Yaani Messi ameikataa Barca na kwenda kujiunga na timu inayoshuka daraja, ni ya mwisho kwenye msimamo

Yaani Messi ameikataa Barca na kwenda kujiunga na timu inayoshuka daraja, ni ya mwisho kwenye msimamo

Wakuu mimi pia nimevutiwa kujua inakuwaje timu hazishuki daraja huko USA wanaendeshaje ligi yao? Mwenye kujua anipe elimu kidogo
 
Bora amekataa fedha chafu za uarabuni. Mwarabu anakuchukua sio lengo la mpira Bali kuitangaza dini yake na kutengeneza propaganda dhidi ya Ukristu. Wakifika huko wanawalazimisha kufuata Mila zao ikiwepo kuvaa makanzu, watawatumia kwenye matangazo mbalimbali na kutengeneza propaganda kuwa wameslimu. Ronaldo anaonja joto ya jiwe huko
 
Bora amekataa fedha chafu za uarabuni. Mwarabu anakuchukua sio lengo la mpira Bali kuitangaza dini yake na kutengeneza propaganda dhidi ya Ukristu. Wakifika huko wanawalazimisha kufuata Mila zao ikiwepo kuvaa makanzu, watawatumia kwenye matangazo mbalimbali na kutengeneza propaganda kuwa wameslimu. Ronaldo anaonja joto ya jiwe huko
Angeenda huko ingeonekana anamuiga Cr 7
 
Mosi, Messi kashashinda kila kitu, hivyo kurudi kwake kama mvhezaji Barca isingekuwa challenge mpya...

Pili, experience yake ya mwisho na Barca haikuwa nzuri na hiyo imempelekea kuwatosa kirahisi...

Tatu, namna Barca wanavyocheza kwa sasa na performance yao, ingekuwa ni miyeyusho tu na pengine kufuta mazuri yote aliyokwisha yafanya hapo Barca...
 
Ulaya ni ulaya ndoto ya kila mtu. Acha Messi atimize ndoto yake
 
Messi katumia akili sana,
Katumia uwanja wa kujidai,mmilki nusu wa timu,timu itapanda juu,kama haitoshi ujio ushapandisha followers wa Inter Miami mitandaoni

Mathalani Miami kabla ya ujio wa GOAT ilikuwa na 1m followers on Insta,baada ya ujio wa Messi mpka sasa tunaeda mitamboni ubao unasoma 4m

Kuna wachezaji watasajiliwa Miami,next season Miami watakuwa on fire

Ukiacha Al Nasri,na Al Ittihad alikoenda Benzema,Miami atakuwa anapambania mikeka yangu kuanzia sasa
 
Mosi, Messi kashashinda kila kitu, hivyo kurudi kwake kama mvhezaji Barca isingekuwa challenge mpya...

Pili, experience yake ya mwisho na Barca haikuwa nzuri na hiyo imempelekea kuwatosa kirahisi...

Tatu, namna Barca wanavyocheza kwa sasa na performance yao, ingekuwa ni miyeyusho tu na pengine kufuta mazuri yote aliyokwisha yafanya hapo Barca...
Wangemuharibia CV
 
Information you should know:

• The American League has no relegation
• The American League is divided into an eastern and western division
• Eastern Division 15 teams. Western Division 14
• Inter Miami is currently the last team in the Eastern Division
• American League matches play from 2-5 in the morning.

Messi at Inter Miami will take:
• A large sum
• Partnership with Apple
• Partnership with Adidas
• A percentage of television broadcasting rights
Real estate deals
• Percentage of a club in America after retirement
• The country hosting Copa America 2024
• The country hosting the 2026 World Cup
• New headquarters for the Argentine Federation in Miami

#fcbones
 
Jitahidi kuwa na data/facts unapokuwa mitandaoni.

Epuka kutumia emotions kwenye jambo linalo hitaji akili.
 
Back
Top Bottom