Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Ni hivi Rebecca,

Nadhani unaamini mwanaume ndiye kichwa cha familia.Sasa kuna nyakati ngumu ambapo labda hela hamna halafu linatokea jambo ambalo linahitaji hela nyingi halafu ukifika tuu nyumbani unaambiwa mtoto alirudishwa ada na mama anakukumbushia hitaji lake.Inabidi ubehave as if everything is under control hata kama hujui utafanyaje.Na sio kujifungia chumbani na kuanza kulia mbele ya mkeo eti hauna hela.

Mmepata shida kama familia, hata kama imekuumiza, inabidi wewe ndiwe uanze kuwatia wenzio moyo.

Bahati mbaya mtoto wenu wa pekee mliyekua mkimsubiria kwa hamu bahati mbaya mama akajifungua mtoto akiwa amefariki, hapa inabidi uwe mstari wa mbele kumtia moyo mkeo n.k

Sasa kwenye mazingira kama haya(na yanayofanania hayo) ukianza kulia huo ndio udhaifu tunaozungumzia hapa.Baba ukianza kulia, mkeo afanyeje sasa?

Unawatia moyo wanaokuzunguka halafu baadae unatafuta faragha ya kujituliza kwa kinywaji, marafiki n.k

Sent using Jamii Forums mobile app

Kulia hakukuzuii kufanya mambo mengine,Kama kwenye hio scenario hapo kwani MC Pili pili si eventually alimvisha hio pete??au alilia akarudi na Pete yake??kukosa Ada ya Mtoto kunaweza kumfanya mke au mume alie Ndio,lakini baada ya kulia si unatafuta Ada?? Kwanza kulia baada ya kukosa Ada kuna release tension mapema hivyo inakupa muda zaidi wa ku focus......,
 
Kulia hakukuzuii kufanya mambo mengine,Kama kwenye hio scenario hapo kwani MC Pili pili si eventually alimvisha hio pete??au alilia akarudi na Pete yake??kukosa Ada ya Mtoto kunaweza kumfanya mke au mume alie Ndio,lakini baada ya kulia si unatafuta Ada?? Kwanza kulia baada ya kukosa Ada kuna release tension mapema hivyo inakupa muda zaidi wa ku focus......,
Niliwahi ambiwa ukishindwa kumudu kitu kidogo huwezi mudu kikubwa abadani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kulia hakukuzuii kufanya mambo mengine,Kama kwenye hio scenario hapo kwani MC Pili pili si eventually alimvisha hio pete??au alilia akarudi na Pete yake??kukosa Ada ya Mtoto kunaweza kumfanya mke au mume alie Ndio,lakini baada ya kulia si unatafuta Ada?? Kwanza kulia baada ya kukosa Ada kuna release tension mapema hivyo inakupa muda zaidi wa ku focus......,
Ukishaonyesha kuwa wewe kama kiongozi una wasiwasi au huna control ya jambo linalowasibu, utawafanya wanaokutegemea wakate tamaa.Na likitokea jambo lingine kamwe hawatakuona kama mtu mwenye msaada kwao.
 
Ukishaonyesha kuwa wewe kama kiongozi una wasiwasi au huna control ya jambo linalowasibu, utawafanya wanaokutegemea wakate tamaa.Na likitokea jambo lingine kamwe hawatakuona kama mtu mwenye msaada kwao.

Mnhhhhh naona hatutaelewana kwa sababu umelelewa kuwa kulia ni udhaifu,Dalili ya wasiwasi,kuwa not in control,hivi vyote sio kweli ,kulia sometimes it means ume hold back stress,ama mawazo Fulani ambayo yanakusumbua kwa muda,kulia ni kama unafunga jalada na kuanza kurasa mpya,soo mbaba akilia Kwangu ni sign kuwa anapata nguvu/wazo/mbinu mpya ,utaona jinsi ilivyo beneficially to us men and women
 
Mnhhhhh naona hatutaelewana kwa sababu umelelewa kuwa kulia ni udhaifu,Dalili ya wasiwasi,kuwa not in control,hivi vyote sio kweli ,kulia sometimes it means ume hold back stress,ama mawazo Fulani ambayo yanakusumbua kwa muda,kulia ni kama unafunga jalada na kuanza kurasa mpya,soo mbaba akilia Kwangu ni sign kuwa anapata nguvu/wazo/mbinu mpya ,utaona jinsi ilivyo beneficially to us men and women
Kweli, let us agree disagreing.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini ile haikuwa kichekesho ni udhaifu kwa wanawake wa wanaume wa dar

Sent using Jamii Forums mobile app
sasa hivi wanaume wa Dar wanasema msigeneralize semeni wanaume wa "Sinza" mana mwanaume wa Dar kutoka Mbagala au Yombo dovya huwezi kukuta ana mambo ya kimama mama,halafu ujue pilipili sio wa Dar ni wa kwa Wakoma
 
Kulia hakukuzuii kufanya mambo mengine,Kama kwenye hio scenario hapo kwani MC Pili pili si eventually alimvisha hio pete??
Hapana... kama MC Pilipili alilia, basi yeye ndo alivalishwa pete, and I don't care nani alishika hiyo pete kuingiza kwenye kidole cha mwenzake!
 
sasa hivi wanaume wa Dar wanasema msigeneralize semeni wanaume wa "Sinza" mana mwanaume wa Dar kutoka Mbagala au Yombo dovya huwezi kukuta ana mambo ya kimama mama,halafu ujue pilipili sio wa Dar ni wa kwa Wakoma
Hata huku Tandika hatuna huo umama na ndio maana hata hao watoto wa Sinza wakija pande hizi lazima waje kwa makundi!
 
