Wydad anacheza na Simba jmoc saa 4 usiku lakn leo jumatano ana kibarua cha ligi kuu, nimejiuliza sana kwann haya mambo hayafanyiki hapa bongo, wiki nzima Simba na Yanga zimekaa bila kucheza, Shall we make it?
Huu ni ujinga dunian huko kwa walioendelea hawafanyi upumbavu huu, watu wanacheza uefa j5 na jmos wanapiga ligi hakuna viporo vya kipumbavuKwani wewe kinachokuumiza ni nini? Au umetumwa ili tuumiziwe wachezaji na Makanjanja
Al ahly alicheza kwao ligi ndo akaja kucheza na yanga mbona haujashangaa?Kwa upeo mdogo tu ungeweza kujua kuwa Simba inasafiri wakati Wydad haisafiri. Hata hilo ulishindwa kuliona?
Ww ndo haujielewi unatetea ujinga coz hao wydad wiki iliyoisha kacheza far rabat kati kati ya wiki akafungwa na akasafiri mpka ivory Coast kucheza champion ligi dhidi ya asec.Kakimbilia kupost tu
Kwani wydad,mamelod ,Al ahly na esperance wanavocheza mechi za ligi na kusafiri kwenda kucheza champion league huwa wanasafiri vp? Mnatetea vitu vya kipumbavu sana.Kwa hiyo wqcheze mechi ya ligi Bongo halafu wasafiri lini kwenda Morocco kuwahi hiyo mechi ya j'mosi?
Na mwisho wa siku Mamelod na Wydad wakapoteza mechi, je haiwezi kuwa uchovu wa safari na kucheza mechi back to back kumesababishia?Hata wiki iliyopita jumatano kama ya Leo walicheza mechi ya Ligi(Botola pro) Tena mechi ngumu kwelii kwelii dhidi ya ASFAR Rabat na wakati huo jumamosi walikuwa wanaenda kukutana na Asec mimosas ugenini huko Ivory coast...
Mamelodi nae anacheza leo ligi SA na Sunday yupo kilingeni CafclKwa upeo mdogo tu ungeweza kujua kuwa Simba inasafiri wakati Wydad haisafiri. Hata hilo ulishindwa kuliona?
Sio kweli mechi ya Al ahly imesogezwa mbeleSio waydad tu. Mamelodi, Al ahly, esperence wote wanacheza mechi za ligi ya kwao katikati ya wiki. Na weekend wanacheza mechi za Caf CL.
Simba na yanga zinapumzikaaa tu kujaza viporoo
Simba na yanga kabla ya kucheza mechi zao za pili walipaswa wacheze mechi moja moja ta ligi hii ingewasaidia kuwa na match fitnessWw ndo haujielewi unatetea ujinga coz hao wydad wiki iliyoisha kacheza far rabat kati kati ya wiki akafungwa na akasafiri mpka ivory Coast kucheza champion ligi dhidi ya asec.
Na pia sio wydad tu hata Al ahly, esperance na mamelod wanacheza ligi kati kati na champion ligi ndani ya wiki moja moja hiyo hiyo.
Hizi simba na yanga zinalelewa vibaya na zina haribu tu mpira
Team wananchi weweeeeeUzalendo umenishinda, kuna mtu nataka kumlipizia kisasi.
Ila ukicheki hizi ligi za Africa almost hamna tofauti, angalia table za ligi hizo umezitajašWw ndo haujielewi unatetea ujinga coz hao wydad wiki iliyoisha kacheza far rabat kati kati ya wiki akafungwa na akasafiri mpka ivory Coast kucheza champion ligi dhidi ya asec.
Na pia sio wydad tu hata Al ahly, esperance na mamelod wanacheza ligi kati kati na champion ligi ndani ya wiki moja moja hiyo hiyo.
Hizi simba na yanga zinalelewa vibaya na zina haribu tu mpira
Shida ujinga umekujaa, mara ngap Simba anabaki nchini anakaa wiki nzima kusubiri mechi, Simba wamekaa wiki nzima wakisubiri kucheza na yanga, hili nalo huoni, yaan timu inaakaa wiki ndio inachezaKwa upeo mdogo tu ungeweza kujua kuwa Simba inasafiri wakati Wydad haisafiri. Hata hilo ulishindwa kuliona?
TawileAcha wapate match fitness Jumamosi watuchakazie mtu.
Ni yale yale tuIla ukicheki hizi ligi za Africa almost hamna tofauti, angalia table za ligi hizo umezitajaš
UharooooWydad anacheza na Simba jmoc saa 4 usiku lakn leo jumatano ana kibarua cha ligi kuu, nimejiuliza sana kwann haya mambo hayafanyiki hapa bongo, wiki nzima Simba na Yanga zimekaa bila kucheza, Shall we make it?
Kupoteza mechi Kuna sababu nyingi sana na sababu kuu hasa Huwa ni ubora na maandalizi aliyoyafanya mpinzani wako dhidi yako wewe, nje na hapo ni sababu ambazo hazina kichwa Wala miguu.Na mwisho wa siku Mamelod na Wydad wakapoteza mechi, je haiwezi kuwa uchovu wa safari na kucheza mechi back to back kumesababishia?
Watu wanatetea tu sababu ya mahaba waliyonayo kwa hivi vilabu vyao mapacha. Lakini wanachokifanya TFF na hizi timu zenyewe ni mambo yaliyopitwa na wakati, yaani Leo hii 2023 timu Bado Zina rundika viporo kwa sababu ya mambo ya logistics na hapo tunaambiwa eti bajeti zao kwa msimu Huwa ni mabilion..!!??!!!Al ahly alicheza kwao ligi ndo akaja kucheza na yanga mbona haujashangaa?
Yaan hauoni hata aibu? Haya mambo ni ya kijinga wala sio ya kutetea, huko ulaya wanacheza uefa j5 na jmos wancheza tena ligi. Tena team zina safari.
Wiki ilopita wote yanga simba mlikua dar nako wiki nzima kulikua hakuna mechi leta utetezi. Sema tu league yetu kivyetuvyetuUnajua kutoka Tanganyika mpaka Morroco kwa ndege ya kibiashara ni siku 3?
Unatoka Dar mpaka Doha, pale Doha unachukua ndege mpaka Algeria, Algeria ndio siku inayofuata unapata connection ya Morroco?
Na ukifika Casablanca mechi inachzwa mkoani huko Marakesh- yaani kilometa 200 lazma upate connection ya local flights ama basi ni masaa 4, , natumai sasa akili zako kama si za maandazi umeelewa.
Unajua hata hapo Angola ukitaka kwenda kucheza unakwenda Dubai, Dubai ndio unapata ndege ya kwenda hapo angola?