mtzedi
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 5,983
- 6,171
Nyie mtafaidi ngurumo / mlio wa ndege ikiwa hewani.Halafu sijui hizo Ndege, SGR na STIGLER sisi tulioko huku Mtanana zinatusaidia nini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie mtafaidi ngurumo / mlio wa ndege ikiwa hewani.Halafu sijui hizo Ndege, SGR na STIGLER sisi tulioko huku Mtanana zinatusaidia nini!
Kwa hivyo ahadi hiyo ya mwaka 2015 iliyotolewa na UKAWA ilikuwa ni uwongo? Je tuendelee kuamini kila wanalosema?Tatizo tulisema kabla ya COVID19 kwamba ndege si kipaumbele cha Watanzania. Ni biashara ambayo ni ngumu sana na mashirika mengi duniani yanapata hasara kubwa na kuishia kufa au kuungana.
Kwa hivyo ahadi hiyo ya mwaka 2015 iliyotolewa na UKAWA ilikuwa ni uwongo? Je tuendelee kuamini kila wanalosema?
View attachment 1562225
Contract kati ya serikali na raia ni kuwa raia wanalipa kodi, serikali inatoa huduma kubwa ambazo haziwezi kutolewa na mtu mmoja mmoja; kwa mfano miundombinu mbalimbali, ulinzi, usalama, na uwakilishi kimataifa. Hiyo miradi ni ile ambayo haiwezi kufanywa na mtu mmoja hapa nchini, kwa hiyo inakuwa ni jukumu la serikali kuitimiza. Hata British Airways wakati huo ikiitwa (BOAC) ilikuwa ya serikali kwanza kabla ya kubinafsishwa baada ya kuimarika na kuchochea mashirika binafsi, Japan Railways (JR) ilikuwa ya serikali kwanza hadi ilipoimarika ndipo ikabinafsishwa na kuchochea mashirika binafsi kama KEIO. Usione wenzako wanaenedelea ukadhani kuwa maendeleo yale yalikuwa bure bila mkono wa serikali. Ninachoomba tu, tafadhali usije ukafanya madhara kwenye ndege zile kwa sababu unazichukia; zinatusadiadia sana hata wale wasioweza kuzipanda bado wanapata huduma kutokana na usafiri wa haraka. Mama ntilie mtaani kwangu siku hizi hapo mtaani wanapika ugali kwa samaki freshi wa mwanza kutokana na uwepo wa ndege hizo.
That doesn't answer my question; was it a valid argument in 2015 when we had no airplane?By INVESTOPEDIA STAFF
Updated Jun 25, 2019
The airline industry is no stranger to bankruptcies. American Airlines (AAL), United (UAL) and Delta (DAL) have at one point filed for bankruptcy, but all recovered by merging with other airlines. The list of airlines that weren't so lucky is even longer. Considering the vital nature of the service it provides and its invaluable contribution to making the world a smaller place, why is the airline industry synonymous with ongoing losses and insolvency? We list four reasons why airlines are always struggling.
Unprofitable Airlines Continue to Fly
An industry that has been known to be unprofitable for decades would be eventually forced by market participants to undergo consolidation and rationalization in an attempt to find a better way to do business. Not so for the airline industry, for whom this basic business precept does not seem to fly, so to speak. Many unprofitable airlines continue to remain in business despite years of substantial losses, because various stakeholders cannot afford to let them close.
Closing down a large unprofitable airline would involve the loss of thousands of jobs, inconvenience to hundreds of thousands of travelers, and millions in losses for the airline's creditors. Not to mention the loss of national pride if the airline in question is a national carrier.
Because closing down a floundering airline is a politically unpalatable decision, governments will usually provide it with a financial lifeline to stay in business. But struggling airlines often have to resort to cut-throat pricing to fill up their excess capacity, and as a result, even the stronger players in the industry are adversely affected by this lack of pricing power.
High Fixed and Variable Costs
Aircraft are very expensive pieces of equipment, and airlines have to continue making large lease or loan repayments regardless of business conditions. Large commercial jets can have a lifetime as long as 25-30 years. Airlines also need large labor forces to run their complex operations, making payroll expenses another component of relatively fixed costs that have to be incurred month after month. Volatility in oil prices is yet another challenge that airlines have to contend with (See also: 4 Ways Airlines Hedge Against Oil). Add in security costs that have skyrocketed after 9/11, and it is apparent that few airlines can surmount the formidable obstacle of their high-cost structure.
That doesn't answer my question; was it a valid argument in 2015 when we had no airplane?
Bankruptcy is not a function of industry but rather a result of companies failing to compete in the business arena. USA has hundreds of airlines, so you expect stiff competition where some compnaies will survive and some will perish. The airline industry in Tanzania is not subject to such competition since there are no airlines to compete. Don't copy the American airline industry model and bring it one-to-one to Tanzania!
By INVESTOPEDIA STAFF
Updated Jun 25, 2019
The airline industry is no stranger to bankruptcies. American Airlines (AAL), United (UAL) and Delta (DAL) have at one point filed for bankruptcy, but all recovered by merging with other airlines. The list of airlines that weren't so lucky is even longer. Considering the vital nature of the service it provides and its invaluable contribution to making the world a smaller place, why is the airline industry synonymous with ongoing losses and insolvency? We list four reasons why airlines are always struggling.
