Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Mu Cubya ni nani mkuu?No yaliosemwa kwa code hapo ni muhim pia ukubal ukatae ndio yana endesha uchum wako. Mu cubya ni fit sana ila nae ni mtata ila very strategically acha siasa iendeshe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mu Cubya ni nani mkuu?No yaliosemwa kwa code hapo ni muhim pia ukubal ukatae ndio yana endesha uchum wako. Mu cubya ni fit sana ila nae ni mtata ila very strategically acha siasa iendeshe
Kula vichwa wote waliomdhihaki Dr Magufuli na bado wote watatoka serikalini na LAZIMA wafe kisiasaWanaotumiwa na mafisadi wamepambana sana kumshauri boss lady eti asimpe kijiti bwana mdogo na ambakishe palepale alipomteua siku chache zilizopita na huku wakimpigia debe kijana wao mwenye jina la mtoto wa Yoseph ili awe.
Hali kadhalika, wenye mlengo wa kulia wamemshauri boss lady amrejeshe mu-cubya ili kwalo aje awe boss wa Sekretalieti. Na kwa ushirikiano wa Yeye na Mwenezi, wanaamini Chama kitapaa juu mawinguni kwa kuaminiwa tena na Wananchi.
VC hamtaki yule mlima nyanya! Na akaenda mbali zaidi, eti, yupo tayari akalee wajukuu kuliko kufanya kazi na vijana wenye viburi. Mlengo wa kulia wakamuuliza, vijana ama kijana? Na kama ni vijana, je, na yupi mwingine!? Jibu lake akaishia kuguna pekee!
"....wazee wangu na wana MCC wenzangu nimewasikia. Na acheni nami na wenzangu wanaonishauri mambo ya siasa, tukalipitie." Jibu la boss lady.
Nb: Mradi wa mama bado chaji inasoma 90%.
Mimi sijasoma boss nisaidieWaliosoma huko Cuba, wameelewa.
PolepoleMu Cubya ni nani mkuu?
Hivyo ni kama chickens na chicks.Somaga kitu ndo u comment. Wapi nimeongelea siasa? Vyeo/ Madaraka na siasa vinafanana?
Hamna pointi hapa unataka warejeshe wasiojulikana?Wanaotumiwa na mafisadi wamepambana sana kumshauri boss lady eti asimpe kijiti bwana mdogo na ambakishe palepale alipomteua siku chache zilizopita na huku wakimpigia debe kijana wao mwenye jina la mtoto wa Yoseph ili awe.
Hali kadhalika, wenye mlengo wa kulia wamemshauri boss lady amrejeshe mu-cubya ili kwalo aje awe boss wa Sekretalieti. Na kwa ushirikiano wa Yeye na Mwenezi, wanaamini Chama kitapaa juu mawinguni kwa kuaminiwa tena na Wananchi.
VC hamtaki yule mlima nyanya! Na akaenda mbali zaidi, eti, yupo tayari akalee wajukuu kuliko kufanya kazi na vijana wenye viburi. Mlengo wa kulia wakamuuliza, vijana ama kijana? Na kama ni vijana, je, na yupi mwingine!? Jibu lake akaishia kuguna pekee!
"....wazee wangu na wana MCC wenzangu nimewasikia. Na acheni nami na wenzangu wanaonishauri mambo ya siasa, tukalipitie." Jibu la boss lady.
Nb: Mradi wa mama bado chaji inasoma 90%.
Kikao chema KIU wetu.Hahaha!
Polepole,hili ni kosa nimefanya kwenda kinyume na Mwenezi kwa kukufungulia code. Wakati mwingine uwe una connect dots.Mimi sijasoma boss nisaidie
Ahaaa sawa sawa 😀Polepole,hili ni kosa nimefanya kwenda kinyume na Mwenezi kwa kukufungulia code. Wakati mwingine uwe una connect dots.
Watumishi gani wanakuna vichwa?Safu ikiwa nzuri utaona maendeleo. Toka Makonda aingie baadhi ya watumishi wameanza kukuna vichwa. Mawaziri wameanza kuwawajibisha watendaji, watendaji nao wameamka usingizini.
Hii amsha ni kichocheo cha maendeleo.
Pia usisahau hili ni jukwaa la siasa.
