Ya nini huyo Makamu wa Mwenyekiti abembelezwe? Kawa Nyerere?

Ya nini huyo Makamu wa Mwenyekiti abembelezwe? Kawa Nyerere?

Na kweli huyu bwana ni mhuni. Historia yake inaonesha hivyo tangu utoto wake. Akiwa konda, alimbaka binamu yake, yaani binti ya mjomba wake kabisa, tena kwa mjomba wake alikokuwa akiishi. Kwa sababu ilikuwa ni ndugu kwa ndugu, waliamua kuyamaliza ndani ya ukoo.

Na juzi juzi alivyoteuliwa, yeye mwenyewe alisema kuwa ataenda Dodoma kuuliza kama aendeshe kazi zake kwa namna gani, kihuni ama kawaida, eti kwa sababu yeye anaweza njia zote mbili. Na hasa alimaanisha, aendeshe shughuli zake kijambazi, kwa namna ike ya kuteka na kuua watu au kibinadamu.

Shetani huyu siku zake zinahesabika. Siku za mwovu na uovu wake huhesabika, naye amtegemeaye mwovu, hula mazao ya uovu.
Kwa makasiriko haya unaweza ukaishia kuugua. Inaonekana bado hujakomaa kisiasa.
 
Kwa hiyo kumbe wewe Suzy Elias uliyekuwa kinara wa kumsema Samia na Serikali yake ni mtu wa kundi la Makonda?
Mnazidi kujionesha ni kwa namna gani kelele zenu zilikuwa kwa maslahi binafsi na vyeo tu ila sio kwa maslahi ya Taifa.

Uzi wako unadhihirisha kuwa nyie watu ni watu wa siasa za chuki, visasi na roho mbaya na hamna lolote la maana.
 
Na kweli huyu bwana ni mhuni. Historia yake inaonesha hivyo tangu utoto wake. Akiwa konda, alimbaka binamu yake, yaani binti ya mjomba wake kabisa, tena kwa mjomba wake alikokuwa akiishi. Kwa sababu ilikuwa ni ndugu kwa ndugu, waliamua kuyamaliza ndani ya ukoo.

Na juzi juzi alivyoteuliwa, yeye mwenyewe alisema kuwa ataenda Dodoma kuuliza kama aendeshe kazi zake kwa namna gani, kihuni ama kawaida, eti kwa sababu yeye anaweza njia zote mbili. Na hasa alimaanisha, aendeshe shughuli zake kijambazi, kwa namna ike ya kuteka na kuua watu au kibinadamu.

Shetani huyu siku zake zinahesabika. Siku za mwovu na uovu wake huhesabika, naye amtegemeaye mwovu, hula mazao ya uovu.
Kinachonivuta akili ni maana ya teuzi hizi zinazofanywa wakati huu, tena kwa watu wa ajabu ajabu kabisa. Hizi ni alama zinazoonyesha hali ilivyo huko zinakotoka teuzi za namna hii. Inaonyesha kuwa hali ya kutapatapa.
 
Ifahamike, huyo Makamu si Hayati baba wa Taifa kwamba eti aendelee kubembelezwa kama mtoto. Yeye si lolote kwamba Chama na Taifa ki/litapungukiwa na kitu pasipo yeye.

Nafuu na jambo jema ni kuwa hata boss wake ameamua kumfungia vioo na hataki tena kujishughulisha naye kwa namna yeyote ile. Uamuzi ni wake!

Nanyi ambao kutwa na kila uchwao mnamshauri Sponsor eti aone namna bora ya kuzungumza na huyo zilipendwa wenu, komeni! Hivi, hamjiulizi kwa nini boss lady anawapiga dana dana kwalo?! Jibu ni moja, ameshaamua kama mbwai na iwe.

Ya safari hii, dogo kawaweza kweli kweli na mbaya zaidi hamkutarajia hata chaguo lake!

