Yaani Joshua na Clemence wamefariki ila ni kama hakuna kilichotokea. Are we Hamas sympathisers?

Hamas wanajifcha sehemu yenye raia WA kawaida Sasa Israel itaacha kuwashambulia? Mfano Hamas wabahamishia kambi hospitalini na kuanzsha mashambuliz kutokea hapo je Israel itaacha kuwashambulia Kisa wapo hospital?
 
Hamas wanajifcha sehemu yenye raia WA kawaida Sasa Israel itaacha kuwashambulia? Mfano Hamas wabahamishia kambi hospitalini na kuanzsha mashambuliz kutokea hapo je Israel itaacha kuwashambulia Kisa wapo hospital?

Israel ni mwizi wa ardhi ya Palestina.

Palestina hana haki ya kupambana na mwizi wake?

Mwizi wa ardhi ya Palestina anayo haki ya kupambana na mdai chake?
 
Israel ni mwizi wa ardhi ya Palestina.

Palestina hana haki ya kupambana na mwizi wake?

Mwizi wa ardhi ya Palestina anayo haki ya kupambana na mdai chake?
Wapambane hko lkn kwann uue MTU asiyehusika tena kwa maksud kabisa ?huyo Mtz Ktk vídeo anaonekana kabisa anajitetea lkn magaaid yakamuua huku yakisema Allah Akbar
 
Wapambane hko lkn kwann uue MTU asiyehusika tena kwa maksud kabisa ?huyo Mtz Ktk vídeo anaonekana kabisa anajitetea lkn magaaid yakamuua huku yakisema Allah Akbar

Mtu asiyehusika akikutwa kwenye maeneo ya wizi anajinasua vipi?

Hukusikia mshikwa na ngozi ndiye mla nyama?
 
Inasikitisha sana, mambo ya serikali ndivyo yalivyo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…