Ya leo kikaoni usiku pale Utemini

Ya leo kikaoni usiku pale Utemini

Badala ya kuwaza maendeleo ya nchi na kuumiza vichwa kutoa mawazo chanya na nini kifanyike ili nchi yetu ipate maendeleo y kweli mmekaa kuwaza vyeo na madaraka tu!

Nyuzi zote unazoanzisha ni vyeo na madaraka tu alafu ndo nchi ipate maendeleo ya kweli.

Nasikitika waliokuteua mwenezi hapo CCM.
Mbona ata viongozi wa ngazi za Juu huwa wanawaza uchaguzi,sasa Kuna ubaya gani mtoa mada kuripoti utamaduni wa chama chenu!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Wanaotumiwa na mafisadi wamepambana sana kumshauri boss lady eti asimpe kijiti bwana mdogo na ambakishe palepale alipomteua siku chache zilizopita na huku wakimpigia debe kijana wao mwenye jina la mtoto wa Yoseph ili awe.

Hali kadhalika, wenye mlengo wa kulia wamemshauri boss lady amrejeshe mu-cubya ili kwalo aje awe boss wa Sekretalieti. Na kwa ushirikiano wa Yeye na Mwenezi, wanaamini Chama kitapaa juu mawinguni kwa kuaminiwa tena na Wananchi.

VC hamtaki yule mlima nyanya! Na akaenda mbali zaidi, eti, yupo tayari akalee wajukuu kuliko kufanya kazi na vijana wenye viburi. Mlengo wa kulia wakamuuliza, vijana ama kijana? Na kama ni vijana, je, na yupi mwingine!? Jibu lake akaishia kuguna pekee!

"....wazee wangu na wana MCC wenzangu nimewasikia. Na acheni nami na wenzangu wanaonishauri mambo ya siasa, tukalipitie." Jibu la boss lady.

Nb: Mradi wa mama bado chaji inasoma 90%.
Upande gani utashinda kwa maoni yako?
 
Badala ya kuwaza maendeleo ya nchi na kuumiza vichwa kutoa mawazo chanya na nini kifanyike ili nchi yetu ipate maendeleo y kweli mmekaa kuwaza vyeo na madaraka tu!

Nyuzi zote unazoanzisha ni vyeo na madaraka tu alafu ndo nchi ipate maendeleo ya kweli.

Nasikitika waliokuteua mwenezi hapo CCM.
Safu ikiwa nzuri utaona maendeleo. Toka Makonda aingie baadhi ya watumishi wameanza kukuna vichwa. Mawaziri wameanza kuwawajibisha watendaji, watendaji nao wameamka usingizini.

Hii amsha ni kichocheo cha maendeleo.

Pia usisahau hili ni jukwaa la siasa.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Safu ikiwa nzuri utaona maendeleo. Toka Makonda aingie baadhi ya watumishi wameanza kukuna vichwa. Mawaziri wameanza kuwawajibisha watendaji, watendaji nao wameamka usingizini.

Hii amsha ni kichocheo cha maendeleo.

Pia usisahau hili ni jukwaa la siasa.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app

Kinana,Chongolo, Mjema, Shaka hawana, na hawajai kuwa na impact yoyote kwa nchi au chama. Impacts yao kwenye maisha ya Watanzania ni sifuri, chini ya sifuri, negative.
 
Badala ya kuwaza maendeleo ya nchi na kuumiza vichwa kutoa mawazo chanya na nini kifanyike ili nchi yetu ipate maendeleo y kweli mmekaa kuwaza vyeo na madaraka tu!

Nyuzi zote unazoanzisha ni vyeo na madaraka tu alafu ndo nchi ipate maendeleo ya kweli.

Nasikitika waliokuteua mwenezi hapo CCM.
No yaliosemwa kwa code hapo ni muhim pia ukubal ukatae ndio yana endesha uchum wako. Mu cubya ni fit sana ila nae ni mtata ila very strategically acha siasa iendeshe
 
“*
huku wakimpigia debe kijana wao mwenye jina la mtoto wa Yoseph ili awe.

Hali kadhalika, wenye mlengo wa kulia wamemshauri boss lady amrejeshe mu-cubya ili kwalo aje awe boss wa Sekretalieti. Na kwa ushirikiano wa Yeye na Mwenezi, wanaamini Chama kitapaa juu mawinguni kwa kuaminiwa tena na Wananchi.*

Mtoto wa Yoseph ni Emmanuel?

Mu-cubya ni nani?

Suzy Elias
 
Badala ya kuwaza maendeleo ya nchi na kuumiza vichwa kutoa mawazo chanya na nini kifanyike ili nchi yetu ipate maendeleo y kweli mmekaa kuwaza vyeo na madaraka tu!

Nyuzi zote unazoanzisha ni vyeo na madaraka tu alafu ndo nchi ipate maendeleo ya kweli.

Nasikitika waliokuteua mwenezi hapo CCM.
Suzy ndio mwenezi? Yaani kumbe nabishanaga na Mwenezi huku? Nisamehe sana sana Mwenezi.
 
Back
Top Bottom