Ongezea na mleta hiyo hoja naye ni mpumbavu.Hii ni ramli chonganishi, yaani ACT ndio ya kuiua cdm kisa Membe kaenda ACT? CDM kuweni makini na hadithi za hivi, lengo lake ni kuleta ugomvi baina ya cdm na ACT kwa faida ya ccm. Huu ni upumbavu kama. Upumbavu mwingine.