Ya Gekul hayajaisha, Wakili Madeleka kukata rufaa

Ya Gekul hayajaisha, Wakili Madeleka kukata rufaa

Kabla hata sherehe za kufurahia Gekul kufutiwa kesi iliyomkabili , ile ya kumtumbukiza Chupa makalioni kijana mmoja huko Manyara haijaanza , Tayari Mawakili wa Mlalamikaji huyo wametangaza kukata rufaa kupinga Uamuzi wa DPP wa kuifuta kesi hiyo.

Tayari nyaraka zimeanza kukusanywa ili kulianzisha upya jambo hilo.
---
Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini imeondoa Kesi ya namba 179 ya mwaka 2023 ya shumbulio la mwili iliyokuwa ikimkabili aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria ambaye ni Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul ambapo upande wa Mbunge huyo ilikuwa ikiwakilishwa na wakili Ephraim Kisanga huku upande wa mlalamikaji Hashimu Ally ikiwakilishwa na mawakili watatu ambao ni Thadei Lista,Peter Madeleka na Joseph Masanja.

Kesi hii kwa mara ya kwanza imesikilizwa hii Leo katika mahakama ya wilaya ya Babati Mkoani Manyara na Hakimu wa mahakama hiyo Victor Kimario ambapo amesema kesi hiyo imeondolewa kwa mujibu wa sheria namba 91 kifungu kidogo cha( 1) cha sheria ya mwenendo wa mashauri ya jinai sura namba 20 Kama ilivyorekebishwa mwaka 2022, ambayo inampa mkurugenzi wa mashitka mamlaka ya kuondoa kesi yeyote ya jinai mahakamani kabla haijafikia hukumu.

Kwa upande wa Mawakili wa mlalamikaji wameelezwa kutokuridhishwa na kitendo kilicho endelea mahakamani hususani kufutwa kwa kesi hiyo na wameeleza kukata rufaa.
CHADEMA mnatakiwa kujitafakari. Watanzania tumeanza kuzichoka siasa na fitina zenu.

Mnahangaika sana na maslahi ya wanawake na Kila aliyewakana!!

Chama Cha hovyo kabisa kuwahi kutokea duniani!! Au sijui ndo wachaga mlivyo!!?
 
Kabla hata sherehe za kufurahia Gekul kufutiwa kesi iliyomkabili , ile ya kumtumbukiza Chupa makalioni kijana mmoja huko Manyara haijaanza , Tayari Mawakili wa Mlalamikaji huyo wametangaza kukata rufaa kupinga Uamuzi wa DPP wa kuifuta kesi hiyo.

Tayari nyaraka zimeanza kukusanywa ili kulianzisha upya jambo hilo.
---
Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini imeondoa Kesi ya namba 179 ya mwaka 2023 ya shumbulio la mwili iliyokuwa ikimkabili aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria ambaye ni Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul ambapo upande wa Mbunge huyo ilikuwa ikiwakilishwa na wakili Ephraim Kisanga huku upande wa mlalamikaji Hashimu Ally ikiwakilishwa na mawakili watatu ambao ni Thadei Lista,Peter Madeleka na Joseph Masanja.

Kesi hii kwa mara ya kwanza imesikilizwa hii Leo katika mahakama ya wilaya ya Babati Mkoani Manyara na Hakimu wa mahakama hiyo Victor Kimario ambapo amesema kesi hiyo imeondolewa kwa mujibu wa sheria namba 91 kifungu kidogo cha( 1) cha sheria ya mwenendo wa mashauri ya jinai sura namba 20 Kama ilivyorekebishwa mwaka 2022, ambayo inampa mkurugenzi wa mashitka mamlaka ya kuondoa kesi yeyote ya jinai mahakamani kabla haijafikia hukumu.