Habembelezwi mtu! Na chaguo la boss lady ndilo hilo. Sasa mpende, ama, lau msipende, uamuzi wenu wa ima mu resign ama muendelee kuwamo kundini huku mkiugulia kwa uchungu maamuzi ya Sponsor.
Yajayo yanafurahisha!!!
 
Kinachonivuta akili ni maana ya teuzi hizi zinazofanywa wakati huu, tena kwa watu wa ajabu ajabu kabisa. Hizi ni alama zinazoonyesha hali ilivyo huko zinakotoka teuzi za namna hii. Inaonyesha kuwa hali ya kutapatapa.
Pole pole aliwaita "WAHUNI" sasa tumewajua na bado yajayo yanafurahisha mwenda zake aliamza hivi hivi... Tehe tehe tehe....
 
Ifahamike, huyo Makamu si Hayati baba wa Taifa kwamba eti aendelee kubembelezwa kama mtoto. Yeye si lolote kwamba Chama na Taifa ki/litapungukiwa na kitu pasipo yeye.

Nafuu na jambo jema ni kuwa hata boss wake ameamua kumfungia vioo na hataki tena kujishughulisha naye kwa namna yeyote ile. Uamuzi ni wake!

Nanyi ambao kutwa na kila uchwao mnamshauri Sponsor eti aone namna bora ya kuzungumza na huyo zilipendwa wenu, komeni! Hivi, hamjiulizi kwa nini boss lady anawapiga dana dana kwalo?! Jibu ni moja, ameshaamua kama mbwai na iwe.

Ya safari hii, dogo kawaweza kweli kweli na mbaya zaidi hamkutarajia hata chaguo lake!

Habembelezwi mtu! Na chaguo la boss lady ndilo hilo. Sasa mpende, ama, lau msipende, uamuzi wenu wa ima mu resign ama muendelee kuwamo kundini huku mkiugulia kwa uchungu maamuzi ya Sponsor.
Aisee!
 
Lile Jizi lenu linalolilia Ikulu toka enzi za 92 mpaka leo limewaweka mfukoni limekula hela za ruzuku likajengea watoto wake apartments Dubai hela za nyumbu wajinga limeiba hela za wanachama kwa mgongo wa operations na kuwachangisha nyumbu na pia haitoshi limedhulumu hela za mirathi za marehemu baba yake limeua na kutesa watu wengi libakie kwenye uenyekiti na limeteka Ben saanane na kumuua Wangwe acheni ushenzi nyie misukule wa makengeze madalali
Mgonjwa wewe, huna ndugu wa kukusaidia?

You, mind crippled, unfortunately you have no chance to reverse the poor functioning of your brain. Accept your poor state and never compare yourself to those with sound mind.
 
Ifahamike, huyo Makamu si Hayati baba wa Taifa kwamba eti aendelee kubembelezwa kama mtoto. Yeye si lolote kwamba Chama na Taifa ki/litapungukiwa na kitu pasipo yeye.

Nafuu na jambo jema ni kuwa hata boss wake ameamua kumfungia vioo na hataki tena kujishughulisha naye kwa namna yeyote ile. Uamuzi ni wake!

Nanyi ambao kutwa na kila uchwao mnamshauri Sponsor eti aone namna bora ya kuzungumza na huyo zilipendwa wenu, komeni! Hivi, hamjiulizi kwa nini boss lady anawapiga dana dana kwalo?! Jibu ni moja, ameshaamua kama mbwai na iwe.

Ya safari hii, dogo kawaweza kweli kweli na mbaya zaidi hamkutarajia hata chaguo lake!

Habembelezwi mtu! Na chaguo la boss lady ndilo hilo. Sasa mpende, ama, lau msipende, uamuzi wenu wa ima mu resign ama muendelee kuwamo kundini huku mkiugulia kwa uchungu maamuzi ya Sponsor.
Bosslady kichwani mtupu elimu yake hata kuongoza familia haiwezi
 
Vyeti feki si mlisha rudishwa kazini?
Wenye vyeti fake, mbona mnafahamika kwa reasoning yenu? Ina maana huwajui wenzako mpaka uparamie usiowajua? Mmojawapo anayefahamika wazi ni Daud Bashite ambaye kwa kutumia cheti fake alilazimika kutumia jina la mtu mwingine. Ninyi wenye vyeti fake bila shaka mpo wengi, mngeweza hata kuunda jumuia yenu, na ikawa na nguvu kwa sababu ya idadi yenu kubwa.
 
