Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Karibu pande hii, DPP atumie madaraka yake kisheria ipasavyo, asisubiri maelekezo ya wanasiasa ili afanye kazi..hata ktk mazingira ambayo uamuzi wa "nolle" unaelekea kudhulumu haki za watu?
..kwamba DPP anaruhusiwa kufanya anavyotaka ktk shauri lolote na hakuna wa kumhoji?
..sidhani kama waandishi wa sheria zetu walilenga kumpa Dpp mamlaka hata ya kuvunja haki kwa kutumia " nolle. "
CHADEMA mnatakiwa kujitafakari. Watanzania tumeanza kuzichoka siasa na fitina zenu.Kabla hata sherehe za kufurahia Gekul kufutiwa kesi iliyomkabili , ile ya kumtumbukiza Chupa makalioni kijana mmoja huko Manyara haijaanza , Tayari Mawakili wa Mlalamikaji huyo wametangaza kukata rufaa kupinga Uamuzi wa DPP wa kuifuta kesi hiyo.
Tayari nyaraka zimeanza kukusanywa ili kulianzisha upya jambo hilo.
---
Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini imeondoa Kesi ya namba 179 ya mwaka 2023 ya shumbulio la mwili iliyokuwa ikimkabili aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria ambaye ni Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul ambapo upande wa Mbunge huyo ilikuwa ikiwakilishwa na wakili Ephraim Kisanga huku upande wa mlalamikaji Hashimu Ally ikiwakilishwa na mawakili watatu ambao ni Thadei Lista,Peter Madeleka na Joseph Masanja.
Kesi hii kwa mara ya kwanza imesikilizwa hii Leo katika mahakama ya wilaya ya Babati Mkoani Manyara na Hakimu wa mahakama hiyo Victor Kimario ambapo amesema kesi hiyo imeondolewa kwa mujibu wa sheria namba 91 kifungu kidogo cha( 1) cha sheria ya mwenendo wa mashauri ya jinai sura namba 20 Kama ilivyorekebishwa mwaka 2022, ambayo inampa mkurugenzi wa mashitka mamlaka ya kuondoa kesi yeyote ya jinai mahakamani kabla haijafikia hukumu.
Kwa upande wa Mawakili wa mlalamikaji wameelezwa kutokuridhishwa na kitendo kilicho endelea mahakamani hususani kufutwa kwa kesi hiyo na wameeleza kukata rufaa.
ukitaka kujua madeleka kiazi, amekosea kuanzia notice ya kukata rufaa yenyewe. pia, hajui kama kesi zote za jinai DPP ana mamlaka juu yake, hata zile za private prosecutions. ni ajabu kwamba wakili mwenzetu hajui hiki kitu na anapenda kuwadanganya wananchi wa kawaida. yeye kama angetaka kuchallenge nolle, angefungua shauri la kikatiba, sio kukata rufaa kwasababu mashauri dhidi ya nolle yalishawahi katiwa rufaa na kutolewa maamuzi kitambo sana.Kabla hata sherehe za kufurahia Gekul kufutiwa kesi iliyomkabili , ile ya kumtumbukiza Chupa makalioni kijana mmoja huko Manyara haijaanza , Tayari Mawakili wa Mlalamikaji huyo wametangaza kukata rufaa kupinga Uamuzi wa DPP wa kuifuta kesi hiyo.
Tayari nyaraka zimeanza kukusanywa ili kulianzisha upya jambo hilo.
---
Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini imeondoa Kesi ya namba 179 ya mwaka 2023 ya shumbulio la mwili iliyokuwa ikimkabili aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria ambaye ni Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul ambapo upande wa Mbunge huyo ilikuwa ikiwakilishwa na wakili Ephraim Kisanga huku upande wa mlalamikaji Hashimu Ally ikiwakilishwa na mawakili watatu ambao ni Thadei Lista,Peter Madeleka na Joseph Masanja.
Kesi hii kwa mara ya kwanza imesikilizwa hii Leo katika mahakama ya wilaya ya Babati Mkoani Manyara na Hakimu wa mahakama hiyo Victor Kimario ambapo amesema kesi hiyo imeondolewa kwa mujibu wa sheria namba 91 kifungu kidogo cha( 1) cha sheria ya mwenendo wa mashauri ya jinai sura namba 20 Kama ilivyorekebishwa mwaka 2022, ambayo inampa mkurugenzi wa mashitka mamlaka ya kuondoa kesi yeyote ya jinai mahakamani kabla haijafikia hukumu.
Kwa upande wa Mawakili wa mlalamikaji wameelezwa kutokuridhishwa na kitendo kilicho endelea mahakamani hususani kufutwa kwa kesi hiyo na wameeleza kukata rufaa.
Pumbavu!CHADEMA mnatakiwa kujitafakari. Watanzania tumeanza kuzichoka siasa na fitina zenu.
Mnahangaika sana na maslahi ya wanawake na Kila aliyewakana!!
Chama Cha hovyo kabisa kuwahi kutokea duniani!! Au sijui ndo wachaga mlivyo!!?
