General Nguli
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 1,190
- 2,508
Hii simu haitumii Adroid OS
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inatumia Android 14, ila wameweka Android skin yao wenyewe juu ya Android 14 inayoitwa Xiaomi HyperOS.Hii simu haitumii Adroid OS
Very interestingInatumia Android 14, ila wameweka Android skin yao wenyewe juu ya Android 14 inayoitwa Xiaomi HyperOS.
Lengo la Xiaomi HyperOS ni kuweka ile feeling ya Xiaomi kwenye simu zake na kuunganisha simu yako na vifaa vya nyumbani vya Xiaomi kama TV, laptop, Air conditioners, dryers, electric scooters, mafriji na electronics nyingine za Xiaomi.
Pia inalenga kuunganisha simu za Xiaomi na magari yao ya umeme ambayo yataachiliwa siku za usoni mwakani 2024
s24 itakayo achiwa izo iphone watatupa😅Sijaona siku ya kupambana na S23 hapo.
Mbona huzungumzii Huawei 60 Pro? Je, baba lao duniani kwa sasa Huawei Mate 60 Pro una la kusema?View attachment 2847909
Mwaka huu zimetoka simu nyingi sana ila Mchina kanifurahisha zaidi.
Kampuni ya Xiaomi imetoa flagship zao mpya October mwaka huu ambazo ni Xiaomi 14 na Xiaomi 14 Pro.View attachment 2847911
Nadhani zinastahili kuwa flagship bora zaidi kwa mwaka huu.
Xiaomi 14 Pro imefikia level ambayo inaweza kushindanishwa na iPhone 15 Pro Max na kuizidi Samsung Galaxy S23 Ultra.View attachment 2847913
Xiaomi 14 Pro inakuja na Qualcomm Snapdragon 8 Gen 3, na inafikia hadi 16GB RAM 1TB ROM, Inakuja na 1440p display, kamera ya mbele sasa inaweza kurekodi video za 4K@60fps na pia inakuja na USB Type C 3.2View attachment 2847916
Kitu kingine chema ni kwamba Xiaomi 14 na 14 Pro sasahivi hazijaja na software ya MIUI, Sasahivi ziatumia software mpya ya Xiaomi inayoitwa "Xiaomi HyperOS"View attachment 2847917
Xiaomi HyperOS inafanana na MIUI kimwonekano ila wamebadilisha mwonekano kidogo sana. Xiaomi HyperOS iko more optimised kushinda MIUI 14 na imekuwa very stable kuliko MIUI ilivyokuwa hapo awali mpaka baadhi ya phone reviewers wameshangaaView attachment 2847915
View attachment 2847920
Kwenye upande wa kamera Xiaomi anaendelea kushirikiana na Mjerumani "LEICA" na kamera ya Xiaomi 14 Pro imekuwa very improved, kama ulifuatilia vizuri kamera ya nyuma ya Xiaomi 13 Ultra ilikuwa ni nzuri kushinda iPhone 14 Pro Max. Sasahivi kamera ya nyuma ya Xiaomi 14 Pro iko vizuri kiasi cha kushindana na iPhone 15 Pro Max View attachment 2847921
Kwa sasa hii simu ipo official kwa China tu ila Global version inaweza kuachiwa February 2024. Nadhani na Samsung Galaxy S24 Ultra itaachiwa kipindi hichohichoView attachment 2847922
Nchini China, Xiaomi 14 na 14 Pro zilipoachiwa tu, waliuza takribani simu milioni 1.45 (Xiaomi 14 series) ndani ya siku 10 tu na kufanya Xiaomi 14 series kuongoza kwa mauzo nchini China katika wiki ya 44 ya mauzo ya simu huku Huawei na Honor ndio wanafuatia.View attachment 2847929
Xiaomi 14 Pro version ya 16GB RAM 1TB ROM imetengenezwa na titanium kwa nje kama tu iPhone 15 Pro Max. Mfano angalia hii picha, hiyo ya kushoto ni Xiaomi 14 Pro (titanium) na kulia ni iPhone 15 Pro Max. Zote ni titaniumView attachment 2847930
Kadri siku zinavyoenda Mchina anazidi kuionesha dunia kuwa na yeye anaweza
Redmi Note 11 Pro ni bora kwenye kila kitu kuliko Redmi 12C, kuanzia kamera, display, performance, software, design, call quality na kila kitu tena kwa gap kubwa sana kwa sababu Redmi Note 11 Pro ni midrange na Redmi 12C ni low end phoneReuben Challe naomba ushauri Kati ya Redmi note 11 pro vs Redmi 12 C ipi bora
Bei ya 11 pro kwa sasa sokoni ikoje maana nakosaga majibu sahihi
Niliacha kufuatilia Huawei mazima ndio maana niliposikia kuhusu Huawei Mate 60 Pro nilikuwa naichukulia kawaida mpaka nilipozifuatilia juu juuMbona huzungumzii Huawei 60 Pro? Je, baba lao duniani kwa sasa Huawei Mate 60 Pro una la kusema?