Kwa upande wa Mawakili wa mlalamikaji wameelezwa kutokuridhishwa na kitendo kilicho endelea mahakamani hususani kufutwa kwa kesi hiyo na wameeleza kukata rufaa.
ukitaka kujua madeleka kiazi, amekosea kuanzia notice ya kukata rufaa yenyewe. pia, hajui kama kesi zote za jinai DPP ana mamlaka juu yake, hata zile za private prosecutions. ni ajabu kwamba wakili mwenzetu hajui hiki kitu na anapenda kuwadanganya wananchi wa kawaida. yeye kama angetaka kuchallenge nolle, angefungua shauri la kikatiba, sio kukata rufaa kwasababu mashauri dhidi ya nolle yalishawahi katiwa rufaa na kutolewa maamuzi kitambo sana.
 
CHADEMA mnatakiwa kujitafakari. Watanzania tumeanza kuzichoka siasa na fitina zenu.

Mnahangaika sana na maslahi ya wanawake na Kila aliyewakana!!

Chama Cha hovyo kabisa kuwahi kutokea duniani!! Au sijui ndo wachaga mlivyo!!?
Madeleka siyo Chadema
 
Kabla hata sherehe za kufurahia Gekul kufutiwa kesi iliyomkabili , ile ya kumtumbukiza Chupa makalioni kijana mmoja huko Manyara haijaanza , Tayari Mawakili wa Mlalamikaji huyo wametangaza kukata rufaa kupinga Uamuzi wa DPP wa kuifuta kesi hiyo.

Tayari nyaraka zimeanza kukusanywa ili kulianzisha upya jambo hilo.
---
Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini imeondoa Kesi ya namba 179 ya mwaka 2023 ya shumbulio la mwili iliyokuwa ikimkabili aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria ambaye ni Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul ambapo upande wa Mbunge huyo ilikuwa ikiwakilishwa na wakili Ephraim Kisanga huku upande wa mlalamikaji Hashimu Ally ikiwakilishwa na mawakili watatu ambao ni Thadei Lista,Peter Madeleka na Joseph Masanja.

Kesi hii kwa mara ya kwanza imesikilizwa hii Leo katika mahakama ya wilaya ya Babati Mkoani Manyara na Hakimu wa mahakama hiyo Victor Kimario ambapo amesema kesi hiyo imeondolewa kwa mujibu wa sheria namba 91 kifungu kidogo cha( 1) cha sheria ya mwenendo wa mashauri ya jinai sura namba 20 Kama ilivyorekebishwa mwaka 2022, ambayo inampa mkurugenzi wa mashitka mamlaka ya kuondoa kesi yeyote ya jinai mahakamani kabla haijafikia hukumu.

Kwa upande wa Mawakili wa mlalamikaji wameelezwa kutokuridhishwa na kitendo kilicho endelea mahakamani hususani kufutwa kwa kesi hiyo na wameeleza kukata rufaa.
Most probably, Advocate Madeleka is "mamluki."
 
Madeleka aache kupoteza muda kwenye maigizo!!

Aje kuongeza harakati uje muswada mpya Ili katika iboreshwe kupata Tume huru ya Uchaguzi.
 
Sijasoma sheria lakini ishu za kisheria zipo wazi maana ni vitendo vinavyofanywa kinyume na utu na ubinaadamu

Swali langu Kwa Dpp

Jama aliingizwa chupe sehemu za Siri za nyuma au hakuingizwa?

Na kama aliingizwa aliyemfanyia hicho kitendo analo kosa la kujibu au hana?

Je huyo naibu waziri mstafu ni yeye ndio aliyofanya hicho kitendo au alisingiziwa?

Kama sio yeye inamaana yupo mshitakiwa mwingine aliyefanya hilo tukio hivyo atafikishwa mahakamani?

Je ni kweli katika katiba ya Tanzania Kuna sehemu inamruhusu Dpp kumtetea mtu aliyevunja sheria?
 
Sijasoma sheria lakini ishu za kisheria zipo wazi maana ni vitendo vinavyofanywa kinyume na utu na ubinaadamu

Swali langu Kwa Dpp

Jama aliingizwa chupe sehemu za Siri za nyuma au hakuingizwa?