Nani alimuondoa ?Mkuu Erythrocyte kuna uzi humu umeshauri kwamba mumrudishe Dr. Silaa chadema kuelekea uchaguzi 2024 na 2025, vipi umeshawasilisha agenda husika huko chamani au teyari liko mezani muda mrefu.
Madeleka siyo ChademaCHADEMA mnatakiwa kujitafakari. Watanzania tumeanza kuzichoka siasa na fitina zenu.
Mnahangaika sana na maslahi ya wanawake na Kila aliyewakana!!
Chama Cha hovyo kabisa kuwahi kutokea duniani!! Au sijui ndo wachaga mlivyo!!?
Si alienda kulamba asali aliyoilamba Mbowe.Nani alimuondoa ?
Most probably, Advocate Madeleka is "mamluki."Kabla hata sherehe za kufurahia Gekul kufutiwa kesi iliyomkabili , ile ya kumtumbukiza Chupa makalioni kijana mmoja huko Manyara haijaanza , Tayari Mawakili wa Mlalamikaji huyo wametangaza kukata rufaa kupinga Uamuzi wa DPP wa kuifuta kesi hiyo.
Tayari nyaraka zimeanza kukusanywa ili kulianzisha upya jambo hilo.
---
Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini imeondoa Kesi ya namba 179 ya mwaka 2023 ya shumbulio la mwili iliyokuwa ikimkabili aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria ambaye ni Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul ambapo upande wa Mbunge huyo ilikuwa ikiwakilishwa na wakili Ephraim Kisanga huku upande wa mlalamikaji Hashimu Ally ikiwakilishwa na mawakili watatu ambao ni Thadei Lista,Peter Madeleka na Joseph Masanja.
Kesi hii kwa mara ya kwanza imesikilizwa hii Leo katika mahakama ya wilaya ya Babati Mkoani Manyara na Hakimu wa mahakama hiyo Victor Kimario ambapo amesema kesi hiyo imeondolewa kwa mujibu wa sheria namba 91 kifungu kidogo cha( 1) cha sheria ya mwenendo wa mashauri ya jinai sura namba 20 Kama ilivyorekebishwa mwaka 2022, ambayo inampa mkurugenzi wa mashitka mamlaka ya kuondoa kesi yeyote ya jinai mahakamani kabla haijafikia hukumu.
Kwa upande wa Mawakili wa mlalamikaji wameelezwa kutokuridhishwa na kitendo kilicho endelea mahakamani hususani kufutwa kwa kesi hiyo na wameeleza kukata rufaa.
Huna ushahidiSi alienda kulamba asali aliyoilamba Mbowe.
Hata mimi nasubiri majibuSijasoma sheria lakini ishu za kisheria zipo wazi maana ni vitendo vinavyofanywa kinyume na utu na ubinaadamu
Swali langu Kwa Dpp
Jama aliingizwa chupe sehemu za Siri za nyuma au hakuingizwa?
Na kama aliingizwa aliyemfanyia hicho kitendo analo kosa la kujibu au hana?
Je huyo naibu waziri mstafu ni yeye ndio aliyofanya hicho kitendo au alisingiziwa?
Kama sio yeye inamaana yupo mshitakiwa mwingine aliyefanya hilo tukio hivyo atafikishwa mahakamani?
Je ni kweli katika katiba ya Tanzania Kuna sehemu inamruhusu Dpp kumtetea mtu aliyevunja sheria?
Tumuache madereka apoteze muda kwa kazi aliyosomea sio jambo baya .Kabla hata sherehe za kufurahia Gekul kufutiwa kesi iliyomkabili , ile ya kumtumbukiza Chupa makalioni kijana mmoja huko Manyara haijaanza , Tayari Mawakili wa Mlalamikaji huyo wametangaza kukata rufaa kupinga Uamuzi wa DPP wa kuifuta kesi hiyo.
Tayari nyaraka zimeanza kukusanywa ili kulianzisha upya jambo hilo.
---
Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini imeondoa Kesi ya namba 179 ya mwaka 2023 ya shumbulio la mwili iliyokuwa ikimkabili aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria ambaye ni Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul ambapo upande wa Mbunge huyo ilikuwa ikiwakilishwa na wakili Ephraim Kisanga huku upande wa mlalamikaji Hashimu Ally ikiwakilishwa na mawakili watatu ambao ni Thadei Lista,Peter Madeleka na Joseph Masanja.
Kesi hii kwa mara ya kwanza imesikilizwa hii Leo katika mahakama ya wilaya ya Babati Mkoani Manyara na Hakimu wa mahakama hiyo Victor Kimario ambapo amesema kesi hiyo imeondolewa kwa mujibu wa sheria namba 91 kifungu kidogo cha( 1) cha sheria ya mwenendo wa mashauri ya jinai sura namba 20 Kama ilivyorekebishwa mwaka 2022, ambayo inampa mkurugenzi wa mashitka mamlaka ya kuondoa kesi yeyote ya jinai mahakamani kabla haijafikia hukumu.
Kwa upande wa Mawakili wa mlalamikaji wameelezwa kutokuridhishwa na kitendo kilicho endelea mahakamani hususani kufutwa kwa kesi hiyo na wameeleza kukata rufaa.