Kwa makasiriko haya unaweza ukaishia kuugua. Inaonekana bado hujakomaa kisiasa.
Kukomaa kisiasa ni kukubali wabakaji ni watu wema? Au ubakaji nao ni sehemu ya siasa? Kama ubakaji ni sehemu ya siasa, sitaki kabisa kuwa mwanasiasa wala kuwa karibu na mwanasiasa.

Sina haja ya kuupokea au kuukubali uovu wa aina yoyote kwa malipo ya kitu chochote, iwe cheo, uanasiasa, utajiri au kingine chochote.
 
Kinachonivuta akili ni maana ya teuzi hizi zinazofanywa wakati huu, tena kwa watu wa ajabu ajabu kabisa. Hizi ni alama zinazoonyesha hali ilivyo huko zinakotoka teuzi za namna hii. Inaonyesha kuwa hali ya kutapatapa.
Hakika. Mtu unapoamua kushikamana na jambazi, hata kama hukuwa jambazi, ni dhihirisho kuwa ama huwezi kupambana na majambazi au wewe mwenyewe kiasili ni jambazi.
 
Na kweli huyu bwana ni mhuni. Historia yake inaonesha hivyo tangu utoto wake. Akiwa konda, alimbaka binamu yake, yaani binti ya mjomba wake kabisa, tena kwa mjomba wake alikokuwa akiishi. Kwa sababu ilikuwa ni ndugu kwa ndugu, waliamua kuyamaliza ndani ya ukoo.

Na juzi juzi alivyoteuliwa, yeye mwenyewe alisema kuwa ataenda Dodoma kuuliza kama aendeshe kazi zake kwa namna gani, kihuni ama kawaida, eti kwa sababu yeye anaweza njia zote mbili. Na hasa alimaanisha, aendeshe shughuli zake kijambazi, kwa namna ike ya kuteka na kuua watu au kibinadamu.

Shetani huyu siku zake zinahesabika. Siku za mwovu na uovu wake huhesabika, naye amtegemeaye mwovu, hula mazao ya uovu.
Endelea kuumia ilihali makonda anachapa kazi,kama huwezi shindana nao ,ungana nao
 
Ifahamike, huyo Makamu si Hayati baba wa Taifa kwamba eti aendelee kubembelezwa kama mtoto. Yeye si lolote kwamba Chama na Taifa ki/litapungukiwa na kitu pasipo yeye.

Nafuu na jambo jema ni kuwa hata boss wake ameamua kumfungia vioo na hataki tena kujishughulisha naye kwa namna yeyote ile. Uamuzi ni wake!

Nanyi ambao kutwa na kila uchwao mnamshauri Sponsor eti aone namna bora ya kuzungumza na huyo zilipendwa wenu, komeni! Hivi, hamjiulizi kwa nini boss lady anawapiga dana dana kwalo?! Jibu ni moja, ameshaamua kama mbwai na iwe.

Ya safari hii, dogo kawaweza kweli kweli na mbaya zaidi hamkutarajia hata chaguo lake!

Habembelezwi mtu! Na chaguo la boss lady ndilo hilo. Sasa mpende, ama, lau msipende, uamuzi wenu wa ima mu resign ama muendelee kuwamo kundini huku mkiugulia kwa uchungu maamuzi ya Sponsor.
Kwa minajili yaanguko lazima theory (dhana) ya sikio la kufa iwe dhahiri.

Waliompiga gubu kenge kuhusu masikio yake walikuwa na IQ kubwa sana
 
Back
Top Bottom