Ya Metacha na mke anaemfanyia jeuri mume wake wa ndoa

Ya Metacha na mke anaemfanyia jeuri mume wake wa ndoa

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Ukiona mke wako anakufanyia jeuri /kiburi Wala usifikiri anazuzuliwa na MTU maana... Kanakuwaga kajinga jinga Fulani hivi kasiko Na mbele Wala nyuma.

Ukitaka ku prove ninacho kwambia, wewe ukiona analeta jeuri muache aende zake tafuta mwanamke mwingine Kazi iendelee.


Metacha Kwa jeuri Na kibri alichokua akikionyesha Kwa Yanga Na wanayanga ungeweza kufikiri labda Sundwons walikuwa wanamtaka kumbe wapi?

Sasa hivi Dogo anachezea Polisi FC.

Yani Hawa Hawa Polisi FC ambao mchezaji wao alipata ajali wakashindwa Hela ya kumuhudumia?

Bila Shaka wewe bwana mdogo Metacha huko Polisi FC wewe ndo utakuwa kiongozi wa migomo kugomea kutolipwa mishahara Na posho Kwa wakati...

Tanzania Hakuna timu zinazo ongoza Kwa kuwalea Na kuwahudumia vizuri wachezaji kama Simba Na Yanga may be Na Azam.

# mke mzuri akiwa Kwa mume wake..

# nikupe darasa la jinsi ya kuuza mechi wewe Dogo Metacha? Uza mechi lakini Kwa akili. Makipa wote Afrika huwaga wanauza mechi lakini wanauza Kwa akili sio kiboya boya kama wewe.

" Pesa yenu nimechukua lakini tukubaliane ili niachie Goli Kwanza lazima mshambulie Na pili nitatoa nafasi tatu mkishindwa kuzitumia vizuri naanza kudaka kiukweli ukweli" alisikika kipa mmoja mwenye akili akisema kuwaambia watu walio Enda kumnunua.
 
Ukiona mke wako anakufanyia jeuri /kiburi Wala usifikiri anazuzuliwa na MTU maana... Kanakuwaga kajinga jinga Fulani hivi kasiko Na mbele Wala nyuma.

Ukitaka ku prove ninacho kwambia, wewe ukiona analeta jeuri muache aende zake tafuta mwanamke mwingine Kazi iendelee.


Metacha Kwa jeuri Na kibri alichokua akikionyesha Kwa Yanga Na wanayanga ungeweza kufikiri labda Sundwons walikuwa wanamtaka kumbe wapi?

Sasa hivi Dogo anachezea Polisi FC.

Yani Hawa Hawa Polisi FC ambao mchezaji wao alipata ajali wakashindwa Hela ya kumuhudumia?

Bila Shaka wewe bwana mdogo Metacha huko Polisi FC wewe ndo utakuwa kiongozi wa migomo kugomea kutolipwa mishahara Na posho Kwa wakati...

Tanzania Hakuna timu zinazo ongoza Kwa kuwalea Na kuwahudumia vizuri wachezaji kama Simba Na Yanga may be Na Azam.

# mke mzuri akiwa Kwa mume wake..

# nikupe darasa la jinsi ya kuuza mechi wewe Dogo Metacha? Uza mechi lakini Kwa akili. Makipa wote Afrika huwaga wanauza mechi lakini wanauza Kwa akili sio kiboya boya kama wewe.

" Pesa yenu nimechukua lakini tukubaliane ili niachie Goli Kwanza lazima mshambulie Na pili nitatoa nafasi tatu mkishindwa kuzitumia vizuri naanza kudaka kiukweli ukweli" alisikika kipa mmoja mwenye akili akisema kuwaambia watu walio Enda kumnunua.
Huyu dogo tangu afungwe Lile goli la kichwa la kusawazisha la onyango kwenye draw ya 1-1 nilimuona Hana maana kabisa....hata Yale magoli ya 4-1 kwenye FA Simba na Yanga Kuna magoli mawili au matatu Yana walakini...hovyo kabisa yule dogo
 
Mpira wa bongo waajabu sana so timu ni simba n Utopolo tu?
 
Meneja wake amesema atakuwa anamlipa Posho kw akipindi hiki kigumu kwake!
Na ndiyo huyu huyu aliyemjaza upepo, na mwisho wa siku dogo kuishia kwenye timu ambayo inatumia basi chakavu na hatari kwa usalama wa wachezaji.