Samsung Galaxy S23 inafananishwa na Xiaomi 13, sio hata 13 Pro.Sijaona siku ya kupambana na S23 hapo.
Xiaomi 14 na 14 Pro kwa sasa zipo China tu na bei zake niHiyo simu shingap
ThanksXiaomi 14 na 14 Pro kwa sasa zipo China tu na bei zake ni
Xiaomi 14 kwa 520Euros (About TSh 1,445,000/=)
Xiaomi 14 Pro kwa 650Euros (About TSh 1,800,000/=)
Zikiachiwa globally bei itakuwa kubwa zaidi
Haya mambo ndiyo yanayonikera, wachina, wakitoa simu zao utasikia zinatumika china tu kwanza Wengine baadaye. Mbona apple au sumsung mambo hayo hawana?Xiaomi 14 na 14 Pro kwa sasa zipo China tu na bei zake ni
Xiaomi 14 kwa 520Euros (About TSh 1,445,000/=)
Xiaomi 14 Pro kwa 650Euros (About TSh 1,800,000/=)
Zikiachiwa globally bei itakuwa kubwa zaidi
Ukiona hvyo ujue wana soko kubwa sana la ndani, kumbuka population ya China ni 1.4 BillionHaya mambo ndiyo yanayonikera, wachina, wakitoa simu zao utasikia zinatumika china tu kwanza Wengine baadaye. Mbona apple au sumsung mambo hayo hawana?
Hata hivyo Samsung anachelewa kutumia chipset mpya.Haya mambo ndiyo yanayonikera, wachina, wakitoa simu zao utasikia zinatumika china tu kwanza Wengine baadaye. Mbona apple au sumsung mambo hayo hawana?
Hii Redmi 13c pro ni mediatek, vp hii processor ipo poa?Redmi Note 11 Pro ni bora kwenye kila kitu kuliko Redmi 12C, kuanzia kamera, display, performance, software, design, call quality na kila kitu tena kwa gap kubwa sana kwa sababu Redmi Note 11 Pro ni midrange na Redmi 12C ni low end phone
Kwa Tanzania naona Redmi Note 11 Pro inauzwa kwa 600,000/= halafu Redmi 12C inauzwa kwa 240,000/=. Hata bei zinaonesha utofauti uliopo baina ya hizi simu mbili
Redmi Note 11 Pro ni simu ya muda, sasa hivi Note 12 series zimeshatoka na Note 13 series zimetoka pia kwa hiyo kama unataka Redmi Note series ni heri ununue Redmi Note 12 series au Note 13 series au baadhi ya midrange za Poco na A-series za Samsung
Ni vyema kutaja bei ya simu unayoitaka ili tuangalie ipi itafaa zaidi kwa bei hiyo
Mkuu naomba uongelee na laptop zisizo na majini huku kwetu, eg za Xiaomi, tumechoka na hizi zilizozoeleka huku.Apple wako nyuma inapokuja suala la features mpya kwenye simu. Kila mwaka wakiongeza features tatu au nne imeisha hiyo