Xiaomi 14 na Xiaomi 14 Pro: Mchina anaendelea kuleta competition

Xiaomi 14 na Xiaomi 14 Pro: Mchina anaendelea kuleta competition

Apple wako nyuma inapokuja suala la features mpya kwenye simu. Kila mwaka wakiongeza features tatu au nne imeisha hiyo
Apple wanakuwa wa mwisho kwenye kuadapt features mpya ila wanapokuja na hizo features wanazifanya ziwe bora 10 times. Mfano anagalia Face ID imekuja around 2018 wakati android ipo muda mrefu, sasa linganisha efficiency yake.
 
s24 itakayo achiwa izo iphone watatupa[emoji28]
Moja ya sababu inawafanya iphone users kuendelea kununua iphones ni ecosystem( kumbuka hapa simaanishi hawa wanaonunua iphone for showoffs). Ukiwa na Macbook, iphone na buds ni vigumu kuacha kununua iphone. Hizo device zinafanya kazi pamoja kwa ufanisi zaidi. Tofauti na simu kama samsung unahitaji mara google services, mara window plus samsungs wakati for iphone yoh just need the apple ID
 
Apple wanakuwa wa mwisho kwenye kuadapt features mpya ila wanapokuja na hizo features wanazifanya ziwe bora 10 times. Mfano anagalia Face ID imekuja around 2018 wakati android ipo muda mrefu, sasa linganisha efficiency yake.
10 times better???? Ooh Really
Apple ameleta Face ID akaondoa Fingerprint scanner. Sasahivi Android zipo na Under Display Fingerprint scanner. Unadhani Face ID ni secure kufikia fingerprint scanners? Kilichofanya Apple a improve hiyo Face ID ni kwa sababu aliondoa fingerprint scanner na simu za Android zina fingerprint scanner ambayo ni 10 times better than your average Face ID
Apple kwenye new features bado sana
 
10 times better???? Ooh Really
Apple ameleta Face ID akaondoa Fingerprint scanner. Sasahivi Android zipo na Under Display Fingerprint scanner. Unadhani Face ID ni secure kufikia fingerprint scanners? Kilichofanya Apple a improve hiyo Face ID ni kwa sababu aliondoa fingerprint scanner na simu za Android zina fingerprint scanner ambayo ni 10 times better than your average Face ID
Apple kwenye new features bado sana
Xiaomi 14 tayari imefika Bongo ?! Bei gani Mkuu ?
 
Moja ya sababu inawafanya iphone users kuendelea kununua iphones ni ecosystem( kumbuka hapa simaanishi hawa wanaonunua iphone for showoffs). Ukiwa na Macbook, iphone na buds ni vigumu kuacha kununua iphone. Hizo device zinafanya kazi pamoja kwa ufanisi zaidi. Tofauti na simu kama samsung unahitaji mara google services, mara window plus samsungs wakati for iphone yoh just need the apple ID
Kama kawaida yao Apple, wanamfunga mtumiaji kwenye products zao kijanja sana na watumiaji hawaelewi hili wao wanachukulia kama advantage tu
Ukiwa na iPhone itakulazimu hata laptop utumie MacBook ambazo zinatumia MacOS. MacOS iko nyuma sana kwenye flexibility kuliko Windows
Xiaomi phone+ Vivo earbuds+ Samsung tablet+ Google Pixel watch+ DELL laptop ni better combination kuliko iPhone+ Apple's earbuds+ iPad+ Apple watch+ MacBook kwa sababu ni more flexible than Apple's ecosystem
 
Apple wako nyuma inapokuja suala la features mpya kwenye simu. Kila mwaka wakiongeza features tatu au nne imeisha hiyo
Hayo ndio mahitaji ya watu wanayoyataka ,na sio kuongeza tu. Apple watazidi kuwa juu maana wanaangalia mahitaji yangu wananiwekea nacho taka
.
 
Creativity? Kwa sasa Xiaomi ni very creative kuliko hizo iPhone unazosemea. Kucopy design ya iOS sio issue hata Huawei, Honor na wenzake wamefanya
Xiaomi ni creative kwa sababu software yake ina features nyingi kushinda iOS na tunaona wanaendelea kuongeza features nyingi mpya kila mwaka

Xiaomi ana design nyingi sana tofauti sio kama Apple ambao wamestick kwenye design za kufanana-fanana tangu 2019 hadi leo, macho matatu yaleyale. Xiaomi anabadili design kila mwaka.

Creativity nyingine ninayoijua ni kwamba kwenye Xiaomi 12S Ultra unaweza kuweka lens za camera ya LEICA juu ya camera bump yake kama hivi. Ona hapaView attachment 2848263
Unasemaje kuhusu photography kit kwenye Xiaomi 13 Ultra?View attachment 2848264View attachment 2848265
Vipi kuhusu Xiaomi Hyper charging technology?

Xiaomi kwenye upande wa simu ni very creative kushinda hata Apple
Hayo makamera ya kuongezea lenz mbele sio mahitaji ya watumiaji ndio maana watu hawawezi kununua.
iphone hatazidi kuwa kimbiza wajingawajinga.
Issue iko clear sana,watu wanataka nini,wape wanachokitaka sio tu unakurupuka huko unavyojisikia wewe tu eti ndio tufurahi,malenz ya nini kupeana mizigo .
iphone kawekeza kwenye research watu wanataka nini? Ndio maana kuna muda kunakuwa na maboresho machache lakini ndio mahitaji yetu ndio tuliokuwa tuna lala mika,iphone haifanyi hivi. Wanatupa.
Sio unajifungia chumbani unasema chukua hiyo hapo.
 
Hayo makamera ya kuongezea lenz mbele sio mahitaji ya watumiaji ndio maana watu hawawezi kununua.
iphone hatazidi kuwa kimbiza wajingawajinga.
Issue iko clear sana,watu wanataka nini,wape wanachokitaka sio tu unakurupuka huko unavyojisikia wewe tu eti ndio tufurahi,malenz ya nini kupeana mizigo .
iphone kawekeza kwenye research watu wanataka nini? Ndio maana kuna muda kunakuwa na maboresho machache lakini ndio mahitaji yetu ndio tuliokuwa tuna lala mika,iphone haifanyi hivi. Wanatupa.
Sio unajifungia chumbani unasema chukua hiyo hapo.
iPhone wanaangalia watu wanataka nini???????
Kwa hiyo watu wanataka restriction na features chache kwenye simu zao? Basi itabidi nifuatilie zaidi kuhusu "watu" inaonekana ni viumbe vya ajabu sana
 
Watu wanajali simu za bei mbaya wakati kuna Xiaomi Redmi 14C camera uwezo mkubwa kwa bei poa.
 
Back
Top Bottom