Mnhhhhh naona hatutaelewana kwa sababu umelelewa kuwa kulia ni udhaifu,Dalili ya wasiwasi,kuwa not in control,hivi vyote sio kweli ,kulia sometimes it means ume hold back stress,ama mawazo Fulani ambayo yanakusumbua kwa muda,kulia ni kama unafunga jalada na kuanza kurasa mpya,soo mbaba akilia Kwangu ni sign kuwa anapata nguvu/wazo/mbinu mpya ,utaona jinsi ilivyo beneficially to us men and women
Hamna bhana, MC Nyanya kazingua... hivi umeona ule uliaji wake, au? Huyu hapa...



Huo ni uliaji wa kuonesha he's not in control... halafu demu alivyo kauzu, anamtazama tu!! Matokeo yake sasa kila mwanaume anaanza kulia...
 
Amejidharirisha sana, kwa sasa anaweza ona upendo umemzidia lakin kwa baadaye atakuja kujuta huo ujinga wake
 
Don't be quick to judge. You never know.

Hizi nyoyo zetu tunazotembea nazo bwana, acha zijifiche tu zimebeba mengi.

Huwezi jua huyo mdada ana impact gani katika maisha yake. Maybe its a dream come true, maybe she saved his life.... maybe he never thought he would ever be loved again after previous breakup.

Let him cry his heart out. Whatever is in his heart, his Lord understands better.
Mwingine huyu hapa tena🤣🤣🤣.

Kilio cha machozi ya maji tiririka ni cha kina mama kuexpress hisia zao za mwisho, siyo kwa mwanaume bhana.

Mwanaume halii kike, analia kwa kuunguruma kama simba dume, tena kwa matukio machache ya kufikia climax ya kushiriki tendo na mwanamke aliyemtesa kihisia muda mrefu.

Jambo la furaha ya kupata haliwezi kumliza mwanaume hadharani hata siku1.
 
Hili jambo la mwanaume kupiga goti wakati wa kumvalisha pete mchumba naona linazidi kukomaa,si utamaduni wetu japo sio mbaya sana kwani ni effects za globalization kwenye muingiliano wa kiutamaduni na wazungu/waarabu/wachina na vile tunasema "strong culture absorbs weak culture" na hii inachangiwa sana na nguvu ya kiuchumi.

Tuyaache hayo,leo Mc wa taifa Pilipili kama anavyojiita mwenyewe kamvisha pete mdada mrembo sana huko Boko Dsm hongera kwake but concern yangu kubwa ni kitendo cha yeye Pilipili kama Mwanaume kulia sana wakati kapiga goti mbele ya binti halaf binti anaonekana hana hata chembe ya hofu na kuguswa na kilio cha pilipili,huu ni udhaifu ambao kama.

Mwanaume lijali hakika hupaswi kuuonyesha,that is a big point of weaknes,hata kama umewahi kuumizwa sana kwenye mapenzi jitahidi usitoe chozi mbele ya mwanamke ambaye si mama yako,hii itakusaidia sana hata ukiwa kwenye ndoa ukitoa maamuzi yanakua ya kiume kweli kweli but hii ya kulia lia si dalili njema sana,kwa anayewajua vizuri wanawake atakua amenielewa.

By the way hongera sana Pilipili kwa kupata mchumbaView attachment 987138View attachment 987135
Mchekeshaji maarufu Bongo, MC Pilipili jioni ya leo amemvalisha pete ya uchumba mpenzi wake (Mke mtarajiwa) Philomena Thadey, nyumbani kwa Wazazi wa mwanamke maeneo ya Boko (Tegeta) jijini DSM, sherehe hiyo imehudhuriwa na watu mbalimbali wa Serikali na taasisi zisizo za kiserikali.
He is stupid
 
Mwingine huyu hapa tena🤣🤣🤣.

Kilio cha machozi ya maji tiririka ni cha kina mama kuexpress hisia zao za mwisho, siyo kwa mwanaume bhana.

Mwanaume halii kike, analia kwa kuunguruma kama simba dume, tena kwa matukio machache ya kufikia climax ya kushiriki tendo na mwanamke aliyemtesa kihisia muda mrefu.

Jambo la furaha ya kupata haliwezi kumliza mwanaume hadharani hata siku1.
Ww mzee umechanganyikiwa
 
Kulia hakukuzuii kufanya mambo mengine,Kama kwenye hio scenario hapo kwani MC Pili pili si eventually alimvisha hio pete??au alilia akarudi na Pete yake??kukosa Ada ya Mtoto kunaweza kumfanya mke au mume alie Ndio,lakini baada ya kulia si unatafuta Ada?? Kwanza kulia baada ya kukosa Ada kuna release tension mapema hivyo inakupa muda zaidi wa ku focus......,
Tumia akili
 
Back
Top Bottom