Uchaguzi 2020 Yaani CCM ni SGR, Ndege na Stieglers. Ndiyo sera yao kila mahali

Uchaguzi 2020 Yaani CCM ni SGR, Ndege na Stieglers. Ndiyo sera yao kila mahali

28 October 2020 nikishapiga kura yangu Kwa Mh Tundu Antpass Lisu na akiapishwa tu nitajiunga na CCM Kwa Mara ya kwanza tangu Yesu Kristyu azaliwe nitaanzia LB7 halafu nahamasisha CCM kama chama mfu tumfungulie mashtaka ya KUTAKATISHA ILANI YA UCHAGUZI MKUU wa mwaka 2015 Ndugu Mheshimiwa Mshindwa kupeperusha Bendera ya chama kwa kutotumia ilani mpya ya 2020 katika uchaguzi.

Hii tutafanya reference ya kesi lukuki alizowafungulia watu anaowachukia yeye za utakitishaji Fedha aliouanzia oktoba 2015-28 oktoba 2020.

Ndipo atajua chuki ni uchawi tu nao.
 
Wajinga hawataona Impact ya hii miradi inayowekezwa na Serikali ya Chama cha Mapinduzi.

Ila nikwambie. Miradi hii PESA zitakazopatikana zitakwenda moja kwa moja kuhudumia wananchi.

Huwezi kusema ndege hainisaidii wakati kuna Utalii unaotegemea Usafiri wa Anga. Hao wageni watakuja na Bodaboda? Utapataje PESA za kigeni kama huwekezi?

Huwezi kubeza SGR kwamba huta panda Tren hivyo haina Msaada kwako una sahau kwamba Kuna wakulima wanategema usafirishaji wa mazao na mizigo wakipata usafiri wa uhakika na nafuu utapunguza Mfumuko wa bei na kusaidia kupunguza Gharama za maisha.

Huwezi kubeza Mradi wa Bwawa la Nyerere kwamba Hauna tija wakati Viwanda vina hitaji Umeme wa uhakika na wagharama nafuu ili kuongeza uzalishaji na Ajira.

Ndio maana nasema wafuasi wengi wa upinzani Akili zenu ni ndogo sana. Mnawaza kuwa na PESA Mfukoni kuliko kuangalia Vitu vya msingi ambavyo ndio vitakua mkombozi wa watu wengi wa taifa hili.

Hivi umeshajiuliza ukawa na fedha mfukoni Alafu hakuna Miundo mbinu mizuri ikapelekea Mfumuko mkubwa wa bei hivi hiyo hela itakusaidia nini?

Umeshajiuliza Congo ya Mobutu ilikua unaenda kununua mkate na sanduku la Pesa Kutokana na serikali kutokuwekeza kwenye Miundombinu ila iliruhusu watu wawe na PESA Ambazo mwisho wa siku hazikuwasaidia wakamtoa madarakani.

Hivyo wanadamu hawana jema. Hiyo Ndio nature yao. Mimi naipongeza CCM kwa misimamo YAKE chini ya Rais Magufuli. Nchi haiendeshwi kwa kusikiliza watu nchi inaendeshwa kwa kufuata vipaumbele vya msingi na sio kuwanufaisha wachache Bali kwa manufaa ya wengi.
Vina nisaidia nini Mimi angenipa ajira tokea 2015 angalau kavukavu hivi hivi miaka 5 nasota mta kichinjio kina muhusu na mpa kura TLisu ni yeye 2020
 
Prof Koboko,

Kwa CCM huo ndo wimbo pekee mtamu unaimbwa kila mahali kila wakati mpaka wanashindwa kutambua wimbo wataifa hadi wanawashutumu wapinzani kuwa wanapotosha Wimbo wa Taifa wanapoimba nyimbo zao za kisiasa. Wanaimba hiyo miradi mitatu kuwa ndo mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Tano ndani miaka 5 huku madege yamepark tu uwanjani, SGR imefika Kibaha na Stiegler's Gorge bado wanasafisha tu eneo.

