Tetesi: Wydad Casablanca wamrudia Clement Mzize, Ofa ya zaidi ya Tsh. Bilioni 2, na Masharti Magumu

Kama ni serious.

Wamwache aende.

Maisha popote.
 
Elewa neno kwa faida ya mchezaji.. Unadhani mzize kati ya yanga na wydad wapi anatengeneza cv nzuri zaidi,
Wydad ni timu kubwa kwa yanga, mchezaji anapaswa kwenda kujikuza zaidi.
Kama ni swala la CV basi akiwa Yanga ndio atatengeneza CV nzuri zaidi kwasababu kwanza ana uhakika wa kupata namba kwasababu tayari kaishaingia kwenye mfumo wa Gamondi.
Pili ni kwamba Yanga inacheza klabu bingwa ni mashindano yanayoangaliwa na wengi.
Tatu akiwa Yanga, Mzize anacheza bila presha kwavile alipo anavumiliwa
 
🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Inatosha mkuu, utanivunja mbavu. 😂🤣🤣🤣🤣🤣
 
propaganda tu ,hakuna mchezaji wa kuuzwa bilioni pale uto, acheni utani uto.
 
Hii kamba kwa mpira alionao juzi ilikuwa anaruka ruka tu.
 
Kwahiyo Mzize akacheze timu anbayo aishiriki mashindano ya CAF kama timu za Mashujaa, Tabora United!

Alafu huyo kocha wao hana muda mrefu watamtimua
 
Naunga mkono hoja iwe kama Simon msuva alivyouzwa Morocco na Yanga akaleta mchango kwa timu ya taifa .
Mokwena alimtaja sana mzize wakati wa mechi za yanga v mamelodi Kumbe alimaanisha .
 
Waongeze mzigo ufike $1 mil
 
Dogo aende kula pesa huku akiozea benchi!! Baada ya mwaka mmoja kwishney!! Chezea waarabu weye!!
 
Shida ya Waydad wao wanaangalia umri wa Mzize wa kwenye makaratasi wanaamini bado mdogo na atafundishika. Subiri sasa wamchukue halafu wakampime umri kwa kutumia "carbon 14" hapo ndio watagundua kuwa huyo Mzize kapishana umri kidogo sana na Zinjathropus. Na ikitokea kapata injury hata ya kawaida tu kupona kwake sio chini ya miezi sita maana viungo na mifupa yote ya mwilini imeshakomaa.

Hovi kweli Wydad wangekuwa werevu si bora wangepambana kumpata mmojawapo kati ya Aziz Ki au Max au ikishindikana kabisa si bora hata wangemchukua mzee Chama akawasaidia kwenye "moment" muhimu kuliko kuhangaika na huyo Mzize ambaye hana mwendelezo mzuri wa moja kwa moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…