida ya mchezaji na taia kiujumla.
Kwani wao Yanga hawahitaji huduma ya Mzize kwasasa? Yaani Yanga iamue kuharibu malengo yao kisa utaifa. Je hao Wydad wangekuwa wao wangekubali ujinga wa kumuuza key player wao huku dirisha likiwa limefungwa?
 
Kwani wao Yanga hawahitaji huduma ya Mzize kwasasa? Yaani Yanga iamue kuharibu malengo yao kisa utaifa. Je hao Wydad wangekuwa wao wangekubali ujinga wa kumuuza key player wao huku dirisha likiwa limefungwa?
Achana na mbumbumbu hawezi kuelewa yaani uko vitani uuze silaha muhimu Kwa adui
Kwanza hao wydad ni team ndogo Kwa Sasa bila kujali historia hata shirikisho haichezi
 
Kwani wao Yanga hawahitaji huduma ya Mzize kwasasa? Yaani Yanga iamue kuharibu malengo yao kisa utaifa. Je hao Wydad wangekuwa wao wangekubali ujinga wa kumuuza key player wao huku dirisha likiwa limefungwa?
Elewa neno kwa faida ya mchezaji.. Unadhani mzize kati ya yanga na wydad wapi anatengeneza cv nzuri zaidi,
Wydad ni timu kubwa kwa yanga, mchezaji anapaswa kwenda kujikuza zaidi.
 
Back
Top Bottom