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Afrika haiendelei kwa sababu viongozi wa Afrika wakati wote wanafikiria namna ya kubakia madarakani. Nchi zilizoendelra viongozi wakati wote wanafikiria namna ya kuziletea maendelea nchi zao - Rais mstaafu Obama.Badala ya kuwaza maendeleo ya nchi na kuumiza vichwa kutoa mawazo chanya na nini kifanyike ili nchi yetu ipate maendeleo y kweli mmekaa kuwaza vyeo na madaraka tu!
Nyuzi zote unazoanzisha ni vyeo na madaraka tu alafu ndo nchi ipate maendeleo ya kweli.
Nasikitika waliokuteua mwenezi hapo CCM.
Slowly“*
huku wakimpigia debe kijana wao mwenye jina la mtoto wa Yoseph ili awe.
Hali kadhalika, wenye mlengo wa kulia wamemshauri boss lady amrejeshe mu-cubya ili kwalo aje awe boss wa Sekretalieti. Na kwa ushirikiano wa Yeye na Mwenezi, wanaamini Chama kitapaa juu mawinguni kwa kuaminiwa tena na Wananchi.*
Mtoto wa Yoseph ni Emmanuel?
Mu-cubya ni nani?
Suzy Elias
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavuHasa kwenye "chama twawala".
Lord denning ni kama unapitia wakati mgumu sana. Kuna kipindi ulifurahi sana. Siasa zina disappointments nyingi.Kwa hiyo vyeo ndo siasa! Acha nchi yetu iwe na safari ndefu kupata maendeleo ya kweli kama ndo tuna watu wa namna yenu!
Hakuna nchi yenye maendeleo kama hakuna viongozi safi.Badala ya kuwaza maendeleo ya nchi na kuumiza vichwa kutoa mawazo chanya na nini kifanyike ili nchi yetu ipate maendeleo y kweli mmekaa kuwaza vyeo na madaraka tu!
Nyuzi zote unazoanzisha ni vyeo na madaraka tu alafu ndo nchi ipate maendeleo ya kweli.
Nasikitika waliokuteua mwenezi hapo CCM.
Mcubya ni pole pole,mtoto was yoseph ninmtoto wa "wazuri hawafi"uliza kingine!mlima nyanya ni Ally hapi!!“*
huku wakimpigia debe kijana wao mwenye jina la mtoto wa Yoseph ili awe.
Hali kadhalika, wenye mlengo wa kulia wamemshauri boss lady amrejeshe mu-cubya ili kwalo aje awe boss wa Sekretalieti. Na kwa ushirikiano wa Yeye na Mwenezi, wanaamini Chama kitapaa juu mawinguni kwa kuaminiwa tena na Wananchi.*
Mtoto wa Yoseph ni Emmanuel?
Mu-cubya ni nani?
Suzy Elias
Afrika haiendelei kwa sababu viongozi wa Afrika wakati wote wanafikiria namna ya kubakia madarakani.
Hamia huko kulipoendeleaNchi zilizoendelra viongozi wakati wote wanafikiria namna ya kuziletea maendelea nchi zao.
Hakuna mbadala, hakuna mwenye dhamira, unategemea nini?Kwa kuendelea kuwa na viongozi kama hawa wa CCM, Tanzania tusitegemee kupata maendeleo yoyote ya maana.
Kumbe unawajua CHADEMATuna viongozi ambao wana upeo na uelewa mdogo sana, halafu wanang'ang'ania madaraka
Wwe humwonagi Tundu Lissu akifoka? Au Mbowe? Mdude?. Sasa hawa vipofu watatupeleka wapi!!
Tunasubiria vipofu waongoze njia, halafu tunaamini kuwa tutafika tunakotaka kufika. Is impossible.
Uliona wapi kupiga kelele sana na kufanya vituko na uovu mwingi ikawa sifa ya uongozi?
Nenda mahakamani. Hamna ushahidi. Kupanda mikokoteni ni jinai? Mnaunga unga mpaka mnaboa. ati kuua kupanda mikokoteni na kupiga kelele ni kitu kimoja?Yaani kupanda mikokoteni, punda, kuteka, kuua, na kupiga kelele, wakati kichwani hamna kitu, tayari huyo ni kiongozi shupavu na mkakamavu.
Asante ila hatari sana hizi kodiMcubya ni pole pole,mtoto was yoseph ninmtoto wa "wazuri hawafi"uliza kingine!mlima nyanya ni Ally hapi!!
Decoded
CCM anguko lenu linakaribia. 2025 hata siyo mbali.