Kama Akili yako ni nzuri Huwezi kubeza Mafanikio hayo. Jiulize kwa nini Huko nyuma haikuwezekana? Mpaka Awamu ya Magufuli?
Tafuteni Kazi za kufanya. Hadithi za Halimbaya ya maisha ya watanzania zipotu kwa wale wavivu wa kufikiri na waliokua wanategemea ujanja ujanja uliokuwepo.
Kila Mbuzi Atakula kwa Urefu wa Kamba YAKE. [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Kwani huko nyuma ilitawala ANC?Kama Akili yako ni nzuri Huwezi kubeza Mafanikio hayo. Jiulize kwa nini Huko nyuma haikuwezekana? Mpaka Awamu ya Magufuli?
Tafuteni Kazi za kufanya. Hadithi za Halimbaya ya maisha ya watanzania zipotu kwa wale wavivu wa kufikiri na waliokua wanategemea ujanja ujanja uliokuwepo.
Kila Mbuzi Atakula kwa Urefu wa Kamba YAKE. [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Hiyo hiyo inatutoshaHivi hamna watu wabunifu CCM?
Fatilia taratibu faida za nchi kuwa na umeme wa gharama nafuu na wa uhakika.Halafu sijui hizo Ndege, SGR na STIGLER sisi tulioko huku Mtanana zinatusaidia nini!
Hapana Ilitawala ZANUPEFKwani huko nyuma ilitawala ANC?
ati nn?Wajinga hawataona Impact ya hii miradi inayowekezwa na Serikali ya Chama cha Mapinduzi.
Ila nikwambie. Miradi hii PESA zitakazopatikana zitakwenda moja kwa moja kuhudumia wananchi.
Huwezi kusema ndege hainisaidii wakati kuna Utalii unaotegemea Usafiri wa Anga. Hao wageni watakuja na Bodaboda? Utapataje PESA za kigeni kama huwekezi?
Huwezi kubeza SGR kwamba huta panda Tren hivyo haina Msaada kwako una sahau kwamba Kuna wakulima wanategema usafirishaji wa mazao na mizigo wakipata usafiri wa uhakika na nafuu utapunguza Mfumuko wa bei na kusaidia kupunguza Gharama za maisha.
Huwezi kubeza Mradi wa Bwawa la Nyerere kwamba Hauna tija wakati Viwanda vina hitaji Umeme wa uhakika na wagharama nafuu ili kuongeza uzalishaji na Ajira.
Ndio maana nasema wafuasi wengi wa upinzani Akili zenu ni ndogo sana. Mnawaza kuwa na PESA Mfukoni kuliko kuangalia Vitu vya msingi ambavyo ndio vitakua mkombozi wa watu wengi wa taifa hili.
Hivi umeshajiuliza ukawa na fedha mfukoni Alafu hakuna Miundo mbinu mizuri ikapelekea Mfumuko mkubwa wa bei hivi hiyo hela itakusaidia nini?
Umeshajiuliza Congo ya Mobutu ilikua unaenda kununua mkate na sanduku la Pesa Kutokana na serikali kutokuwekeza kwenye Miundombinu ila iliruhusu watu wawe na PESA Ambazo mwisho wa siku hazikuwasaidia wakamtoa madarakani.
Hivyo wanadamu hawana jema. Hiyo Ndio nature yao. Mimi naipongeza CCM kwa misimamo YAKE chini ya Rais Magufuli. Nchi haiendeshwi kwa kusikiliza watu nchi inaendeshwa kwa kufuata vipaumbele vya msingi na sio kuwanufaisha wachache Bali kwa manufaa ya wengi.
Wao ni kilalamikatu na kutukana Serikali. Ukiwauliza kwenye Almashauri za miji na majiji walizopata kuziongoza wamefanya nini cha kuonyesha mfano hakuna kazi kugombana na wakurugenzi.Kwani wanaongea uongo?
Nyie mmelifanyia nini Taifa ili tuwaamini?
