Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Wydad anacheza na Simba jmoc saa 4 usiku lakn leo jumatano ana kibarua cha ligi kuu, nimejiuliza sana kwann haya mambo hayafanyiki hapa bongo, wiki nzima Simba na Yanga zimekaa bila kucheza, Shall we make it?
Kwa hiyo wacheze mechi ya ligi Bongo halafu wasafiri lini kwenda Morocco kuwahi hiyo mechi ya j'mosi?