Unprofitable Airlines Continue to Fly
An industry that has been known to be unprofitable for decades would be eventually forced by market participants to undergo consolidation and rationalization in an attempt to find a better way to do business. Not so for the airline industry, for whom this basic business precept does not seem to fly, so to speak. Many unprofitable airlines continue to remain in business despite years of substantial losses, because various stakeholders cannot afford to let them close.
Closing down a large unprofitable airline would involve the loss of thousands of jobs, inconvenience to hundreds of thousands of travelers, and millions in losses for the airline's creditors. Not to mention the loss of national pride if the airline in question is a national carrier.
Because closing down a floundering airline is a politically unpalatable decision, governments will usually provide it with a financial lifeline to stay in business. But struggling airlines often have to resort to cut-throat pricing to fill up their excess capacity, and as a result, even the stronger players in the industry are adversely affected by this lack of pricing power.
High Fixed and Variable Costs
Aircraft are very expensive pieces of equipment, and airlines have to continue making large lease or loan repayments regardless of business conditions. Large commercial jets can have a lifetime as long as 25-30 years. Airlines also need large labor forces to run their complex operations, making payroll expenses another component of relatively fixed costs that have to be incurred month after month. Volatility in oil prices is yet another challenge that airlines have to contend with (See also: 4 Ways Airlines Hedge Against Oil). Add in security costs that have skyrocketed after 9/11, and it is apparent that few airlines can surmount the formidable obstacle of their high-cost structure.
May be you are stupid yourself, so you can't sustain this kind of discussion; you only look for cheap propaganda. Failure to defend your point of view but just rushing to insults is a typical of buffoons.I don’t answer stupid questions. The discussion was about ATCL’s aircraft which are mostly idle right now and therefore accumulating huge losses it has nothing to do what UKAWA said or did not say few years ago. Stick to the discussion on point otherwise keep quiet.
You are just so stupid! the Americans aviation model is different from ours because our aviation model as comparing to that of American is VERY PROFITABLE! 😳😳😳😳
Baiskeli nayo haina umuhimu kwa sababu inabidi inunuliwe; angekuja na punda.kama kweli mko serious basi angeonyesha mfano angekuja na baiskeli kutoka belgium, as long hua mnaongea pumba sio la kushangaza
View attachment 1562255
Covid 19 erupted only this year, and the ATCL planes were ordered since 2016, how in your sense could you link the ordering of the planes in 2016 and the eruption of Corvid-19 if your brain is not properly wired? Then you bring generic Wikipedia analysis of the airline industry in USA and take it to Tanzania one to one; you don't seem to even know the business model used by US airline insdustry other than what you read at Wikipedia.
You don't know that USA has regional airlines and mainline passenger airlines, and you also do not now that most of the regional airlines are subcontractors of those mainline passenger airlines. Finally you don't know that most of the failing airlines in USA are those regional airlines.
View attachment 1562260
Ona hili nalo! Mkuu muanzisha mada, maccm unayo yazungumzia lingine hili hapa.Hata Mimi nawashangaa hawa CCM.
BORA KULE KWA JAMAA WA KIKI ZA MIUJIZA HUKU IRANI YAKE IKIWA ENDAPO AKISHINDA ATANZISHA KIWANDA CHA MATUSI NA KUPAYUKA PAYUKA HOVYO NA KUWA ITA WATUMISHI WA UMA NI TAKATAKA.
Ndo nyie wenyewe mmekalia tunajenga, tumejenga sijui taka taka gani vile? Mwaka huu mnafurushwa na Lissu, mtake mstake nyambaafuKama Akili yako ni nzuri Huwezi kubeza Mafanikio hayo. Jiulize kwa nini Huko nyuma haikuwezekana? Mpaka Awamu ya Magufuli?
Tafuteni Kazi za kufanya. Hadithi za Halimbaya ya maisha ya watanzania zipotu kwa wale wavivu wa kufikiri na waliokua wanategemea ujanja ujanja uliokuwepo.
Kila Mbuzi Atakula kwa Urefu wa Kamba YAKE. [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
You are turning an omnidirectional octopus and more empty headed.😂😂😂😂 you change the subject from aircrafts to UKAWA and you expect me to answer your stupid question? Hahahahah
Oh! Dont copy that American aviation model! Because as per your stupidity the difficulties of running airlines are not the same!!!! 😂😂😂😂
Punguani wahed!!!
Huko nyuma ni chama gani nilikuwa kinaongoza mbona mnasema huko nyuma ilikuwa haiwezekani utadhani hamkuwa nyie mbona hamjisuti kwa madudu ya huko nyuma?Kama Akili yako ni nzuri Huwezi kubeza Mafanikio hayo. Jiulize kwa nini Huko nyuma haikuwezekana? Mpaka Awamu ya Magufuli?
Tafuteni Kazi za kufanya. Hadithi za Halimbaya ya maisha ya watanzania zipotu kwa wale wavivu wa kufikiri na waliokua wanategemea ujanja ujanja uliokuwepo.
Kila Mbuzi Atakula kwa Urefu wa Kamba YAKE. [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]