Ya nini huyo Makamu wa Mwenyekiti abembelezwe? Kawa Nyerere?

Huwa sipotezi muda na ngonjera hizi, lakini hata sijui nimefungua vipi hii sanaa leo.
Huyo unayemlilia kichizi ndiye 'master mind' wa chama hicho kilichooza; pasipo yeye mnayo hali ngumu sana.

Kwetu sisi wengine wote tunao tizama ukombozi wa taifa letu, hali haijawahi kuwa ya matumaini makubwa wakati mwingine wowote kuliko ilivyo sasa.

Kwa hiyo ni furaha kwetu mkisambaratishana wenyewe kwa wenyewe.
 
KiNANA hana mvuto tena,aende zake Canada akapumzike,wajukuu hawana babu huko
 
Mugambe mmevurugana......mtajijua bwana
 
Yote haya hayana yanachomsaidia mtanzania wa kawaida so hizo furaha na mtifuani ni vigogo kugombea cake ya taifa hakuna lingine wala hakuna kitachompa ahueni mwananchi wa kawaida
 
Na kweli huyu bwana ni mhuni. Historia yake inaonesha hivyo tangu utoto wake. Akiwa konda, alimbaka binamu yake, yaani binti ya mjomba wake kabisa, tena kwa mjomba wake alikokuwa akiishi. Kwa sababu ilikuwa ni ndugu kwa ndugu, waliamua kuyamaliza ndani ya ukoo.

Na juzi juzi alivyoteuliwa, yeye mwenyewe alisema kuwa ataenda Dodoma kuuliza kama aendeshe kazi zake kwa namna gani, kihuni ama kawaida, eti kwa sababu yeye anaweza njia zote mbili. Na hasa alimaanisha, aendeshe shughuli zake kijambazi, kwa namna ike ya kuteka na kuua watu au kibinadamu.

Shetani huyu siku zake zinahesabika. Siku za mwovu na uovu wake huhesabika, naye amtegemeaye mwovu, hula mazao ya uovu.
 
Lile Jizi lenu linalolilia Ikulu toka enzi za 92 mpaka leo limewaweka mfukoni limekula hela za ruzuku likajengea watoto wake apartments Dubai hela za nyumbu wajinga limeiba hela za wanachama kwa mgongo wa operations na kuwachangisha nyumbu na pia haitoshi limedhulumu hela za mirathi za marehemu baba yake limeua na kutesa watu wengi libakie kwenye uenyekiti na limeteka Ben saanane na kumuua Wangwe acheni ushenzi nyie misukule wa makengeze madalali
 
Sina uhakika kama Makamba Senior yuko na hali gani saa hii!
Malipo ni hapa hapa Duniani.
Kwa ajili ya nini hadi awe na hali gani? Kwani CCM ni mama na baba yao? Jamaa zinajipa umuhimu wasio nao ndani ya chama.na nchi kwa ujumla.
 
Mwongo weye
 
Siku dogo akimpigia nape sim siju itskuwaje nasubiri tu
 
Well come Bashite !Teka,tesa na uwa kabsa WATANZANIA wote mbaki wewe na Samia na Sabaya.
 
Vyeti feki si mlisha rudishwa kazini?
 
A stunning u-turn. Kumbe tatizo lilikuwa hisia za wasukuma kuwekwa pembeni.
 
Wanasiasa wa Kenya wanajua sana mchezo wa usaliti na kusameheana katika siasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…