Ya leo kikaoni usiku pale Utemini

Ya leo kikaoni usiku pale Utemini

Wanaotumiwa na mafisadi wamepambana sana kumshauri boss lady eti asimpe kijiti bwana mdogo na ambakishe palepale alipomteua siku chache zilizopita na huku wakimpigia debe kijana wao mwenye jina la mtoto wa Yoseph ili awe.

Hali kadhalika, wenye mlengo wa kulia wamemshauri boss lady amrejeshe mu-cubya ili kwalo aje awe boss wa Sekretalieti. Na kwa ushirikiano wa Yeye na Mwenezi, wanaamini Chama kitapaa juu mawinguni kwa kuaminiwa tena na Wananchi.

VC hamtaki yule mlima nyanya! Na akaenda mbali zaidi, eti, yupo tayari akalee wajukuu kuliko kufanya kazi na vijana wenye viburi. Mlengo wa kulia wakamuuliza, vijana ama kijana? Na kama ni vijana, je, na yupi mwingine!? Jibu lake akaishia kuguna pekee!

"....wazee wangu na wana MCC wenzangu nimewasikia. Na acheni nami na wenzangu wanaonishauri mambo ya siasa, tukalipitie." Jibu la boss lady.

Nb: Mradi wa mama bado chaji inasoma 90%.
Kula vichwa wote waliomdhihaki Dr Magufuli na bado wote watatoka serikalini na LAZIMA wafe kisiasa
 
Wanaotumiwa na mafisadi wamepambana sana kumshauri boss lady eti asimpe kijiti bwana mdogo na ambakishe palepale alipomteua siku chache zilizopita na huku wakimpigia debe kijana wao mwenye jina la mtoto wa Yoseph ili awe.

Hali kadhalika, wenye mlengo wa kulia wamemshauri boss lady amrejeshe mu-cubya ili kwalo aje awe boss wa Sekretalieti. Na kwa ushirikiano wa Yeye na Mwenezi, wanaamini Chama kitapaa juu mawinguni kwa kuaminiwa tena na Wananchi.

VC hamtaki yule mlima nyanya! Na akaenda mbali zaidi, eti, yupo tayari akalee wajukuu kuliko kufanya kazi na vijana wenye viburi. Mlengo wa kulia wakamuuliza, vijana ama kijana? Na kama ni vijana, je, na yupi mwingine!? Jibu lake akaishia kuguna pekee!

"....wazee wangu na wana MCC wenzangu nimewasikia. Na acheni nami na wenzangu wanaonishauri mambo ya siasa, tukalipitie." Jibu la boss lady.

Nb: Mradi wa mama bado chaji inasoma 90%.
Hamna pointi hapa unataka warejeshe wasiojulikana?

Hatutaki kuona damu
 
Safu ikiwa nzuri utaona maendeleo. Toka Makonda aingie baadhi ya watumishi wameanza kukuna vichwa. Mawaziri wameanza kuwawajibisha watendaji, watendaji nao wameamka usingizini.

Hii amsha ni kichocheo cha maendeleo.

Pia usisahau hili ni jukwaa la siasa.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Watumishi gani wanakuna vichwa?
 
Badala ya kuwaza maendeleo ya nchi na kuumiza vichwa kutoa mawazo chanya na nini kifanyike ili nchi yetu ipate maendeleo y kweli mmekaa kuwaza vyeo na madaraka tu!

Nyuzi zote unazoanzisha ni vyeo na madaraka tu alafu ndo nchi ipate maendeleo ya kweli.

Nasikitika waliokuteua mwenezi hapo CCM.
Afrika haiendelei kwa sababu viongozi wa Afrika wakati wote wanafikiria namna ya kubakia madarakani. Nchi zilizoendelra viongozi wakati wote wanafikiria namna ya kuziletea maendelea nchi zao - Rais mstaafu Obama.

Kwa kuendelea kuwa na viongozi kama hawa wa CCM, Tanzania tusitegemee kupata maendeleo yoyote ya maana. Tuna viongozi ambao wana upeo na uelewa mdogo sana, halafu wanang'ang'ania madaraka. Sasa hawa vipofu watatupeleka wapi!!

Tunasubiria vipofu waongoze njia, halafu tunaamini kuwa tutafika tunakotaka kufika. Is impossible.