Na kama aliingizwa aliyemfanyia hicho kitendo analo kosa la kujibu au hana?

Je huyo naibu waziri mstafu ni yeye ndio aliyofanya hicho kitendo au alisingiziwa?

Kama sio yeye inamaana yupo mshitakiwa mwingine aliyefanya hilo tukio hivyo atafikishwa mahakamani?

Je ni kweli katika katiba ya Tanzania Kuna sehemu inamruhusu Dpp kumtetea mtu aliyevunja sheria?
Hata mimi nasubiri majibu
 
Kabla hata sherehe za kufurahia Gekul kufutiwa kesi iliyomkabili , ile ya kumtumbukiza Chupa makalioni kijana mmoja huko Manyara haijaanza , Tayari Mawakili wa Mlalamikaji huyo wametangaza kukata rufaa kupinga Uamuzi wa DPP wa kuifuta kesi hiyo.

Tayari nyaraka zimeanza kukusanywa ili kulianzisha upya jambo hilo.
---
Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini imeondoa Kesi ya namba 179 ya mwaka 2023 ya shumbulio la mwili iliyokuwa ikimkabili aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria ambaye ni Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul ambapo upande wa Mbunge huyo ilikuwa ikiwakilishwa na wakili Ephraim Kisanga huku upande wa mlalamikaji Hashimu Ally ikiwakilishwa na mawakili watatu ambao ni Thadei Lista,Peter Madeleka na Joseph Masanja.

Kesi hii kwa mara ya kwanza imesikilizwa hii Leo katika mahakama ya wilaya ya Babati Mkoani Manyara na Hakimu wa mahakama hiyo Victor Kimario ambapo amesema kesi hiyo imeondolewa kwa mujibu wa sheria namba 91 kifungu kidogo cha( 1) cha sheria ya mwenendo wa mashauri ya jinai sura namba 20 Kama ilivyorekebishwa mwaka 2022, ambayo inampa mkurugenzi wa mashitka mamlaka ya kuondoa kesi yeyote ya jinai mahakamani kabla haijafikia hukumu.

Kwa upande wa Mawakili wa mlalamikaji wameelezwa kutokuridhishwa na kitendo kilicho endelea mahakamani hususani kufutwa kwa kesi hiyo na wameeleza kukata rufaa.
Tumuache madereka apoteze muda kwa kazi aliyosomea sio jambo baya .
 
Kabla hata sherehe za kufurahia Gekul kufutiwa kesi iliyomkabili , ile ya kumtumbukiza Chupa makalioni kijana mmoja huko Manyara haijaanza , Tayari Mawakili wa Mlalamikaji huyo wametangaza kukata rufaa kupinga Uamuzi wa DPP wa kuifuta kesi hiyo.

Tayari nyaraka zimeanza kukusanywa ili kulianzisha upya jambo hilo.
---
Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini imeondoa Kesi ya namba 179 ya mwaka 2023 ya shumbulio la mwili iliyokuwa ikimkabili aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria ambaye ni Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul ambapo upande wa Mbunge huyo ilikuwa ikiwakilishwa na wakili Ephraim Kisanga huku upande wa mlalamikaji Hashimu Ally ikiwakilishwa na mawakili watatu ambao ni Thadei Lista,Peter Madeleka na Joseph Masanja.

Kesi hii kwa mara ya kwanza imesikilizwa hii Leo katika mahakama ya wilaya ya Babati Mkoani Manyara na Hakimu wa mahakama hiyo Victor Kimario ambapo amesema kesi hiyo imeondolewa kwa mujibu wa sheria namba 91 kifungu kidogo cha( 1) cha sheria ya mwenendo wa mashauri ya jinai sura namba 20 Kama ilivyorekebishwa mwaka 2022, ambayo inampa mkurugenzi wa mashitka mamlaka ya kuondoa kesi yeyote ya jinai mahakamani kabla haijafikia hukumu.

