Ya nini huyo Makamu wa Mwenyekiti abembelezwe? Kawa Nyerere?

Ya nini huyo Makamu wa Mwenyekiti abembelezwe? Kawa Nyerere?

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Ifahamike, huyo Makamu si Hayati baba wa Taifa kwamba eti aendelee kubembelezwa kama mtoto. Yeye si lolote kwamba Chama na Taifa ki/litapungukiwa na kitu pasipo yeye.

Nafuu na jambo jema ni kuwa hata boss wake ameamua kumfungia vioo na hataki tena kujishughulisha naye kwa namna yeyote ile. Uamuzi ni wake!

Nanyi ambao kutwa na kila uchwao mnamshauri Sponsor eti aone namna bora ya kuzungumza na huyo zilipendwa wenu, komeni! Hivi, hamjiulizi kwa nini boss lady anawapiga dana dana kwalo?! Jibu ni moja, ameshaamua kama mbwai na iwe.

Ya safari hii, dogo kawaweza kweli kweli na mbaya zaidi hamkutarajia hata chaguo lake!

Habembelezwi mtu! Na chaguo la boss lady ndilo hilo. Sasa mpende, ama, lau msipende, uamuzi wenu wa ima mu resign ama muendelee kuwamo kundini huku mkiugulia kwa uchungu maamuzi ya Sponsor.
 
JamiiForums-787880945.jpeg
 
Niliandika humu hata chekacheka FC hakuamini macho yake!

Sasa Mzee wa beautiful never dai hajui kinachoendelea wakati wowote tunapata.

Huyu eti amepanic hataki kujihusisha na CHAMA tena, Sasa athubutu hiyo mipango yake ya kijinga aone kitakachomkuta...

Boss lady ashawachoka na uzandiki wenu na tutamlinda Kwa Kila mbinu...

Ally Happi jiandae mdogo wangu!

Makonda chapakazi kijana wetu una baraka zetu... r.i.p Membe hukutambua wakati uliofaa!

Chalamila uliongea pale Bukoba Kuwa waziri fulani anatafta mkwanja Ili arithi mikoba, tunammomitor vizuri usiwe na tabu!
 
Back
Top Bottom