Uliona wapi kupiga kelele sana na kufanya vituko na uovu mwingi ikawa sifa ya uongozi? Yaani kupanda mikokoteni, punda, kuteka, kuua, na kupiga kelele, wakati kichwani hamna kitu, tayari huyo ni kiongozi shupavu na mkakamavu.
 
“*
huku wakimpigia debe kijana wao mwenye jina la mtoto wa Yoseph ili awe.

Hali kadhalika, wenye mlengo wa kulia wamemshauri boss lady amrejeshe mu-cubya ili kwalo aje awe boss wa Sekretalieti. Na kwa ushirikiano wa Yeye na Mwenezi, wanaamini Chama kitapaa juu mawinguni kwa kuaminiwa tena na Wananchi.*

Mtoto wa Yoseph ni Emmanuel?

Mu-cubya ni nani?

Suzy Elias
Slowly
 
Haya yakitokea CHADREAMA utawasikia, 'Demokrasia hiyo' 'tumekomaa' wamekaa mithili ya fisi kusubiria mkono udondoke...alimradi wapate ka wizara mbili hivi na ma ded ras, vinginevyo hawatoboi kwa ku susa susa.
 
Badala ya kuwaza maendeleo ya nchi na kuumiza vichwa kutoa mawazo chanya na nini kifanyike ili nchi yetu ipate maendeleo y kweli mmekaa kuwaza vyeo na madaraka tu!

Nyuzi zote unazoanzisha ni vyeo na madaraka tu alafu ndo nchi ipate maendeleo ya kweli.

Nasikitika waliokuteua mwenezi hapo CCM.
Hakuna nchi yenye maendeleo kama hakuna viongozi safi.
Tunaanza na kuwaza viongozi ambao watatuongiza kuelekea kwenye maendeleo. Huo ndiyo mfumo wa dunia
 
“*
huku wakimpigia debe kijana wao mwenye jina la mtoto wa Yoseph ili awe.

Hali kadhalika, wenye mlengo wa kulia wamemshauri boss lady amrejeshe mu-cubya ili kwalo aje awe boss wa Sekretalieti. Na kwa ushirikiano wa Yeye na Mwenezi, wanaamini Chama kitapaa juu mawinguni kwa kuaminiwa tena na Wananchi.*

Mtoto wa Yoseph ni Emmanuel?

Mu-cubya ni nani?

Suzy Elias
Mcubya ni pole pole,mtoto was yoseph ninmtoto wa "wazuri hawafi"uliza kingine!mlima nyanya ni Ally hapi!!

Decoded
 
Afrika haiendelei kwa sababu viongozi wa Afrika wakati wote wanafikiria namna ya kubakia madarakani.

Wacha uwongo . Kuna mazee kule Uturuki, Marekani hata yule *rump mla rushwa na mkwepa kodi...wapo wanafikiria madaraka tu! Wacha uwongo.
Nchi zilizoendelra viongozi wakati wote wanafikiria namna ya kuziletea maendelea nchi zao.
Hamia huko kulipoendelea
Kwa kuendelea kuwa na viongozi kama hawa wa CCM, Tanzania tusitegemee kupata maendeleo yoyote ya maana.
Hakuna mbadala, hakuna mwenye dhamira, unategemea nini?

Tuna viongozi ambao wana upeo na uelewa mdogo sana, halafu wanang'ang'ania madaraka
Kumbe unawajua CHADEMA
. Sasa hawa vipofu watatupeleka wapi!!

Tunasubiria vipofu waongoze njia, halafu tunaamini kuwa tutafika tunakotaka kufika. Is impossible.

Uliona wapi kupiga kelele sana na kufanya vituko na uovu mwingi ikawa sifa ya uongozi?
Wwe humwonagi Tundu Lissu akifoka? Au Mbowe? Mdude?

Yaani kupanda mikokoteni, punda, kuteka, kuua, na kupiga kelele, wakati kichwani hamna kitu, tayari huyo ni kiongozi shupavu na mkakamavu.
Nenda mahakamani. Hamna ushahidi. Kupanda mikokoteni ni jinai? Mnaunga unga mpaka mnaboa. ati kuua kupanda mikokoteni na kupiga kelele ni kitu kimoja?
 
Back
Top Bottom