Yaani mtoto amesomeshwa mwaka mzima. Mzazi arudie kwa wiki moja.

Yaani mtoto amesomeshwa mwaka mzima. Mzazi arudie kwa wiki moja.

Doto12

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
640
Reaction score
1,141
Nikisema hizi shule zinatuibia ninakosea???
20231126_141129.jpg



Serikali isipokagua uwezo wa watendaji kwenye shule binafsi itakuwa haitendi majukumu yake.

Mtoto wa nursery arudie madude ya mwaka mzima aje. Vipi asipewe kama alivyoelewa??

Hii niliiokota sehem flan wakurugenz wa hizi shule za binafsi wajitafakari sana.
Screenshot_20231126_142418_Chrome.jpg
Screenshot_20231126_142311_Chrome.jpg


Hawa Watoto wanaharibika sana.
Utakuta mwl hana uwezo wowote wa KKK(kusoma, Kuandika na kuhesabu) mtoto hapati skill yoyote
 
Nikisema hizi shule zinatuibia ninakosea???
View attachment 2825639


Serikali isipokagua uwezo wa watendaji kwenye shule binafsi itakuwa haitendi majukumu yake.

Mtoto wa nursery arudie madude ya mwaka mzima aje. Vipi asipewe kama alivyoelewa??

Hii niliiokota sehem flan wakurugenz wa hizi shule za binafsi wajitafakari sana.
View attachment 2825650View attachment 2825651

Hawa Watoto wanaharibika sana.
Utakuta mwl hana uwezo wowote wa KKK(kusoma, Kuandika na kuhesabu) mtoto hapati skill yoyote
Hapo ni kumpeleka dumu Fagio
 
Mkuu inaitwa parental participation hyo mbona unashangaa , ile combined effort inakuwezesha kujua mwanao anasoma nini na amefika wapi na weaknesses zake . Mwalimu shuleni hawezi fikia kila mtoto most times.
Mbona mpaka results slip tunaendea wenyewe kama wazazi .
Be involved in your childs life fully
 
Kwenye hili hata wasingekwambia, ni lazima ufatilie na ujue maendeleo ya mtoto wako!!

Nadhani lugha iliyotumika hapo haijakaa vizuri..

Lakini ni jukumu la mzazi /mlezi kuhakikisha mtoto anajiandaa vyema kwa ajili ya mitihani.
 
Hapo
Wajinga sana, yaani mzazi atafute pesa za ada halafu pia asaidie kufundisha
Hicho ndio kimeniuma zaidi. Ninaamini kwamba mtoto hana mambo mengi kichwani anatakiwa atumie brain yake.

Huwa sipendi asome akiwa home kesho mitihan. Napenda akiwa na mitihani akafanye kwa brain yake. Watoto wangu hua nafanya hivyo. No revision,, you with your brain. Na baada ya matokeo siwalaumu nawasifu kuwa umefanya vizuri.
 
Nikisema hizi shule zinatuibia ninakosea???
View attachment 2825639


Serikali isipokagua uwezo wa watendaji kwenye shule binafsi itakuwa haitendi majukumu yake.

Mtoto wa nursery arudie madude ya mwaka mzima aje. Vipi asipewe kama alivyoelewa??

Hii niliiokota sehem flan wakurugenz wa hizi shule za binafsi wajitafakari sana.
View attachment 2825650View attachment 2825651

Hawa Watoto wanaharibika sana.
Utakuta mwl hana uwezo wowote wa KKK(kusoma, Kuandika na kuhesabu) mtoto hapati skill yoyote
Mkuu, tuliza akili, halafu rudia tena kusoma hayo maelekezo uone kama kuna tatizo sana. Ni maelekezo ya kawaida ili uweze kufatilia maendeleo ya mtoto.

Binafsi sioni tatizo, Ila pengine tunatofautiana mitizamo.
 
Mkuu, tuliza akili, halafu rudia tena kusoma hayo maelekezo uone kama kuna tatizo sana. Ni maelekezo ya kawaida ili uweze kufatilia maendeleo ya mtoto.

Binafsi sioni tatizo, Ila pengine tunatofautiana mitizamo.
Kwa hiyo ni rereview mambo ya mwaka mzima in a day??
 
Ila kwa wao wanatakiwa wahakikishe mtoto wako amefanyiwa marudio /revision yote kama summarize kutokea mwanzo ili aweze kuelewa ataandika nini , mf. St marys na green acres wanafanya hivyoo sasa wewe mzazi ukamsaidie mwalimu hapana labda hii ya kayumba
 
Nikisema hizi shule zinatuibia ninakosea???
View attachment 2825639


Serikali isipokagua uwezo wa watendaji kwenye shule binafsi itakuwa haitendi majukumu yake.

Mtoto wa nursery arudie madude ya mwaka mzima aje. Vipi asipewe kama alivyoelewa??

Hii niliiokota sehem flan wakurugenz wa hizi shule za binafsi wajitafakari sana.
View attachment 2825650View attachment 2825651

Hawa Watoto wanaharibika sana.
Utakuta mwl hana uwezo wowote wa KKK(kusoma, Kuandika na kuhesabu) mtoto hapati skill yoyote
Nimesoma hii barua nimerudia nione tatizo nini wala sijaweza ona shida ipo wapi. Tatizo ni sisi wenyewe wazazi wala tusitake laumu shule. Mzazi mwenye kujielewa kwanza anakuwa karibu na mwalimu wa mwanae na pia akirudi lazima akae na mtoto wafanye wote "homework". Sasa unalipa ada na kuwaachia walimu kila kitu na unaona sawa kabisa. Kufanya marudio na mtoto utagundua maendeleo yake mapema na kufanya jitihada ili aweze kuwa sawa. Sasa unalipa hela hujui mwanao anaelewa au laa kisha unakuja lalama kukumbushwa wajibu . Tusipende kulaumu kwa kukwepa majukumu yetu kama wazazi. Walimu wana nafasi yao na wazazi tuna nafasi yetu.
 
Back
Top Bottom