Hao mipalestina walijitakia yenyewe. Mbona wewe haumii maelfu ya waislam wenzako weusi wanaochinjwa na waarabu Darfur kila siku?Kumbe kifo kinauma ? usikute mtua anayeumia watu wake wawili kufariki anafurahia mauaji ya maelfu ya Wapalestina wasio na hatia wakiwemo watoto ,wazee na wanawake ,kwa case hii mfano ni Maghayo The Mongolian Savage and his barbaric Ghayo's gang