Binafsi kama shabiki wa Yanga nimehuzunishwa sana kumkosa huyu dogolasi. Alikua tayari ameshaingia kwenye njia ya mafanikio. Sasa amerudi nyuma hatua 10!
 
Mpira wa bongo waajabu sana so timu ni simba n Utopolo tu?
Anzisha ya kwako ili kuzipindua hizo timu mbili. Kinyume na hapo, kuwa mpole! Kubali matokeo. Hata ukienda nchi za wenzetu, ni kawaida kukuta kuna timu ambazo ndiyo nembo ya Taifa.

Mfano Hispania kuna Real Madrid na Barcelona, Ujerumani kuna Bayern Munich na Borusia Dortimund, nk.
 
Ukiona mke wako anakufanyia jeuri /kiburi Wala usifikiri anazuzuliwa na MTU maana... Kanakuwaga kajinga jinga Fulani hivi kasiko Na mbele Wala nyuma.

Ukitaka ku prove ninacho kwambia, wewe ukiona analeta jeuri muache aende zake tafuta mwanamke mwingine Kazi iendelee.


Metacha Kwa jeuri Na kibri alichokua akikionyesha Kwa Yanga Na wanayanga ungeweza kufikiri labda Sundwons walikuwa wanamtaka kumbe wapi?

Sasa hivi Dogo anachezea Polisi FC.

Yani Hawa Hawa Polisi FC ambao mchezaji wao alipata ajali wakashindwa Hela ya kumuhudumia?

Bila Shaka wewe bwana mdogo Metacha huko Polisi FC wewe ndo utakuwa kiongozi wa migomo kugomea kutolipwa mishahara Na posho Kwa wakati...

Tanzania Hakuna timu zinazo ongoza Kwa kuwalea Na kuwahudumia vizuri wachezaji kama Simba Na Yanga may be Na Azam.

# mke mzuri akiwa Kwa mume wake..

# nikupe darasa la jinsi ya kuuza mechi wewe Dogo Metacha? Uza mechi lakini Kwa akili. Makipa wote Afrika huwaga wanauza mechi lakini wanauza Kwa akili sio kiboya boya kama wewe.

" Pesa yenu nimechukua lakini tukubaliane ili niachie Goli Kwanza lazima mshambulie Na pili nitatoa nafasi tatu mkishindwa kuzitumia vizuri naanza kudaka kiukweli ukweli" alisikika kipa mmoja mwenye akili akisema kuwaambia watu walio Enda kumnunua.
Kwani Shikalo yuko wapi
 
lakini mkuu mbna metacha kaisaidia sana yanga, aliwah yoa penat dakika za nwsho sana, kaisaidia mech nyng, kwann munseme jamaa alkua answauza au ndio hamkubal matokeo
Ukiona mke wako anakufanyia jeuri /kiburi Wala usifikiri anazuzuliwa na MTU maana... Kanakuwaga kajinga jinga Fulani hivi kasiko Na mbele Wala nyuma.

Ukitaka ku prove ninacho kwambia, wewe ukiona analeta jeuri muache aende zake tafuta mwanamke mwingine Kazi iendelee.


Metacha Kwa jeuri Na kibri alichokua akikionyesha Kwa Yanga Na wanayanga ungeweza kufikiri labda Sundwons walikuwa wanamtaka kumbe wapi?

Sasa hivi Dogo anachezea Polisi FC.

Yani Hawa Hawa Polisi FC ambao mchezaji wao alipata ajali wakashindwa Hela ya kumuhudumia?

Bila Shaka wewe bwana mdogo Metacha huko Polisi FC wewe ndo utakuwa kiongozi wa migomo kugomea kutolipwa mishahara Na posho Kwa wakati...

Tanzania Hakuna timu zinazo ongoza Kwa kuwalea Na kuwahudumia vizuri wachezaji kama Simba Na Yanga may be Na Azam.

# mke mzuri akiwa Kwa mume wake..

# nikupe darasa la jinsi ya kuuza mechi wewe Dogo Metacha? Uza mechi lakini Kwa akili. Makipa wote Afrika huwaga wanauza mechi lakini wanauza Kwa akili sio kiboya boya kama wewe.

" Pesa yenu nimechukua lakini tukubaliane ili niachie Goli Kwanza lazima mshambulie Na pili nitatoa nafasi tatu mkishindwa kuzitumia vizuri naanza kudaka kiukweli ukweli" alisikika kipa mmoja mwenye akili akisema kuwaambia watu walio Enda kumnunua.
mbna
 
Back
Top Bottom