residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Hasa kwenye "chama twawala".Ansanteee
Tuna wapumbavu wengi sana nchini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasa kwenye "chama twawala".Ansanteee
Tuna wapumbavu wengi sana nchini
Kwahiyo kabsaaaa mnawaza DAB awe katibu mkuu? Khaaaaa
Nadhani umenifahamu juzi.Wewe umeanzisha kipi kinachohusu maendeleo.na hili ni jukwa la siasa,unafanya nn humu wewe,si utoke humu
Mbona ata viongozi wa ngazi za Juu huwa wanawaza uchaguzi,sasa Kuna ubaya gani mtoa mada kuripoti utamaduni wa chama chenu!Badala ya kuwaza maendeleo ya nchi na kuumiza vichwa kutoa mawazo chanya na nini kifanyike ili nchi yetu ipate maendeleo y kweli mmekaa kuwaza vyeo na madaraka tu!
Nyuzi zote unazoanzisha ni vyeo na madaraka tu alafu ndo nchi ipate maendeleo ya kweli.
Nasikitika waliokuteua mwenezi hapo CCM.
Upande gani utashinda kwa maoni yako?Wanaotumiwa na mafisadi wamepambana sana kumshauri boss lady eti asimpe kijiti bwana mdogo na ambakishe palepale alipomteua siku chache zilizopita na huku wakimpigia debe kijana wao mwenye jina la mtoto wa Yoseph ili awe.
Hali kadhalika, wenye mlengo wa kulia wamemshauri boss lady amrejeshe mu-cubya ili kwalo aje awe boss wa Sekretalieti. Na kwa ushirikiano wa Yeye na Mwenezi, wanaamini Chama kitapaa juu mawinguni kwa kuaminiwa tena na Wananchi.
VC hamtaki yule mlima nyanya! Na akaenda mbali zaidi, eti, yupo tayari akalee wajukuu kuliko kufanya kazi na vijana wenye viburi. Mlengo wa kulia wakamuuliza, vijana ama kijana? Na kama ni vijana, je, na yupi mwingine!? Jibu lake akaishia kuguna pekee!
"....wazee wangu na wana MCC wenzangu nimewasikia. Na acheni nami na wenzangu wanaonishauri mambo ya siasa, tukalipitie." Jibu la boss lady.
Nb: Mradi wa mama bado chaji inasoma 90%.
Safu ikiwa nzuri utaona maendeleo. Toka Makonda aingie baadhi ya watumishi wameanza kukuna vichwa. Mawaziri wameanza kuwawajibisha watendaji, watendaji nao wameamka usingizini.Badala ya kuwaza maendeleo ya nchi na kuumiza vichwa kutoa mawazo chanya na nini kifanyike ili nchi yetu ipate maendeleo y kweli mmekaa kuwaza vyeo na madaraka tu!
Nyuzi zote unazoanzisha ni vyeo na madaraka tu alafu ndo nchi ipate maendeleo ya kweli.
Nasikitika waliokuteua mwenezi hapo CCM.
Hahahaha wazee wa legacy mnahangaika sana!Wanaotumiwa na mafisadi wamepambana sana kumshauri boss lady eti asimpe kijiti bwana mdogo na ambakishe palepale alipomteua siku chache zilizopita na huku wakimpigia debe kijana wao mwenye jina la mtoto wa Yoseph ili awe.
Nb: Mradi wa mama bado chaji inasoma 90%.
Huyo ni timu Msoga, Wahuni wamebanwa mbavu baada ya Mama Kizimkazi kiwashitukia kuwa ni wapigaji tu,sasa amebako kulialia humu jamvini.Duh! Sasa kama vyeo na madaraka siyo components za siasa, siasa ni nini sasa? We umekuwaje toka aje kijana Konda?
Kama Kinana aliua Tembo wetu kwa kufanya Biashara haramu ya pembe za Ndovu ameteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti,shida nini kwa Bashite kuteuliwa.Kwanini asiwe?
Isisqmbaratike mwaka 2015,ije isambaratike leo!CCM bado wapo sana madarakani!...mojawapo ya njozi isiyo na uhalisia ambayo ulishawahi kuota! Amka, kumekucha.
Una ushahidi??Kama Kinana aliua Tembo wetu kwa kufanya Biashara haramu ya pembe za Ndovu ameteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti,shida nini kwa Bashite kuteuliwa.
Humo CCM wote Wahuni, kwaiyo wanaangalia katika Wahuni yupi afadhari ndiyo wanampa madaraka!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Una miaka mingapi au umeanza kufuatilia siasa lini?Una ushahidi??
Safu ikiwa nzuri utaona maendeleo. Toka Makonda aingie baadhi ya watumishi wameanza kukuna vichwa. Mawaziri wameanza kuwawajibisha watendaji, watendaji nao wameamka usingizini.
Hii amsha ni kichocheo cha maendeleo.
Pia usisahau hili ni jukwaa la siasa.
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
No yaliosemwa kwa code hapo ni muhim pia ukubal ukatae ndio yana endesha uchum wako. Mu cubya ni fit sana ila nae ni mtata ila very strategically acha siasa iendesheBadala ya kuwaza maendeleo ya nchi na kuumiza vichwa kutoa mawazo chanya na nini kifanyike ili nchi yetu ipate maendeleo y kweli mmekaa kuwaza vyeo na madaraka tu!
Nyuzi zote unazoanzisha ni vyeo na madaraka tu alafu ndo nchi ipate maendeleo ya kweli.
Nasikitika waliokuteua mwenezi hapo CCM.
Suzy ndio mwenezi? Yaani kumbe nabishanaga na Mwenezi huku? Nisamehe sana sana Mwenezi.Badala ya kuwaza maendeleo ya nchi na kuumiza vichwa kutoa mawazo chanya na nini kifanyike ili nchi yetu ipate maendeleo y kweli mmekaa kuwaza vyeo na madaraka tu!
Nyuzi zote unazoanzisha ni vyeo na madaraka tu alafu ndo nchi ipate maendeleo ya kweli.
Nasikitika waliokuteua mwenezi hapo CCM.
Waliosoma huko Cuba, wameelewa.
Hahaha!Suzy ndio mwenezi? Yaani kumbe nabishanaga na Mwenezi huku? Nisamehe sana sana Mwenezi.