Hawasemi watafanya nini wakipewa nafasi ya kuongoza nchi miaka 5 mingine kwa sababu hawajui ila wanaomba muda wa kukamilisha hiyo miradi mitatu. Wana mbunifu mmoja tu na ndo aliyebuni hiyo miradi 3 sasa ameishiwa pumzi anazungumza kwa lughà kama Babeli. Tulifanya kosa tusirudie kosa, hawana jipya.
 
Wajinga hawataona Impact ya hii miradi inayowekezwa na Serikali ya Chama cha Mapinduzi.

Ila nikwambie. Miradi hii PESA zitakazopatikana zitakwenda moja kwa moja kuhudumia wananchi.

Huwezi kusema ndege hainisaidii wakati kuna Utalii unaotegemea Usafiri wa Anga. Hao wageni watakuja na Bodaboda? Utapataje PESA za kigeni kama huwekezi?

Huwezi kubeza SGR kwamba huta panda Tren hivyo haina Msaada kwako una sahau kwamba Kuna wakulima wanategema usafirishaji wa mazao na mizigo wakipata usafiri wa uhakika na nafuu utapunguza Mfumuko wa bei na kusaidia kupunguza Gharama za maisha.

Huwezi kubeza Mradi wa Bwawa la Nyerere kwamba Hauna tija wakati Viwanda vina hitaji Umeme wa uhakika na wagharama nafuu ili kuongeza uzalishaji na Ajira.

Ndio maana nasema wafuasi wengi wa upinzani Akili zenu ni ndogo sana. Mnawaza kuwa na PESA Mfukoni kuliko kuangalia Vitu vya msingi ambavyo ndio vitakua mkombozi wa watu wengi wa taifa hili.

Hivi umeshajiuliza ukawa na fedha mfukoni Alafu hakuna Miundo mbinu mizuri ikapelekea Mfumuko mkubwa wa bei hivi hiyo hela itakusaidia nini?

Umeshajiuliza Congo ya Mobutu ilikua unaenda kununua mkate na sanduku la Pesa Kutokana na serikali kutokuwekeza kwenye Miundombinu ila iliruhusu watu wawe na PESA Ambazo mwisho wa siku hazikuwasaidia wakamtoa madarakani.

Hivyo wanadamu hawana jema. Hiyo Ndio nature yao. Mimi naipongeza CCM kwa misimamo YAKE chini ya Rais Magufuli. Nchi haiendeshwi kwa kusikiliza watu nchi inaendeshwa kwa kufuata vipaumbele vya msingi na sio kuwanufaisha wachache Bali kwa manufaa ya wengi.
huna kazi za kufanya ndo maana unaandika pumba nyingi hivi
 
Bora hata SGR, huko kwingine sera zao ni: -
(1) Tulipigwa, tuoneeni huruma.
(2)Barabara hazina faida kwa Wananchi.
(3)Watumishi wa Umma wameokotwa majalalani.
 
So kila anaesifia CDM ndio ana akili?
Teh teh.
 
Yaani kila mahali wimbo wao ndege, SGR na STIGLERS kila mahali kwenye mabrasha yao wanatembea na hayo mambo 3. Yaani huwezi kumkuta mtu anaimba nje ya hayo. Hivi hayo mmefanya kwa pesa zenu?

Hawa jamaa hawana jipya hadi wanatia huruma. Haya mambo matatu utafikiri ndio ilani yao. Hawana mapya wimbo mmoja kila siku. Huu wimbo wenu umechukua tafuteni mwingine.

Hivi hamna watu wabunifu CCM?
Sasa hawa mapimbi ilani yao Ina kurasa elfu sita sasa mbona hawazinadi? Kwa kweli ujanja mwingi mbele giza , leo Ni siku ya 11 ya kampeni wamekata pumzi vibaya, angalia mbinu wazotumia, kusomba watu, wanachuo, wanafunzi , watoto, kukokota wazee wakongwe kina mama Maria Nyerere hizi Ni mbinu za mtu mwenye akili sawasawa kweli? Kutaka kupewa kifimbo cha baba wa taifa kwa nguvu kweli?

IMG_20200907_224431.png
Screenshot_20200905-211028.png
IMG_20200907_190746.jpg
 
Back
Top Bottom