Kabla hata sherehe za kufurahia Gekul kufutiwa kesi iliyomkabili , ile ya kumtumbukiza Chupa makalioni kijana mmoja huko Manyara haijaanza , Tayari Mawakili wa Mlalamikaji huyo wametangaza kukata rufaa kupinga Uamuzi wa DPP wa kuifuta kesi hiyo.
Tayari nyaraka zimeanza kukusanywa ili kulianzisha upya jambo hilo.
---
Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini imeondoa Kesi ya namba 179 ya mwaka 2023 ya shumbulio la mwili iliyokuwa ikimkabili aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria ambaye ni Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul ambapo upande wa Mbunge huyo ilikuwa ikiwakilishwa na wakili Ephraim Kisanga huku upande wa mlalamikaji Hashimu Ally ikiwakilishwa na mawakili watatu ambao ni Thadei Lista,Peter Madeleka na Joseph Masanja.
Kesi hii kwa mara ya kwanza imesikilizwa hii Leo katika mahakama ya wilaya ya Babati Mkoani Manyara na Hakimu wa mahakama hiyo Victor Kimario ambapo amesema kesi hiyo imeondolewa kwa mujibu wa sheria namba 91 kifungu kidogo cha( 1) cha sheria ya mwenendo wa mashauri ya jinai sura namba 20 Kama ilivyorekebishwa mwaka 2022, ambayo inampa mkurugenzi wa mashitka mamlaka ya kuondoa kesi yeyote ya jinai mahakamani kabla haijafikia hukumu.
Kwa upande wa Mawakili wa mlalamikaji wameelezwa kutokuridhishwa na kitendo kilicho endelea mahakamani hususani kufutwa kwa kesi hiyo na wameeleza kukata rufaa.
CHADEMA hawajui sheria- wanachanganya sheria na uanaharakati na hivi vitu haviendi pamojaukitaka kujua madeleka kiazi, amekosea kuanzia notice ya kukata rufaa yenyewe. pia, hajui kama kesi zote za jinai DPP ana mamlaka juu yake, hata zile za private prosecutions. ni ajabu kwamba wakili mwenzetu hajui hiki kitu na anapenda kuwadanganya wananchi wa kawaida. yeye kama angetaka kuchallenge nolle, angefungua shauri la kikatiba, sio kukata rufaa kwasababu mashauri dhidi ya nolle yalishawahi katiwa rufaa na kutolewa maamuzi kitambo sana.
Ukitaka kupata haki mahakamni uwe na mikono, na dhamira safi- kwa uchafu na fitina za CHADEMA hawawezi wala kustahiliSijasoma sheria lakini ishu za kisheria zipo wazi maana ni vitendo vinavyofanywa kinyume na utu na ubinaadamu
Swali langu Kwa Dpp
Jama aliingizwa chupe sehemu za Siri za nyuma au hakuingizwa?
Na kama aliingizwa aliyemfanyia hicho kitendo analo kosa la kujibu au hana?
Je huyo naibu waziri mstafu ni yeye ndio aliyofanya hicho kitendo au alisingiziwa?
Kama sio yeye inamaana yupo mshitakiwa mwingine aliyefanya hilo tukio hivyo atafikishwa mahakamani?
Je ni kweli katika katiba ya Tanzania Kuna sehemu inamruhusu Dpp kumtetea mtu aliyevunja sheria?
madeleka ni majereka na magereka sioni akifua dafuKabla hata sherehe za kufurahia Gekul kufutiwa kesi iliyomkabili , ile ya kumtumbukiza Chupa makalioni kijana mmoja huko Manyara haijaanza , Tayari Mawakili wa Mlalamikaji huyo wametangaza kukata rufaa kupinga Uamuzi wa DPP wa kuifuta kesi hiyo.
Tayari nyaraka zimeanza kukusanywa ili kulianzisha upya jambo hilo.
---
Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini imeondoa Kesi ya namba 179 ya mwaka 2023 ya shumbulio la mwili iliyokuwa ikimkabili aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria ambaye ni Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul ambapo upande wa Mbunge huyo ilikuwa ikiwakilishwa na wakili Ephraim Kisanga huku upande wa mlalamikaji Hashimu Ally ikiwakilishwa na mawakili watatu ambao ni Thadei Lista,Peter Madeleka na Joseph Masanja.
Kesi hii kwa mara ya kwanza imesikilizwa hii Leo katika mahakama ya wilaya ya Babati Mkoani Manyara na Hakimu wa mahakama hiyo Victor Kimario ambapo amesema kesi hiyo imeondolewa kwa mujibu wa sheria namba 91 kifungu kidogo cha( 1) cha sheria ya mwenendo wa mashauri ya jinai sura namba 20 Kama ilivyorekebishwa mwaka 2022, ambayo inampa mkurugenzi wa mashitka mamlaka ya kuondoa kesi yeyote ya jinai mahakamani kabla haijafikia hukumu.
Kwa upande wa Mawakili wa mlalamikaji wameelezwa kutokuridhishwa na kitendo kilicho endelea mahakamani hususani kufutwa kwa kesi hiyo na wameeleza kukata rufaa.