ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Huu uchungu ulio nao uwaweza kuzaa muda wowote, alf alie toa taarifa si huyo Mick Jr kipenzi chenu makolo sasa lawama za niniWydad ipo kwenye ratiba ya kushiriki michuano mikubwa ya world cup.
Inatazamiwa kukutana na vilabu vikubwa zaidi duniani kama Madrid, Barcelona, Chelsea, Man U nk.
Mamelody, Al Ahly wao wanafikia hatua ya kwenda hadi huko huko Ulaya kuchukua wachezaji wakubwa ili kupata Quality ya ku-challenge hizo Clubs.
Then Wydad wenye ambitions hizo hizo za kuonesha challenge dhidi ya hao vigogo aje amsajili Mzize??
Huyu huyu Mzize ambaye kacheza msimu mzima lakini kafunga goli 3 kazidiwa na Fredy aliyekuja dirisha dogo?
Kunya boga sasaWydad washoboke na mzize! Acheni ujinga wenu hapa hivyo vichekesho vyenu pelekeni Cheka TU.
Vipi kwenye zile 5 haukuona aibu?Akili za yanga wanazijua wenyewe. Juzi nilimuona akicheza na Ethiopia aibu nilikuwa naona mm
umemaliza kila kitu, thread closedKuna tofauti kubwa kati yetu na hao wenzetu wanavyoangalia mambo. Sisi tunaona hatua moja mbele wenzetu wanaona hatua mia.
Thienry Henry anakuja Arsenal kutokea Juventus alifunga goli 3 kama za Mzize lakini ndio Top Scorer wa muda wote pale Arsenal.
Tungekupa Bayern ungeweza kumpa mkataba kocha aliyeishusha timu daraja? Kuna namna hawa wenzetu wanachambua mambo, usikute haya mapungufu ya Mzize wameyaona na wanaamini anarekebishika na anafundishika.
Hapana. Ilinishangaza tu ila taasisi kama Yanga kukubali lile igizo.Hii kitu ilikuuma sana
Hapana. Ilinishangaza tu ila taasisi kama Yanga kukubali lile igizo.
Yale maigizo ya 5imba kumtangaza Lawi na Awesu huku wakiwa sio wachezaji wao unayazungumiziaje bwana kolo?Hapana. Ilinishangaza tu ila taasisi kama Yanga kukubali lile igizo.
yani yanga kutaka mchezaji wenye malengo nae abaki klabuni ni kumbania!!!Kama ni kweli. Yanga tusimbanie dogo maisha mazuri.
Familia yake isonge mbele.
Tumuache dogo akacheze FIFA Club world cup na kina Man city marekani akiwa na Wydad.
Kuna muda inabidi utu uwepo. Naona yanga tunamuharibia maisha mzize. Fursa kubwa sana hiyo ya kucheza club world cup
yani yanga kutaka mchezaji wenye malengo nae abaki klabuni ni kumbania!!!
maajabu ya wataifa starz haya
Umekaa unamuelewesha kolo ukidhani haelewi? Anajua vizuri basi kiroho mdundiko inauma na kuwashaKuna tofauti kubwa kati yetu na hao wenzetu wanavyoangalia mambo. Sisi tunaona hatua moja mbele wenzetu wanaona hatua mia.
Thienry Henry anakuja Arsenal kutokea Juventus alifunga goli 3 kama za Mzize lakini ndio Top Scorer wa muda wote pale Arsenal.
Tungekupa Bayern ungeweza kumpa mkataba kocha aliyeishusha timu daraja? Kuna namna hawa wenzetu wanachambua mambo, usikute haya mapungufu ya Mzize wameyaona na wanaamini anarekebishika na anafundishika.
Kwani wao Yanga hawahitaji huduma ya Mzize kwasasa? Yaani Yanga iamue kuharibu malengo yao kisa utaifa. Je hao Wydad wangekuwa wao wangekubali ujinga wa kumuuza key player wao huku dirisha likiwa limefungwa?Yanga na hili wanataka mpaka mama kizimkazi aingilie kati.
Wamruhusu aende kwa faida ya mchezaji na taia kiujumla.
Achana na mbumbumbu hawezi kuelewa yaani uko vitani uuze silaha muhimu Kwa aduiKwani wao Yanga hawahitaji huduma ya Mzize kwasasa? Yaani Yanga iamue kuharibu malengo yao kisa utaifa. Je hao Wydad wangekuwa wao wangekubali ujinga wa kumuuza key player wao huku dirisha likiwa limefungwa?
Karibu yanga, tuzidi kukushangaza zaidi.....Hapana. Ilinishangaza tu ila taasisi kama Yanga kukubali lile igizo.
Mkimfukuza Eng Hersi nakuja.Karibu yanga, tuzidi kukushangaza zaidi.....
Kaa umbumbumbuniMkimfukuza Eng Hersi nakuja.
Elewa neno kwa faida ya mchezaji.. Unadhani mzize kati ya yanga na wydad wapi anatengeneza cv nzuri zaidi,Kwani wao Yanga hawahitaji huduma ya Mzize kwasasa? Yaani Yanga iamue kuharibu malengo yao kisa utaifa. Je hao Wydad wangekuwa wao wangekubali ujinga wa kumuuza key player wao huku dirisha likiwa limefungwa?