Ya Kikwete na Mkapa wa 1995, kujirudia Chadema 2025?

Ya Kikwete na Mkapa wa 1995, kujirudia Chadema 2025?

Fortilo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
5,807
Reaction score
17,416
Wakuu salam,

Wakati huko mitandaoni watu wanataka kuuwana na kuchukia wengine, siku zote wanasiasa ni wale wale

Kwa miaka takribani 30 sasa, Chadema inaenda ku set a very new political pathway kwa vyama vyote vya upinzani kufuata..

Nawashangaa sana vijana wanaopasuana kwa matusi mitandaoni.

Haya mambo si leo wala ya jana yaliwahi tokea 1995 kwenye mkutano wa kamati kuu CCM wakati vyama vya upinzani vikiwa vichanga kabisa .

Kumbuka 1995, CCM ilikuwa na Umri relatively sawa na Umri wa Chadema sasa (>3yo) kwahiyo hapa Chadema ndio itavunja ungo na iki qualify CCM itakuwa na kibarua kizito sana kufikia Oct Mwaka huu.

Minyukano na mambo mazito na matishio ya CCM kusambaratika yalikuwa hivi hivi kipindi cha kuamua nani atakuwa mgombea Urais kati ya Mkapa na Kikwete.

Kumbuka Mkapa wakati huo hakuwa na ushawish mkubwa kama Kikwete, lakini Mkapa alikuwa na back up ya Mwinyi na Nyerere (the heavy weight)

Wasikilize mwenyewe hapa👇


View: https://youtu.be/YW12KJx5Xlk?si=0kwW99h9umUItUyT
Screenshot_20250110-164925.png
Screenshot_20250110-164918.png
Screenshot_20250110-164921.png
Screenshot_20250110-164727.png
Screenshot_20250110-164646.png
 
Tangu nione Lissu na Anna Makinda wakicheza mziki pamoja baada ya kuvurugana kwenye kikao Fulani hivi cha Bunge

Ndiyo nikajua, kwenye Siasa hakuna adui Wala rafiki wa Kudumu, Bali maslahi...🙌
 
Wakuu salam,

Wakati huko mitandaoni watu wanataka kuuwana na kuchukia wengine, siku zote wanasiasa ni wale wale

Kwa miaka takribani 30 sasa, Chadema inaenda ku set a very new political pathway kwa vyama vyote vya upinzani kufuata..

Nawashangaa sana vijana wanaopasuana kwa matusi mitandaoni.

Haya mambo si leo wala ya jana yaliwahi tokea 1995 kwenye mkutano wa kamati kuu CCM wakati vyama vya upinzani vikiwa vichanga kabisa .

Kumbuka 1995, CCM ilikuwa na Umri relatively sawa na Umri wa Chadema sasa (>3yo) kwahiyo hapa Chadema ndio itavunja ungo na iki qualify CCM itakuwa na kibarua kizito sana kufikia Oct Mwaka huu.

Minyukano na mambo mazito na matishio ya CCM kusambaratika yalikuwa hivi hivi kipindi cha kuamua nani atakuwa mgombea Urais kati ya Mkapa na Kikwete.

Kumbuka Mkapa wakati huo hakuwa na ushawish mkubwa kama Kikwete, lakini Mkapa alikuwa na back up ya Mwinyi na Nyerere (the heavy weight)

Wasikilize mwenyewe hapa👇


View: https://youtu.be/YW12KJx5Xlk?si=0kwW99h9umUItUyT
View attachment 3197622View attachment 3197623View attachment 3197624View attachment 3197625View attachment 3197626

Sema Nyerere alitulocha sana watanzania
 
Wakuu salam,

Wakati huko mitandaoni watu wanataka kuuwana na kuchukia wengine, siku zote wanasiasa ni wale wale

Kwa miaka takribani 30 sasa, Chadema inaenda ku set a very new political pathway kwa vyama vyote vya upinzani kufuata..

Nawashangaa sana vijana wanaopasuana kwa matusi mitandaoni.

Haya mambo si leo wala ya jana yaliwahi tokea 1995 kwenye mkutano wa kamati kuu CCM wakati vyama vya upinzani vikiwa vichanga kabisa .

Kumbuka 1995, CCM ilikuwa na Umri relatively sawa na Umri wa Chadema sasa (>3yo) kwahiyo hapa Chadema ndio itavunja ungo na iki qualify CCM itakuwa na kibarua kizito sana kufikia Oct Mwaka huu.

Minyukano na mambo mazito na matishio ya CCM kusambaratika yalikuwa hivi hivi kipindi cha kuamua nani atakuwa mgombea Urais kati ya Mkapa na Kikwete.

Kumbuka Mkapa wakati huo hakuwa na ushawish mkubwa kama Kikwete, lakini Mkapa alikuwa na back up ya Mwinyi na Nyerere (the heavy weight)

Wasikilize mwenyewe hapa👇


View: https://youtu.be/YW12KJx5Xlk?si=0kwW99h9umUItUyT
View attachment 3197622View attachment 3197623View attachment 3197624View attachment 3197625View attachment 3197626

Mwinyi alikuwa anamuunga mkono Kikwete. Nyerere alimuunga mkono Mkapa
 
Back
Top Bottom