Ya nini huyo Makamu wa Mwenyekiti abembelezwe? Kawa Nyerere?

Wito : JF isiruhusu Vichaa
 
Ninyi uvccm weupe sana vichwani mnachokiweza ni mausi tu. Kwahiyo mkimpuuza Kinana kwasab ya huyu makalio makubwa mtakiua chama chenu.
 
Naona shughuli pevu niliyokuwa nikiiombea na kuisubiri imeshaanza rasmi !!
Mungu ni mwema πŸ˜…πŸ˜…πŸ™πŸ™
Ngoja Tusubiri tuone πŸ™πŸ™πŸ™
Mama piga kazi twende !
Locuta causa finita !
 
Naona shughuli pevu niliyokuwa nikiiombea na kuisubiri imeshaanza rasmi !!
Mungu ni mwema πŸ˜…πŸ˜…πŸ™πŸ™
Ngoja Tusubiri tuone πŸ™πŸ™πŸ™
Mama piga kazi twende !
Locuta causa finita !
πŸ˜‚πŸ˜‚Hebu tafsiri hiyo locuta causa fitina ili mama naye akuelewe umesema nn?lugha za watu hizo,wanazielewa wasomi tu🀣🀣
 
Kwani na huyo nyerere ni nani hasa kwenye hii nchi wapo watu wa maana sio huyo uliemtaja mzee wa kuchukua sifa kwa mambo waliofanya wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…