YAAN KILA MTU FB ANAUZA DAWA ZA KUTIBU SUKARI KHA MBONA HIV HAMLETI

YAAN KILA MTU FB ANAUZA DAWA ZA KUTIBU SUKARI KHA MBONA HIV HAMLETI

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Natokakufungua ffb acc leo yaan kila mtu anauza dawa za kisukari
Funguaa acc nyingine hukoo ndio balaaa kaweka tangazo la kutibu bure bonyrxaa link

Manenoooo mengi mwishoo anakwambia tuma 170000 atii punguzo hili n kwa siku 7 tu

Nyooooo hivi mnatuonaje nyie kengee mshaona watanzania wajinga hivi

Mbona huko nyuma amkutuletea dawa za hiv mpaka kinondon yetu ikajaaaaa....

Mbaya soma comments jaman msinunue jaman wezi hao hizo dawa n majani hayana msaada wowote kha

...anawaonaaa lakin
 
Dawa pekee yakutibu magonjwa yote mwilini kila siku asubuhi piga jogging tu hutak huumwe hata na mafua
 
Back
Top Bottom