Cjawah on jitu jinga kama hili kwan mv liemba inakusaidia nn mlima Kilimanjaro unakusaidia nn sio kila kitu kilichopo Tanzania lazima kikusaidie directly vingne acha vikupite acha kupanua vidole panua akili.Halafu sijui hizo Ndege, SGR na STIGLER sisi tulioko huku Mtanana zinatusaidia nini!
Hujielewi na ni wazi yanakukera sana haya mafanikio. Akili zenu zimejaa uwongo na unafiki tu.Kila mkoa hana kwenda mada ya kwanzani ndege tu.
Nchi ya viwanda imefunikwa na ndege.tutakuwa nchi ya ndege
Mbona enzi za Mwalimu ndege zilikuwepo ila zikafilisiwa na Serikali ya CCM yenyewe?Kama Akili yako ni nzuri Huwezi kubeza Mafanikio hayo. Jiulize kwa nini Huko nyuma haikuwezekana? Mpaka Awamu ya Magufuli?
Tafuteni Kazi za kufanya. Hadithi za Halimbaya ya maisha ya watanzania zipotu kwa wale wavivu wa kufikiri na waliokua wanategemea ujanja ujanja uliokuwepo.
Kila Mbuzi Atakula kwa Urefu wa Kamba YAKE. [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Corona ni tatizo la dunia nzima mzee, siyo la Tanzania tu; usitafute visababu vidogo vidogo vya kutohalalisha nchi kuwa na ndege. Watu wa aina yako ndio wakipata mwanya watahujumu ndege hizo kwa vile wanazichukia sana, lakini zile ni za nchi siyo za Magufuli wala za CCM. hel za kuzinunulia zilitokana na kodi zetu, na ziliidhinishwa na Bunge.Aliyekudanganya kununua ndege kwa trillions 2 zikaishia kupigwa vumbi na jua huku zikiingiza hasara ya trillions kwa Taifa ni nani? π³π³π³
IRANI = ilaniHata Mimi nawashangaa hawa CCM.
BORA KULE KWA JAMAA WA KIKI ZA MIUJIZA HUKU IRANI YAKE IKIWA ENDAPO AKISHINDA ATANZISHA KIWANDA CHA MATUSI NA KUPAYUKA PAYUKA HOVYO NA KUWA ITA WATUMISHI WA UMA NI TAKATAKA.
Corona ni tatizo la dunia nzima mzee, siyo la Tanzania tu; usitafute visababu vidogo vidogo vya kutohalalisha nchi kuwa na ndege. Watu wa aina yako ndio wakipata mwanya watahujumu ndege hizo kwa vile wanazichukia sana, lakini zile ni za nchi siyo za Magufuli wala za CCM. hel za kuzinunulia zilitokana na kodi zetu, na ziliidhinishwa na Bunge. Mwaka 2015 CHADEMA ilikuwa inalalamikia kutokuwa na ndege na reli za kisasa, leo hii ndege zipo CHADEMA imekuwa ya kulalamika kuwa ndege siyo za muhimu tena. Huo Ukigeugeu ndio unaoindolea CHADEMA credibility
View attachment 1562192
Kama ndege siyo za muhimu basi Lissu angekuwa anatumia punda kwenye safari zake za kampeini. Zitto anapokwenda Kigoma huwa hatumii punda, bali hutumi ndege hizo hizo. Wewe kama huoni umuhimu wa ndege kwenye uchumi wa nchi basi ni chaguo lako; lakini usilifanye liwe universal. Zamani mtu kwenda Mwanza au Bukoba ilikuwa unalazimika kupitia Kenya na Uganda tena kwa siku kadhaa lakini leo hii watu tunadunda Dar kwenda Tabora au Mwanza au Bukoba na kurudi siku hiyo hiyo, na tunafurahia kuwapo na ndege hizo hizo pamoja na barabara na madaraja. Kama una muda mwingi sana wa kutumia hovyo kiasi kuwa uko tayarai kusafiri kwa siku tano kutoka sehemu moja hadi nyingine ya nchi basi isuwasemee watu wote; wengi hawana muda huo.