Kwa upande wa Mawakili wa mlalamikaji wameelezwa kutokuridhishwa na kitendo kilicho endelea mahakamani hususani kufutwa kwa kesi hiyo na wameeleza kukata rufaa.
  1. mliochonga mchongo- CHADEMA
  2. mliopeleleza -CHADEMA
  3. mlioshitaki- CHADEMA
  4. mliokwenda mahakamani- CHADEMA
  5. mnaoleta uzi JF-CHADEMA
 
ukitaka kujua madeleka kiazi, amekosea kuanzia notice ya kukata rufaa yenyewe. pia, hajui kama kesi zote za jinai DPP ana mamlaka juu yake, hata zile za private prosecutions. ni ajabu kwamba wakili mwenzetu hajui hiki kitu na anapenda kuwadanganya wananchi wa kawaida. yeye kama angetaka kuchallenge nolle, angefungua shauri la kikatiba, sio kukata rufaa kwasababu mashauri dhidi ya nolle yalishawahi katiwa rufaa na kutolewa maamuzi kitambo sana.
CHADEMA hawajui sheria- wanachanganya sheria na uanaharakati na hivi vitu haviendi pamoja
 
Sijasoma sheria lakini ishu za kisheria zipo wazi maana ni vitendo vinavyofanywa kinyume na utu na ubinaadamu

Swali langu Kwa Dpp

Jama aliingizwa chupe sehemu za Siri za nyuma au hakuingizwa?

Na kama aliingizwa aliyemfanyia hicho kitendo analo kosa la kujibu au hana?

Je huyo naibu waziri mstafu ni yeye ndio aliyofanya hicho kitendo au alisingiziwa?

Kama sio yeye inamaana yupo mshitakiwa mwingine aliyefanya hilo tukio hivyo atafikishwa mahakamani?

Je ni kweli katika katiba ya Tanzania Kuna sehemu inamruhusu Dpp kumtetea mtu aliyevunja sheria?
Ukitaka kupata haki mahakamni uwe na mikono, na dhamira safi- kwa uchafu na fitina za CHADEMA hawawezi wala kustahili
 
Maamuzi ya DPP kufuta kesi yoyote hayahojiwi popote na hawajibiki kueleza popote sababu ya kufuta kwa yeyote.

Itafutwa tena kama itasajiliwa mahakama za bongo.
 
Kabla hata sherehe za kufurahia Gekul kufutiwa kesi iliyomkabili , ile ya kumtumbukiza Chupa makalioni kijana mmoja huko Manyara haijaanza , Tayari Mawakili wa Mlalamikaji huyo wametangaza kukata rufaa kupinga Uamuzi wa DPP wa kuifuta kesi hiyo.

Tayari nyaraka zimeanza kukusanywa ili kulianzisha upya jambo hilo.
---
Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini imeondoa Kesi ya namba 179 ya mwaka 2023 ya shumbulio la mwili iliyokuwa ikimkabili aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria ambaye ni Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul ambapo upande wa Mbunge huyo ilikuwa ikiwakilishwa na wakili Ephraim Kisanga huku upande wa mlalamikaji Hashimu Ally ikiwakilishwa na mawakili watatu ambao ni Thadei Lista,Peter Madeleka na Joseph Masanja.

Kesi hii kwa mara ya kwanza imesikilizwa hii Leo katika mahakama ya wilaya ya Babati Mkoani Manyara na Hakimu wa mahakama hiyo Victor Kimario ambapo amesema kesi hiyo imeondolewa kwa mujibu wa sheria namba 91 kifungu kidogo cha( 1) cha sheria ya mwenendo wa mashauri ya jinai sura namba 20 Kama ilivyorekebishwa mwaka 2022, ambayo inampa mkurugenzi wa mashitka mamlaka ya kuondoa kesi yeyote ya jinai mahakamani kabla haijafikia hukumu.

Kwa upande wa Mawakili wa mlalamikaji wameelezwa kutokuridhishwa na kitendo kilicho endelea mahakamani hususani kufutwa kwa kesi hiyo na wameeleza kukata rufaa.
madeleka ni majereka na magereka sioni akifua dafu
 
Back
Top Bottom